Rostam: Tuungane kukomesha vitendo vya kishetani katika nchi yetu. Poleni CHADEMA

Hongera Rostam Aziz kwa kauli thabiti .

Kwenye hili la kupoteza uhai wa watu kwaajili ya kulinda au kutafuta madaraka au kwa nia nyingine yoyote ni ushetani mkubwa, ni uharamia ambao hautakiwi kupata kivuli cha kujificha.

Hawa watekaji na wauaji, kama Taifa tusimame pamoja, na kuwaona kuwa ni maadui wa Taifa. Kwa kuanzia Mafwele na kundi lake wakamatwe haraka, waeleze walikokowaweka watu wote waliowateka.

Huo uovu ukilindwa na kuuacha uendelee, bila ya kujali upo CCM au CHADEMA, unaweza kuuawa wakati wowote. Hawa wauaji wanatengeneza himaya yao, wakijijenga wanaweza kuwaua hata viongozi wa nchi wakapokonya madaraka. Maana kwao kupata au kifanikisha chochote wanachokitaka, ni kwa kuua. Waliokitengeneza hicho kikosi cha mauaji kinachoitwa Task Force wasidhani wao wapo salama.
 
Ndugu yangu umekosa uungwana au umekosa kumbukumbu au siyo mfuatiliaji.

Hivi unakumbuka ni mara ngapi Lisu aliongelea suala la mashekhe kuwekwa kizuizini? Mbona Lisu alipinga mara nyingi na kusema kuwa kama hao mashekhe wana makosa kwa nini hawafikishwi mahakamani?
 
Pamoja na kelele zote hizi bado hawataki kusema chochote? Hata pole? Nini kibaya zaidi kitawatokea kama kuna mtu kapoteza uhai? Sidhani kuna kutishwa hapo huku ni kuwa insensitive na kutaka kampuni yao ipite under the radar.

Hawa ni wafanaya biashara. katika mazingira yenye uonevu, biashara yao inaweza kupewa misukosuko sana. Ndio maana wanakaa kimya. Ingawa, nchi hii, kama wameamua kupata wahusika, hata siku moja haitapita
 

Kuna watu wengine huwezxi kuwaelimisha. Wamepata Ilmi, ambayo inazidi elimu kwa kiasi kikubwa sana🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hawa ni wafanaya biashara. katika mazingira yenye uonevu, biashara yao inaweza kupewa misukosuko sana. Ndio maana wanakaa kimya. Ingawa, nchi hii, kama wameamua kupata wahusika, hata siku moja haitapita

Walishatoa toa tamko.

Hakuna biashara ina thamani kuliko uhai wa mtu. Kila mtu anajua wao hawahusiki kwenye hili unaweza toa pole na upande wako wa story kutoa sintofahamu kwenye jamii. Eventually wametoa na wametoa zaidi kuliko hata nilivyotarajia hadi jina la mtu wanayemshuku wamemtaja wakati kesi ipo under investigation.
 

Kukamata wahalifu ni kazi ya polisi. Wamesharipoti. Sio kazi yao kupeleleza au kukamata waliohusika. Mengine haya ni uongo na nuonezi au yana chembe chembe za kutaka biashara ya mtu iathirike
 
Kukamata wahalifu ni kazi ya polisi. Wamesharipoti. Sio kazi yao kupeleleza au kukamata waliohusika. Mengine haya ni uongo na nuonezi au yana chembe chembe za kutaka biashara ya mtu iathirike

I have no idea what you're talking about.

Mimi niliuliza wametoa tamko kwa umma which they did eventually. Sijauliza ushahidi, tamko kwa polisi or anything.
 
I have no idea what you're talking about.

Mimi niliuliza wametoa tamko kwa umma which they did eventually. Sijauliza ushahidi, tamko kwa polisi or anything.
Kalale tafadhali usiku umeshaingia
 
Sio kuongea bwashee, ni mishe mishe kama zile za jana, wamewahi kufanya?ukiondoa jana?
Kuna watu wengine huwezxi kuwaelimisha. Wamepata Ilmi, ambayo inazidi elimu kwa kiasi kikubwa sana🤣🤣🤣🤣🤣
Umeona sasa elmu akhera ilivyofanya kazi jana? Hao waliosoma hiyo elimu dunia wamefanya nini zaidi ya kugeuza binocular? 😇😇😇🤣🤣🤣🤣🤣,
Wapeni inchi waislamu muone ukombozi utakavyokuja fasta,

Hata uhuru wa Tanganyika ulichangiwa pakubwa na Tanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…