RPC Kinondoni aliyemwambia Mbowe hachomoki ndiye alimwambia Lema hashindi Arusha

RPC Kinondoni aliyemwambia Mbowe hachomoki ndiye alimwambia Lema hashindi Arusha

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
Kumbe huyu RPC ambaye alimtolea maneno mabaya Mbowe kuwa "this time huchomoki tutakupiga na kesi ya ugaidi(kwa maneno ya John Mrema) "vile vile aliwahi kumwambia Lema akiwa RCO Arusha kuwa hatashinda uchaguzi kwa sababu yeye ni Kada. Maneno haya aliyasema ndugu Godbless Lema mbunge mstaafu Arusha mjini kupitia kipindi cha mtandaoni cha Maria Space.

Hili ndio jeshi letu la polisi, kiongozi wake anafanya kazi kwa kusukumwa na siasa kuumiza wengine makusudi. Jeshi linaendeshwa kwa misukumo ya kisiasa tuseme kuwa Tanzania tunailinda upendo na mshikamano wetu? Hawa si ndio polisi wavuruga amani?

IGP Simon Siro hili ndio jeshi lako linalofanya kazi na kujawa kibri kufikia hatua hii. Si ajabu hii taarifa iliyosomwa na jeshi la polisi ilikua na maneno ya huyu RPC.

Ni dhambi kubwa sana kumtuhumu mtu kesi nzito kiasi hicho ikiwa hajawahi hata kutishia mtu mabati.

Itakuwa ni a aibu sana kwa Jeshi la Polisi siku akigundulika hana hatia maana kesi yoyote ile ni ushahidi.
 
Sio jeshi la polisi tu, vyombo vyote vya usalama vimejazwa ma CCM.

1627268319475.png


1627268366716.png
 
Kumbe huyu RPC ambaye alimtolea maneno mabaya Mbowe kua "this time huchomoki tutakupiga na kesi ya ugaidi(kwa maneno ya John Mrema) "vile vile aliwahi kumwambia Lema akiwa RCO Arusha kua hatashinda uchaguzi kwa sababu yeye ni Kada. Maneno haya aliyasema ndugu Godbless Lema mbunge mstaafu Arusha mjini kupitia kipindi cha mtandaoni cha Maria Space.

Hili ndio jeshi letu la polisi, kiongozi wake anafanya kazi kwa kusukumwa na siasa kuumiza wengine makusudi.Jeshi linaendeshwa kwa misukumo ya kisiasa tuseme kua Tanzania tunailinda upendo na mshikamano wetu? Hawa si ndio polisi wavuruga amani?

IGP Simon Siro hili ndio jeshi lako linalofanya kazi na kujawa kibri kufikia hatua hii. Si ajabu hii taarifa iliyosomwa na jeshi la polisi ilikua na maneno ya huyu RPC. Ni dhambi kubwa sana kumtuhumu mtu kesi nzito kiasi hicho ikiwa hajawahi hata kutishia mtu mabati. Itakua ni a aibu sana kwa jeshi la Polisi siku akigundulika hana hatia maana kesi yeyote ile ni ushahidi.
Polisi watalaumiwa milele kama katiba isipobadilishwa! Mchawi katiba, polisi anatumwa tu.
Hii katiba ni ya kiseng€. Inafanya jesshi la polisi liwe tawi la ccm, ibadilishwe, kwa heri au kwa shari, majeshi yawe huru
 
Kumbe huyu RPC ambaye alimtolea maneno mabaya Mbowe kua "this time huchomoki tutakupiga na kesi ya ugaidi(kwa maneno ya John Mrema) "vile vile aliwahi kumwambia Lema akiwa RCO Arusha kua hatashinda uchaguzi kwa sababu yeye ni Kada. Maneno haya aliyasema ndugu Godbless Lema mbunge mstaafu Arusha mjini kupitia kipindi cha mtandaoni cha Maria Space.

Hili ndio jeshi letu la polisi, kiongozi wake anafanya kazi kwa kusukumwa na siasa kuumiza wengine makusudi.Jeshi linaendeshwa kwa misukumo ya kisiasa tuseme kua Tanzania tunailinda upendo na mshikamano wetu? Hawa si ndio polisi wavuruga amani?

