johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbowe anamtegemea Kura za Wachagga na Wasafwa akina ChoiceVariableSahihi kabisa huyu mpuuzi anapenda ukabila, % kubwa ya wachaga wamemkataa Mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe anamtegemea Kura za Wachagga na Wasafwa akina ChoiceVariableSahihi kabisa huyu mpuuzi anapenda ukabila, % kubwa ya wachaga wamemkataa Mbowe
Uache kuchagua wenye hela uchague hao mafukara Ili wakusaidie nini?Mbowe anamtegemea Kura za Wachagga na Wasafwa akina ChoiceVariable
Mwenye Hela Nchi hii ni Dr Kigwangalla tu hao wengine Wote ni mabilionea wa urithi 😂😂Uache kuchagua wenye hela uchague hao mafukara Ili wakusaidie nini?
Nani kukuambia wachagga wanapendana na wana akili na mawazo yanayofanana..?Wekeni akiba ya maneno Wajumbe Wengi ni Wachagga Kutoka Mikoa mbalimbali akina Devota wa Morogoro 😄
Toa ujinga wako unapenda ukabilaMbowe anamtegemea Kura za Wachagga na Wasafwa akina ChoiceVariable
Unachuki na wachagaZile ni danganya toto tu 😂😂
Mungu alibadilisha jina la Habrahamu akaitwa ibrahimu, Akabadilisha jina la Sarai Akaitwa Sara, Akabadilisha jina la Yakobo akaitwa Israel Ambaye akamzaa Yuda na Yuda Akaitwa simba na Lisu amebadilishwa Jina Anaitwa simba, simba ni mwerevu na Ananguvu aliye toa hilo jina Alikuwa kwenye maono. Simba kazi yake nikurarua, mchana atawinda jioni atatulia kula nyama ,Lisu is Victor, Aliongea Mchungaji Josephat mwingira, na mtu akiitwa mshindi utamshindaje, Mwenda zake alimkejeli na kumuumiza victor yakamkuta yaliyo mkuta no way, the ✌ victor is victor if you like or notSiasa siyo unajimu, siasa ni namba na mikakati.
Mnaomuunga mkono Lisu wengi si wapiga kura.
Lisu hawezi kushinda kwa porojo za Maria Sarungi, Chahali na mbaya zaidi Jebra Kambole hata kadi ya Chadema hana.
Jana kwenye Spanish SuperCup Final matokeo yalikuwa [REAL MADRID 2 FC BARCELONA 5]....Mbowe ni Real Madrid, Lissu ni Barca, kikawaida washabiki wa Barca huwa na viherehere sana ila mwisho wa msimu Real Madrid huwa ndio bingwa.
Wachagga ni watani zangu 😂😂Unachuki na wachaga
Toa ujinga wako hapoWachagga ni watani zangu 😂😂
Jana kwenye Spanish SuperCup Final matokeo yalikuwa [REAL MADRID 2 FC BARCELONA 5]....
Yaani Real Madrid yako (Mbowe) ilikula goli mkono wa ngumi moja na FC Barcelona wakachukua ndoo/kombe la mfalme a.k.a Spanish SuperCup - 2025....
Hiyo ndiyo ni reflection ya kitachoipata Real Madrid yako (Freeman Mbowe) dhidi ya Catalonians (Tundu Lissu). Matokeo haya hayajalishi Mbowe na Samia watakuwa wamemwaga mapesa ya rushwa kiasi gani maana tutayala na kura hapati...!
Mimi sielewi mkuu, hivi Mbowe akishindwa ndio inakuwa aibu ila Lissu akishindwa ni ushujaa?Hakuna matokeo mengine zaidi ya hayo MKUU.
Mbowe aliambiwa kwa heshima ajiondoe ili asipatwe na aibu lakini kashupaza shingo. Ulitaka watu wafanyaje. Aibu ya kujitakia hiyo.
Asimlaumu yeyote
Mimi sielewi mkuu, hivi Mbowe akishindwa ndio inakuwa aibu ila Lissu akishindwa ni ushujaa?
Hizi akili ndio zinafanya kuwe na udikteta uchwara. Mbowe mwenyewe anaelewa wazi kuwa wajumbe wanaweza wasimchague.
Sasa hizo aibu za kujitakia zinatokea wapi. Acheni demkrasia imhukumu. Na mtu kuhukumiwa kidemkrasia haijawahi kuwa aibu.
Kwa muktadha wa demokrasia huwezi kuiweka kama fedheha. Ndiyo maana tunafanya uchaguzi tukiamini yeyote mwenye sera na ushawishi aweze kushinda.Huwezi elewa kama hujawahi kuwa hata Monitor wa Darasa.
Uchaguzi usikie tuu Mkuu
Kuangushwa na mdogo ni fedheha kubwa Sana
Kwa muktadha wa demokrasia huwezi kuiweka kama fedheha. Ndiyo maana tunafanya uchaguzi tukiamini yeyote mwenye sera na ushawishi aweze kushinda.
Tatizo letu ni mapokeo na ndiyo yanaleta kadhia za watu kutumia rushwa, ufitini na kupindua matokeo kwa msaada wa dola.
Siku tukiachana na mapokea ya fedheha kushindwa uchaguzi, tutapata mabadiliko ya dhati.
Hebu rudia tenaWekeni akiba ya maneno Wajumbe Wengi ni Wachagga Kutoka Mikoa mbalimbali akina Devota wa Morogoro 😄