Rostam kanunua tiGO kwa Tzs Bil 230, wakati thamani ya 25% ya kampuni ya Voda ni TZS Bil 470, so thamani ya Voda ni mara 20 ya tiGO?

Hiyo bilioni 230 ni hisa zote 100% au ni sehemu kubwa ya hisa inayompa uhalali wa umiliki?
Na mm ndivyo nilivyoelewa, huenda shareholders wako wengi ila yeye ndo kaweka mpunga wa kutosha.

Kusema tigo ina thamani ya 230B huo ni uongo hata ukifikilia kwa akili ndogo tu.
 

Epusha ukoo wako na aibu ndogo ndogo mkuu… kama hujui uliza..
 
Kanunua Tigo na zantel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…