Rostam: Tuungane kukomesha vitendo vya kishetani katika nchi yetu. Poleni CHADEMA

Rostam mjanja sana, mara nyingi kwenye haya majanga ya kitaifa huwa anaingilia kati kumkingia kifua Samia.

Remember DPW, huyu Rostam kuna dili kubwa kalicheza kwa Samia sasa ndio analipa fadhila.
 
Muuaji ni yule yule wa enzi za awamu ya 5 ila TISS wanaogopa kumuambia Rais kwa vile ni kijana pendwa
 
Hata jambazi ana mke na huchimbiwa mkwala na mke
 
Nchi hii imejaa miuaji ndani ua CCM
 
George orwell , the animal farm. Ama kweli kila masika na mbu wake. Twende kwetu mbezi bichi kule upepo unapovuma.
 
msisahau aliyefariki ni muislamu na pia muarabu, vinginevyo rostamu asingeongea chochote kile na ndiyo maana msiba unaonekana kugusa wengi angekuwa mgalatia wangebakia wenyewe tu na kejeli juu, some are more equal than others, RIP hata hivyo …
Kama Alivyofanya Shekhe Mwaipopo
 
Ni chadema tu na Mh. Tundu Lisu walioongelea mashehe wa uamsho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…