RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

Lakini kasema ukweli
Yule dogo anaonekana alikua ndio kazi yake Ile

Shida ni wale jamaa kumrekodi na kumpiga mande

Inawezekana dogo alielewana na mmoja ila majamaa yakaamua kumkomoa

Mabinti acheni tamaa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-19-11-50-37-221_com.quoord.jamiiforums.activity-edit.jpg
    712 KB · Views: 1
Hivi kama ushahidi inaonyesha dogo alikua anajiuza haikutakiwa kusema?? Wale jamaa ndio wanamakosa kumrekod lakin Yule BINTI nae mpaka kafika pale itakua kuna kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…