Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Tigo na Vodacom watakua wanavunja sheria kwa kuwa na umiliki wa wageni kwa asilimia 100



SOURCE: http://www.tcra.go.tz/regulation/THE%20COMMUNICATIONS%20LICENSING%20REGULATIONS%202005.pdf

Sasa wale wenye kuchaguwa vijimjadala flani flani sasa wanajulikana..Na wale wenye kudai kuwa rOSAMA aZiz hana la kujibu basi ana lake jambo!

Kama makampuni ndiyo yanaongoza TAIFA LETU..NA HALAFU MAKAMPUNI HAYO HAYO YANAMILIKIWA NA WAGENI...THEN NI NANI HUYO ANAYESEMA SISI TUKO HURU?
 
USHIRIKIANO NI JAMBO LA MAANA!

Nyie mfanye kazi yenu huko Tanzania na mimi hapa USA nitafanya yangu!

Na nimeshasema kabla hajaja hapa WASHINGTON...AFANYE KAZI ZA WANANCHI!

Tusileteane madaharau kabisa kwani na sisi tunapambana..Hii issue si ya kupambana huko Bongo peke yake!

Naomba mungu sana, nasi tupate Bob Woodward na Carl Bernstein wa Tanzania. Maanake TZ hatuna kabisa majournalist.

Sasa Muungwana akija huko anahitajika ajibu maswali mengi tu... na makosa aliyofanya Bush, pale G8 ni kutangaza urafiki wake na JK.

Hilo linafanya media ya US, kumchambua JK..which,ni kizuri kwetu,kwa sababu media ya huko itaanza kuchimba mengi tu...tungojee hiyo agosti.

Na wenzetu wa JF mlioko huko US mngeanza kuto info kwa hayo media za huko.
 
Naomba mungu sana, nasi tupate Bob Woodward na Carl Bernstein wa Tanzania. Maanake TZ hatuna kabisa majournalist.

Sasa Muungwana akija huko anahitajika ajibu maswali mengi tu... na makosa aliyofanya Bush, pale G8 ni kutangaza urafiki wake na JK.

Hilo linafanya media ya US, kumchambua JK..which,ni kizuri kwetu,kwa sababu media ya huko itaanza kuchimba mengi tu...tungojee hiyo agosti.

Na wenzetu wa JF mlioko huko US mngeanza kuto info kwa hayo media za huko.

Na ndio maana nimemuomba ashughulikie swala la UFISADI KWANZA!

Maana aliambiwa amlete BALLALI AKAGOMA!

SASA AKIJA HUKU..SISI NA YEYE...NA TUNAWEZA KUDAI AKATEMBELEE NA KABURI LA BALLALI ILI IWE KWELI MAPENZI YA MUNGU!

Narudia tena...USHIRIKIANO NI MUHIMU!
 
Nilichokisema nilikua na uhakika asilimia 100 na iko siku mutashangaa
 
Habari za uhakikia kabisa ni kwamba Rostam Aziz ameanza kuhamishia mali zake nje ya nchi, sababu anahofia mambo yanavyokwenda serikalini kwa sasa. Kwa ushahidi tayari ameweka rehani hisa zake zote 35pc za Vodacom Afrika Kusini. Kabla ya kuhamishia hisa zake, alikua amenunua hisa za Planetel za mwenzake Peter Noni na mkewe, naye alifanya hivyo kuhofia mambo yanavyokwenda ofisini kwake BoT. Rostam alichukua hisa zote 35pc za Watanzania kupitia kampuni zake za Caspian na Mirambo. Nimethibitisha kwa macho yangu mwenyewe nikiwa bongo kwamba Chenge akiwa Waziri wa miundombinu alimsaidia kwa nguvu zake zote Rostam kufanikisha mkakati wake huo wa kuhamisha hisa zake nje kwa kisingizio cha kuweka rehani. Kuna watu serikalini walipinga (na wanaendelea kupinga) lakini jamaa aliwazidi kete kwa kusadiwa na Chenge na sasa inaelekea amefanikiwa kwa kiasi. Zaidi nitawaletea maana naharakisha kurejea majuu. Nitamwachia Invisible mambo yote ili siku mwafaka amwage hadharani

Tina,
Wakati muafaka bado haujafika tu? Unajua mtu kama Rostam anatakiwa awe anawashiwa moto kila kona ili afike mahali akose cha kujitetea. Hebu fanyeni mambo basi ili tupate burudani hapa jamvini!
 
