Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Tigo na Vodacom watakua wanavunja sheria kwa kuwa na umiliki wa wageni kwa asilimia 100



SOURCE: http://www.tcra.go.tz/regulation/THE%20COMMUNICATIONS%20LICENSING%20REGULATIONS%202005.pdf

Sasa wale wenye kuchaguwa vijimjadala flani flani sasa wanajulikana..Na wale wenye kudai kuwa rOSAMA aZiz hana la kujibu basi ana lake jambo!

Kama makampuni ndiyo yanaongoza TAIFA LETU..NA HALAFU MAKAMPUNI HAYO HAYO YANAMILIKIWA NA WAGENI...THEN NI NANI HUYO ANAYESEMA SISI TUKO HURU?
 

Naomba mungu sana, nasi tupate Bob Woodward na Carl Bernstein wa Tanzania. Maanake TZ hatuna kabisa majournalist.

Sasa Muungwana akija huko anahitajika ajibu maswali mengi tu... na makosa aliyofanya Bush, pale G8 ni kutangaza urafiki wake na JK.

Hilo linafanya media ya US, kumchambua JK..which,ni kizuri kwetu,kwa sababu media ya huko itaanza kuchimba mengi tu...tungojee hiyo agosti.

Na wenzetu wa JF mlioko huko US mngeanza kuto info kwa hayo media za huko.
 

Na ndio maana nimemuomba ashughulikie swala la UFISADI KWANZA!

Maana aliambiwa amlete BALLALI AKAGOMA!

SASA AKIJA HUKU..SISI NA YEYE...NA TUNAWEZA KUDAI AKATEMBELEE NA KABURI LA BALLALI ILI IWE KWELI MAPENZI YA MUNGU!

Narudia tena...USHIRIKIANO NI MUHIMU!
 
Nilichokisema nilikua na uhakika asilimia 100 na iko siku mutashangaa
 

Tina,
Wakati muafaka bado haujafika tu? Unajua mtu kama Rostam anatakiwa awe anawashiwa moto kila kona ili afike mahali akose cha kujitetea. Hebu fanyeni mambo basi ili tupate burudani hapa jamvini!
 

Kitila please!!!! Kazi ya mfanyabiashara ni kutumia mianya iliyopo na inayomfanya apate faida haraka na kubwa??????? Are you sure didnt want to say: Kazi ya fisadi ni kutumia mianya iliyopo na inayomfanya apate faida haraka na kubwa?
 
Mimi ninachoona tunashindwa kuelewana hapa!!

Kama kuna moshi unavuma na umetapakaa umeanza kukela na wewe ukapewa jukumu la kuu tokomeza moshi huo ,basi ukianza kupambana na moshi kwa ku apply maguvu mengi yani kununua majenerata na kulazimisha moshi huo umezwe na majenerata yako nafikiri utatumia Nguvu,Gharama nyingi mda mwingi na mwisho hutofanikiwa.

Lakini kama wewe una nia na umekamilika vizuri nadhani ni moja kwa moja hutokimbilia kupambana na moshi ila utafanya risechi yako ya kubaini chanzo chake ni nini na kiko mahala gani na nini kilichosababisha na baada ya kugundua hilo basi itakua rahisi maana utazima tu hicho chazo cha moshi.

Kama ilikua ni moto ndio chazo ,moja kwa moja utajua ni kuuzima na kama ni kiwanda utawaambia warekebishe miundo mbinu yao hasa hiyo inayo deal na moshi.
 
Wakati Ballali alipoitwa huko Dodoma kwenda kujieleza BUNGENI...Watu walikuwa hawajui alipo...

Na baada ya uchunguzi mwingi...Wakagunduwa kuwa yuko ndani ya ndege ya Rais na wanarudi Dar es Salam...Sasa madai yao ni kuwa aliwekewa sumu...Sasa sijuwi kama aliwekewa hiyo sumu huko Dodoma ama ndani ya ndege ya Rais!

Kwanini alipewa lifti ya ndege na Rais aliyekuwa akitaka ajiuzulu na yeye akagoma?

Anyways...Baada ya hapo ndio tukasikia kuwa ni mgonjwa na hajulikani alipo..Mara kawekewa sumu..Mara anatibiwa..Mara yuko kisiwani...Then mara hatufutwi...Then akaanza kutafutwa...Mara haitajiki...Then akahitajika na maofisa saba wakatumwa DC hapa USA!

MARA AKAFA!

Na mwili wake kutoonekana na mtu yeyote!

Hata Rais mwenyewe aliyempa LIFTI YA NDEGE KUTOKA DODOMA!

SASA KAMA NI DILI..KIKWETE ANALIJUWA KWANI KESHASEMA NI MAPENZI YA MUNGU!

