Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Mpaka kieleweke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tuone
Polls zote zinaonyesha ni Lissu tena kwa landslide lakini tusibweteke ngoja tumsikilize na Lema hapo kesho.
Rushwa ni adui wa haki..
Wekeni akiba ya maneno Wajumbe Wengi ni Wachagga Kutoka Mikoa mbalimbali akina Devota wa Morogoro 😄
Kwa haki Lisu atashinda kwa rushwa ilivyotembea siyo rahisi kushindaMpo salama!
Watu wengi wanaamini pesa inanguvu kila sehemu na kila wakati.
Lakini Sisi wengine tunajua kuna wakati na sehemu pesa hushindwa na huwa kama makaratasi mengine.
Round hii, Lisu ambaye ni mbangaizaji anaenda kumbwaga Mbowe pedeshee.
Wale wanaoiabudu pesa na kuiona mungu wao hawataamini mungu wao akishindwa.
Tupo
Tunatazama
Mbowe ni ccm, ccm ni wezi! Nani atashinda? Ndugu mwanafasihi
Kwa haki Lisu atashinda kwa rushwa ilivyotembea siyo rahisi kushinda
Acha ukabila wewe mjinga, wachaga wangapi wamemkataa Mbowe hadharani?Wekeni akiba ya maneno Wajumbe Wengi ni Wachagga Kutoka Mikoa mbalimbali akina Devota wa Morogoro 😄
HayaKivyovyote atashinda. Nishapiga hesabu
BAVICHA wamemshangilia sana Lissu kuliko Mbowe. Will this translate into votes!!? Let's wait and see.
Raia wa kawaida wamemkataa MboweMkuu hilo ni agano kati yake na Samia, ila ukweli anaujua kabisa nyakati zimemtupa mkono.
Siasa siyo unajimu, siasa ni namba na mikakati.
Mnaomuunga mkono Lisu wengi si wapiga kura.
Lisu hawezi kushinda kwa porojo za Maria Sarungi, Chahali na mbaya zaidi Jebra Kambole hata kadi ya Chadema hana.
Sahihi kabisa huyu mpuuzi anapenda ukabila, % kubwa ya wachaga wamemkataa MboweSiyo wachaga wote wanamkubali Sultan, hata wamachame wenzake wengine wana mpinga wewe tu una agenda yako chafu kama kawaida yako.
Polls zinasema ukweli lakini wajumbe wakilamba asali watamgeuka LisuPolls zote zinaonyesha ni Lissu tena kwa landslide lakini tusibweteke ngoja tumsikilize na Lema hapo kesho.
Kama itabainika ni RUSHWA ndio imemuweka Mbowe Madarakani mimi nitaacha kabisa kuwasema CCM kuwa ni wala RUSHWA.nitakuwa na uhalali gani?Polls zinasema ukweli lakini wajumbe wakilamba asali watamgeuka Lisu
Kama anaweza kuchagia 250M kwenye uchaguzi wa chama atashindwa nini kutoa rushwa? umewahi kusikia Mbowe amechangia hata mgonjwa fedha za matibabu? akina Sanga wametoka gerezani baada ya miaka 5 alitoa hata mia? huwa anatoa sehemu ambayo anajua inamlipaKama itabainika ni RUSHWA ndio imemuweka Mbowe Madarakani mimi nitaacha kabisa kuwasema CCM kuwa ni wala RUSHWA.
Na wakiwa kwenye makundi ya watu wanaongea kinafiki kuwa hawatampigia kura Mbowe.Wekeni akiba ya maneno Wajumbe Wengi ni Wachagga Kutoka Mikoa mbalimbali akina Devota wa Morogoro 😄
Yericko Nyerere na Boni Yai watakuelewa kweli?Round hii, Lisu ambaye ni mbangaizaji anaenda kumbwaga Mbowe pedeshee.
Zile ni danganya toto tu 😂😂Acha ukabila wewe mjinga, wachaga wangapi wamemkataa Mbowe hadharani?