Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RA alisema kwamba wamuombe Radhi kwa uzito ule ule ambo waliotoa katika Habari zote zinazomhusu yeye.Mwanahalisi walishapinga hilo na wamemwambia atangulie huko,Je ataweza??alitishia Mtu Mzima Nyau..Uwezo hanaHivi hiyo kesi yake dhidi ya MwanaHalisi imefikia wapi?
Habari za uhakikia kabisa ni kwamba Rostam Aziz ameanza kuhamishia mali zake nje ya nchi, sababu anahofia mambo yanavyokwenda serikalini kwa sasa. Kwa ushahidi tayari ameweka rehani hisa zake zote 35pc za Vodacom Afrika Kusini. Kabla ya kuhamishia hisa zake, alikua amenunua hisa za Planetel za mwenzake Peter Noni na mkewe, naye alifanya hivyo kuhofia mambo yanavyokwenda ofisini kwake BoT. Rostam alichukua hisa zote 35pc za Watanzania kupitia kampuni zake za Caspian na Mirambo. Nimethibitisha kwa macho yangu mwenyewe nikiwa bongo kwamba Chenge akiwa Waziri wa miundombinu alimsaidia kwa nguvu zake zote Rostam kufanikisha mkakati wake huo wa kuhamisha hisa zake nje kwa kisingizio cha kuweka rehani. Kuna watu serikalini walipinga (na wanaendelea kupinga) lakini jamaa aliwazidi kete kwa kusadiwa na Chenge na sasa inaelekea amefanikiwa kwa kiasi. Zaidi nitawaletea maana naharakisha kurejea majuu. Nitamwachia Invisible mambo yote ili siku mwafaka amwage hadharani
Habari za uhakikia kabisa ni kwamba Rostam Aziz ameanza kuhamishia mali zake nje ya nchi, sababu anahofia mambo yanavyokwenda serikalini kwa sasa. Kwa ushahidi tayari ameweka rehani hisa zake zote 35pc za Vodacom Afrika Kusini. Kabla ya kuhamishia hisa zake, alikua amenunua hisa za Planetel za mwenzake Peter Noni na mkewe, naye alifanya hivyo kuhofia mambo yanavyokwenda ofisini kwake BoT. Rostam alichukua hisa zote 35pc za Watanzania kupitia kampuni zake za Caspian na Mirambo. Nimethibitisha kwa macho yangu mwenyewe nikiwa bongo kwamba Chenge akiwa Waziri wa miundombinu alimsaidia kwa nguvu zake zote Rostam kufanikisha mkakati wake huo wa kuhamisha hisa zake nje kwa kisingizio cha kuweka rehani. Kuna watu serikalini walipinga (na wanaendelea kupinga) lakini jamaa aliwazidi kete kwa kusadiwa na Chenge na sasa inaelekea amefanikiwa kwa kiasi. Zaidi nitawaletea maana naharakisha kurejea majuu. Nitamwachia Invisible mambo yote ili siku mwafaka amwage hadharani
Tina,
Hapa unanichanganya.
Je huyu Chenge alimsaidia wakati bado akiwa waziri au bado anamsaidia wakti huu akitumia ujuzi wake wa sheria?
Naomba ufafanuzi kidogo kwa sababu kama alifanya hivo basi alikuwa akikiuka maadali ya uongozi na anastahili kuundiwa tume ingine ili imchunguze.
Pili, hao waliopinga UFISADI huo na ambao bado wanaendelea kupinga mbona bado wapo kimya, ni vizuri tukawafahamu na tujue kwanini wamekua wapo kimya hadi sasa.
Na mwisho kama bado anafanya mambo hayo kwa sasa akiwa mbunge, basi inabidi ajiuzulu huo ubunge.
jamani hivi huyu Chenge yeye anajiona ni Mungu mtu au? mimi simuelewi yani huyu kiumbe ni zaidi ya Balali nadhani huyu ni hatari kuliko kitu kingine hapa nchini, inakuaje avumumiliwe kwa yote anayoyafanya anawezaje kumsaidia huyu Rostam ambae ni aslimia kubwa ya ufisadi wote nchini!!!! bila kufilisiwa na adhabu kubwa juu yao naamini waTZ hawatavumilia. Tina tunasubiri kwa hamu kubwa juu ya swala hili INAKERA SANAAAAAAA.
Habari za uhakikia kabisa ni kwamba Rostam Aziz ameanza kuhamishia mali zake nje ya nchi, sababu anahofia mambo yanavyokwenda serikalini kwa sasa. Kwa ushahidi tayari ameweka rehani hisa zake zote 35pc za Vodacom Afrika Kusini. Kabla ya kuhamishia hisa zake, alikua amenunua hisa za Planetel za mwenzake Peter Noni na mkewe, naye alifanya hivyo kuhofia mambo yanavyokwenda ofisini kwake BoT. Rostam alichukua hisa zote 35pc za Watanzania kupitia kampuni zake za Caspian na Mirambo. Nimethibitisha kwa macho yangu mwenyewe nikiwa bongo kwamba Chenge akiwa Waziri wa miundombinu alimsaidia kwa nguvu zake zote Rostam kufanikisha mkakati wake huo wa kuhamisha hisa zake nje kwa kisingizio cha kuweka rehani. Kuna watu serikalini walipinga (na wanaendelea kupinga) lakini jamaa aliwazidi kete kwa kusadiwa na Chenge na sasa inaelekea amefanikiwa kwa kiasi. Zaidi nitawaletea maana naharakisha kurejea majuu. Nitamwachia Invisible mambo yote ili siku mwafaka amwage hadharani
Inaelekea Tina ana uhakika mno, maana alituambia anakuja Bongo na huenda aliwarubuni na urembo wake wakaingia mkenge. Dada hebu tupe siri ya urembo, maana inawezekana umekutana nao wakamwaga siri. Waandishi wasilaze damu