Round hii Pesa itashindwa na wabangaizaji. Lissu ameshamshinda MBOWE

Round hii Pesa itashindwa na wabangaizaji. Lissu ameshamshinda MBOWE

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Mpo salama!

Watu wengi wanaamini pesa inanguvu kila sehemu na kila wakati.
Lakini Sisi wengine tunajua kuna wakati na sehemu pesa hushindwa na huwa kama makaratasi mengine.

Round hii, Lisu ambaye ni mbangaizaji anaenda kumbwaga Mbowe pedeshee.

Wale wanaoiabudu pesa na kuiona mungu wao hawataamini mungu wao akishindwa.

Tupo
Tunatazama
 
Mpo salama!

Watu wengi wanaamini pesa inanguvu kila sehemu na kila wakati.
Lakini Sisi wengine tunajua kuna wakati na sehemu pesa hushindwa na huwa kama makaratasi mengine.

Round hii, Lisu ambaye ni mbangaizaji anaenda kumbwaga Mbowe pedeshee.

Wale wanaoiabudu pesa na kuiona mungu wao hawataamini mungu wao akishindwa.

Tupo
Tunatazama
Siasa siyo unajimu, siasa ni namba na mikakati.

Mnaomuunga mkono Lisu wengi si wapiga kura.

Lisu hawezi kushinda kwa porojo za Maria Sarungi, Chahali na mbaya zaidi Jebra Kambole hata kadi ya Chadema hana.
 
Mpo salama!

Watu wengi wanaamini pesa inanguvu kila sehemu na kila wakati.
Lakini Sisi wengine tunajua kuna wakati na sehemu pesa hushindwa na huwa kama makaratasi mengine.

Round hii, Lisu ambaye ni mbangaizaji anaenda kumbwaga Mbowe pedeshee.

Wale wanaoiabudu pesa na kuiona mungu wao hawataamini mungu wao akishindwa.

Tupo
Tunatazama
Rushwa ni adui wa haki..
 
Back
Top Bottom