Ndio nasema hilo haliwezekani Ni kazi ya serikali kutengeneza mazingira mwafaka kwa sekta binafsi na wafanyabiashara kufanya biashara zao na wakati huohuo kuhakikisha kwamba inaziba mianya yoyote, kwa njia ya sheria, kanuni, n.k., ya kuliingiza hasara taifa na kupoteza mapato halali kwa njia ya kodi. Inavyoonekana ni kama vile tulitaka Rostam asitumie mianya iliyokuwepo na ambayo ipo ya kumfanya apate faida haraka na kubwa, I bet hili haliwezekani kwa mfanyabiashara yeyote, simply because hiyo sio kazi yake!
CCM walipoamua kuwakumbatia wafanyabiashara waliamua pia kukumbatia utapeli na ujanjaujanja wa wafanyabiashara kama akina Rostam. Rostam anasema wazazi wake walianza biashara tangu 1852, sasa cha kujiuliza ni kwa nini yeye amejulikana kuanzia kipindi cha wakati wa Mwinyi na kushamirisha biashara zake kipindi cha kampeni za urais wa 2005? Ni kwamba huko nyuma hapakuwa na loop holes za kijinga kama zilivyo sasa.

Tuache kuwa simplistic because simplicity is the enemy of truth. Hatuwezi kuishinda vita ya ufisadi kwa kuwashambulia mawakala wa ufisadi; ifike mahala tuamue ama kuwashambulia wazalisha ufisadi CCM au kama, hatuwawezi, tukae kimya na tukubaliane kwamba hayo ndiyo maisha yetu!

Kitila please!!!! Kazi ya mfanyabiashara ni kutumia mianya iliyopo na inayomfanya apate faida haraka na kubwa??????? Are you sure didnt want to say: Kazi ya fisadi ni kutumia mianya iliyopo na inayomfanya apate faida haraka na kubwa?
 
Mimi ninachoona tunashindwa kuelewana hapa!!

Kama kuna moshi unavuma na umetapakaa umeanza kukela na wewe ukapewa jukumu la kuu tokomeza moshi huo ,basi ukianza kupambana na moshi kwa ku apply maguvu mengi yani kununua majenerata na kulazimisha moshi huo umezwe na majenerata yako nafikiri utatumia Nguvu,Gharama nyingi mda mwingi na mwisho hutofanikiwa.

Lakini kama wewe una nia na umekamilika vizuri nadhani ni moja kwa moja hutokimbilia kupambana na moshi ila utafanya risechi yako ya kubaini chanzo chake ni nini na kiko mahala gani na nini kilichosababisha na baada ya kugundua hilo basi itakua rahisi maana utazima tu hicho chazo cha moshi.

Kama ilikua ni moto ndio chazo ,moja kwa moja utajua ni kuuzima na kama ni kiwanda utawaambia warekebishe miundo mbinu yao hasa hiyo inayo deal na moshi.
 
Wakati Ballali alipoitwa huko Dodoma kwenda kujieleza BUNGENI...Watu walikuwa hawajui alipo...

Na baada ya uchunguzi mwingi...Wakagunduwa kuwa yuko ndani ya ndege ya Rais na wanarudi Dar es Salam...Sasa madai yao ni kuwa aliwekewa sumu...Sasa sijuwi kama aliwekewa hiyo sumu huko Dodoma ama ndani ya ndege ya Rais!

Kwanini alipewa lifti ya ndege na Rais aliyekuwa akitaka ajiuzulu na yeye akagoma?

Anyways...Baada ya hapo ndio tukasikia kuwa ni mgonjwa na hajulikani alipo..Mara kawekewa sumu..Mara anatibiwa..Mara yuko kisiwani...Then mara hatufutwi...Then akaanza kutafutwa...Mara haitajiki...Then akahitajika na maofisa saba wakatumwa DC hapa USA!

MARA AKAFA!

Na mwili wake kutoonekana na mtu yeyote!

Hata Rais mwenyewe aliyempa LIFTI YA NDEGE KUTOKA DODOMA!

SASA KAMA NI DILI..KIKWETE ANALIJUWA KWANI KESHASEMA NI MAPENZI YA MUNGU!

Sasa tunamwomba akija hapa USA...RATIBA YAKE ISASAHAU KULITEMBELEA KWANZA KABURI LA BALLALI!

NAMWAMBIA TENA KAMA HAWEZI URAIS AJIUZULU MARA MOJA!
LA SIVYO WASHINGTON ASIRUKE!

