Rostam: Tuungane kukomesha vitendo vya kishetani katika nchi yetu. Poleni CHADEMA

msisahau aliyefariki ni muislamu na pia muarabu, vinginevyo rostamu asingeongea chochote kile na ndiyo maana msiba unaonekana kugusa wengi angekuwa mgalatia wangebakia wenyewe tu na kejeli juu, some are more equal than others, RIP hata hivyo …
Kwani chadema ni waislamu? Manake msiba ni wa chadema huu
 

Bringing udini kwenye huu msiba is the lowest one can go.
 
Ccm ina wanachama aina tatu, Ccm Intarahamwe, ccm Nyangumi, Ccm mafisadi Papa.

Lini Rostam aziz akawa na uchungu na watanzania hata atoe pole za aina hii?

Tunaomjua RA hapo ni ulaghai anafanya taarifa yake imemtaja rais Zaidi ya mara tatu.
Kuliko almaharum Ally kibao
 
Na waliofanya vitendo vya utekaji na wanaowatuma ni mashetani hawatakiwi kuheshimiwa. Wao ni kulaaniwa hata kizazi cha tano
 
msisahau aliyefariki ni muislamu na pia muarabu, vinginevyo rostamu asingeongea chochote kile na ndiyo maana msiba unaonekana kugusa wengi angekuwa mgalatia wangebakia wenyewe tu na kejeli juu, some are more equal than others, RIP hata hivyo …
Udini uko ndani yako unakutafuna.
Hivi hukuwahi kusikia kuwa Salim Turky ndiye aliyefadhili safari ya matibabu ya Tundu Lisu kwenda Nairobi?
Turky ni wa dini gani?
Au Tundu Lissu naye ni mwarabu na mwislam?

Huu udini unaopenda kushabikia unakupa faida gani ?
 
Taarifa muhimu sana hii ila...
P
 
Kwa hiyo wewe watu kutekwa ovyo na kuawa unaona ni tatizo la kidini?
 
Watakuwa wametishwa. Na kama wababe walihusika ndio balaa kabisa. Tusiwaonee bure wenye basi

Pamoja na kelele zote hizi bado hawataki kusema chochote? Hata pole? Nini kibaya zaidi kitawatokea kama kuna mtu kapoteza uhai? Sidhani kuna kutishwa hapo huku ni kuwa insensitive na kutaka kampuni yao ipite under the radar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…