Sasa tunamwomba akija hapa USA...RATIBA YAKE ISASAHAU KULITEMBELEA KWANZA KABURI LA BALLALI!

NAMWAMBIA TENA KAMA HAWEZI URAIS AJIUZULU MARA MOJA!
LA SIVYO WASHINGTON ASIRUKE!

TENA NA HIVI ANAMTETEA BASHIR KWA KUJIDAI ETI NI MSIMAMO WA AU?!

MMELIWA!
 
NAMWAMBIA TENA KAMA HAWEZI URAIS AJIUZULU MARA MOJA!
LA SIVYO WASHINGTON ASIRUKE!

kwi kwi kwi

Kazi kweli kweli, waTanzania kwa ukali wa maneno tu hawajambo, ... vitendo thubutu!

Kila la heri Ndugu yangu JMushi, nitakufahamisha lini anakuja huko WASHINGTON!
 
Wakuu Nimekuwaa Mpenzi Wa Jf Na Nafikiri Napenda Kumpongeza Huyu Bwana Kwa Kuongoza Kwenye Threads Za Wiki Huu!!!!!!
Kila Nikifungua Sikosi Jina Lake Kwenye Thread Natamani Tungekuwa Tukimtangaza Na Mugu Pia Kupitia Humu Ili Mungu Azidi Kuwabadilisha Hao Afisadi Tunaowapigia Kelele Mungu Awashushie Moto Na Kuwasafisha Wamuelekee Yeye!!!!!!!najua Ipo Siku Kaka Yetu Atamrudia Mungu Na Kutubu Dhambi Zake!!!!!
Twawapongeza Wote Waliokuwa Na Mapenzi Mema Kwenye
Nyaraka Zote Zilizomhusu ...nafikiri Kama Kuona Ameona Na Amesikia ...ila Cha Ajabu Kumbe Kunawaoenda Kumwomba Pesa Za Mkopo Huku Tukimwita Fisadi Jamani Hamuoni Hamtendei Haki...kama Wewe Unajua Za Wizi Yyyyyyyyyyy?????????????rostam Bank Au????
Hili Swala Muhimu Sana Kwa Muda Huu Kujiuliza!!!!!

Ahsanten
 
Hii habari ya Vodacom ni muhimu sana na ukweli wa mambo ni Rostam hizo 35% sio zote zake, na yeye ana partners kwenye hiyo ownership ambao walikuwa vigogo wa juu mno wenye vingora.
 
kwi Kwi Kwi

Kazi Kweli Kweli, Watanzania Kwa Ukali Wa Maneno Tu Hawajambo, ... Vitendo Thubutu!

Kila La Heri Ndugu Yangu Jmushi, Nitakufahamisha Lini Anakuja Huko Washington!

Huna Haja Ya Kunifahamisha..alishani Fahamisha.
NA mimi nikamwambia TUNAMSUBIRI.
 
Hii habari ya Vodacom ni muhimu sana na ukweli wa mambo ni Rostam hizo 35% sio zote zake, na yeye ana partners kwenye hiyo ownership ambao walikuwa vigogo wa juu mno wenye vingora.

Na ndiyo maana wanaogopa kutajana...!

Nchi inahitaji MAPINDUZI HII!

IMEOZA...NA HAKUNA KIONGOZI YEYOTE FISADI ANAYETAKIWA KURUDI MADARAKANI...LA SIVYO VURUGU ITATOKEA!
 
Originally Posted by moelex23 View Post
Hii habari ya Vodacom ni muhimu sana na ukweli wa mambo ni Rostam hizo 35% sio zote zake, na yeye ana partners kwenye hiyo ownership ambao walikuwa vigogo wa juu mno wenye vingora.

Moelex23, tayari Rostam alikwisha kuzichukua hisa zote 35% kutoka kwa Peter Noni wa BoT, kupitia kampuni yake ya Milambo iliyonunua hisa za Planetel ya Peter Noni na Mkewe ambao walipoona mambo yanaashiria hatari ndani ya BoT, wakamuuzia Rostam hisa zao, na yeye sasa ameona kuna moto amezihamishia SA. Lakini inaelezwa kwamba hata hizo 65% za wageni zinaelezwa ndani kuna wazee wazito wa Kitanzania, ambao walizificha hisa zao huko..... Kuna umafia mkubwa sana katika makampuni mengi makubwa
 
Politicians...they normally say what the cant do...and do what they didnt say!!!, ktk hili Pastor kachemka..they way alivyokuwa anamsiliba RA i didnt even imagine kuwa hata angekuwa na hamu ya kunywa SODA yake...

Kweli JOGOO limewika na tume-prove kuwa mwenzetu alichukua VIPANDE THELATHINI!!!....kama anasoma hii thread acheki na sahihi yangu hapo chini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…