TENA NA HIVI ANAMTETEA BASHIR KWA KUJIDAI ETI NI MSIMAMO WA AU?!

MMELIWA!
 
NAMWAMBIA TENA KAMA HAWEZI URAIS AJIUZULU MARA MOJA!
LA SIVYO WASHINGTON ASIRUKE!

kwi kwi kwi

Kazi kweli kweli, waTanzania kwa ukali wa maneno tu hawajambo, ... vitendo thubutu!

Kila la heri Ndugu yangu JMushi, nitakufahamisha lini anakuja huko WASHINGTON!
 
Wakuu Nimekuwaa Mpenzi Wa Jf Na Nafikiri Napenda Kumpongeza Huyu Bwana Kwa Kuongoza Kwenye Threads Za Wiki Huu!!!!!!
Kila Nikifungua Sikosi Jina Lake Kwenye Thread Natamani Tungekuwa Tukimtangaza Na Mugu Pia Kupitia Humu Ili Mungu Azidi Kuwabadilisha Hao Afisadi Tunaowapigia Kelele Mungu Awashushie Moto Na Kuwasafisha Wamuelekee Yeye!!!!!!!najua Ipo Siku Kaka Yetu Atamrudia Mungu Na Kutubu Dhambi Zake!!!!!
Twawapongeza Wote Waliokuwa Na Mapenzi Mema Kwenye
Nyaraka Zote Zilizomhusu ...nafikiri Kama Kuona Ameona Na Amesikia ...ila Cha Ajabu Kumbe Kunawaoenda Kumwomba Pesa Za Mkopo Huku Tukimwita Fisadi Jamani Hamuoni Hamtendei Haki...kama Wewe Unajua Za Wizi Yyyyyyyyyyy?????????????rostam Bank Au????
Hili Swala Muhimu Sana Kwa Muda Huu Kujiuliza!!!!!

Ahsanten
 
Hii habari ya Vodacom ni muhimu sana na ukweli wa mambo ni Rostam hizo 35% sio zote zake, na yeye ana partners kwenye hiyo ownership ambao walikuwa vigogo wa juu mno wenye vingora.
 
kwi Kwi Kwi

Kazi Kweli Kweli, Watanzania Kwa Ukali Wa Maneno Tu Hawajambo, ... Vitendo Thubutu!

Kila La Heri Ndugu Yangu Jmushi, Nitakufahamisha Lini Anakuja Huko Washington!

Huna Haja Ya Kunifahamisha..alishani Fahamisha.
NA mimi nikamwambia TUNAMSUBIRI.
 
Hii habari ya Vodacom ni muhimu sana na ukweli wa mambo ni Rostam hizo 35% sio zote zake, na yeye ana partners kwenye hiyo ownership ambao walikuwa vigogo wa juu mno wenye vingora.

Na ndiyo maana wanaogopa kutajana...!

Nchi inahitaji MAPINDUZI HII!

IMEOZA...NA HAKUNA KIONGOZI YEYOTE FISADI ANAYETAKIWA KURUDI MADARAKANI...LA SIVYO VURUGU ITATOKEA!
 
Originally Posted by moelex23 View Post
Hii habari ya Vodacom ni muhimu sana na ukweli wa mambo ni Rostam hizo 35% sio zote zake, na yeye ana partners kwenye hiyo ownership ambao walikuwa vigogo wa juu mno wenye vingora.

Moelex23, tayari Rostam alikwisha kuzichukua hisa zote 35% kutoka kwa Peter Noni wa BoT, kupitia kampuni yake ya Milambo iliyonunua hisa za Planetel ya Peter Noni na Mkewe ambao walipoona mambo yanaashiria hatari ndani ya BoT, wakamuuzia Rostam hisa zao, na yeye sasa ameona kuna moto amezihamishia SA. Lakini inaelezwa kwamba hata hizo 65% za wageni zinaelezwa ndani kuna wazee wazito wa Kitanzania, ambao walizificha hisa zao huko..... Kuna umafia mkubwa sana katika makampuni mengi makubwa
 
Politicians...they normally say what the cant do...and do what they didnt say!!!, ktk hili Pastor kachemka..they way alivyokuwa anamsiliba RA i didnt even imagine kuwa hata angekuwa na hamu ya kunywa SODA yake...

Kweli JOGOO limewika na tume-prove kuwa mwenzetu alichukua VIPANDE THELATHINI!!!....kama anasoma hii thread acheki na sahihi yangu hapo chini...
 
Back
Top Bottom