IGP Simon Siro hili ndio jeshi lako linalofanya kazi na kujawa kibri kufikia hatua hii. Si ajabu hii taarifa iliyosomwa na jeshi la polisi ilikua na maneno ya huyu RPC. Ni dhambi kubwa sana kumtuhumu mtu kesi nzito kiasi hicho ikiwa hajawahi hata kutishia mtu mabati. Itakua ni a aibu sana kwa jeshi la Polisi siku akigundulika hana hatia maana kesi yeyote ile ni ushahidi.
Endeleeni kuandika majina ya polisi wote wanaotumikishwa na ccm
 
Kumbe huyu RPC ambaye alimtolea maneno mabaya Mbowe kua "this time huchomoki tutakupiga na kesi ya ugaidi(kwa maneno ya John Mrema) "vile vile aliwahi kumwambia Lema akiwa RCO Arusha kua hatashinda uchaguzi kwa sababu yeye ni Kada. Maneno haya aliyasema ndugu Godbless Lema mbunge mstaafu Arusha mjini kupitia kipindi cha mtandaoni cha Maria Space.

Hili ndio jeshi letu la polisi, kiongozi wake anafanya kazi kwa kusukumwa na siasa kuumiza wengine makusudi.Jeshi linaendeshwa kwa misukumo ya kisiasa tuseme kua Tanzania tunailinda upendo na mshikamano wetu? Hawa si ndio polisi wavuruga amani?

IGP Simon Siro hili ndio jeshi lako linalofanya kazi na kujawa kibri kufikia hatua hii. Si ajabu hii taarifa iliyosomwa na jeshi la polisi ilikua na maneno ya huyu RPC. Ni dhambi kubwa sana kumtuhumu mtu kesi nzito kiasi hicho ikiwa hajawahi hata kutishia mtu mabati. Itakua ni a aibu sana kwa jeshi la Polisi siku akigundulika hana hatia maana kesi yeyote ile ni ushahidi.
Hakuna cha aibu kumshughulikia mtu anae panga njama kutenda makosa kinyume na taratibu za nchi
 
Polisi watalaumiwa milele kama katiba isipobadilishwa! Mchawi katiba, polisi anatumwa tu.
Hii katiba ni ya kiseng€. Inafanya jesshi la polisi liwe tawi la ccm, ibadilishwe, kwa heri au kwa shari, majeshi yawe huru
Rais na Amiri jeshi Mkuu ndipo kwenye utata,huyo amiri hata mgambo hajawahi pitia.

Rais awe Rais
Mkuu wa majeshi awe amiri wa majeshi nchini.Hutaona mwingiliano wa siasa
 
Tatizo sio CCM Wala Chadema au hyo katiba mpya unayoitaka, kumbuka unatakiwa kuwa na familia Bora ili wanaowasije kuwa watu wakulalamika lalamika kila wakati.

Amka acha ujinga fanya kazi kwa juhudi tafuta hela na ukishapata pesa utakuja kugundua kuwa kumbe Kuna mtaji mkubwa Sana kwenye nchi hii nao Ni watu wasiojitambua wanataka Nini sio wengine Bali Ni vijana waliowengi wakitanzania.

Tafuta pesa uipate, ili upate pesa au uishi maisha mazuri na familia yako na wanaokuzunguka hayaitaji katiba mpya Wala usaidizi wa CCM au chadema Bali n kujituma katika kutafuta pesa.

Ukipata pesa haya Mambo ya makato ya simu hutayaona makubwa Bali utaona n nafasi nyingine ya kupata zaidi kwa namna moja au nyingine. (Uamue usitumie simu kwa malipo ubaki na benki tuu au utumie simu kwa kunufaika wewe na wateja wako.)
 
Hiyo ndiyo njia iliyo baki juu ya hawa ccmb
Sio njia sahihi.
Wanaowatuma hao polisi ndio wakushughulika noa.
Polisi anatekeleza amri anayopewa. Kulingana na katiba mbovu iliyopo mwanyekiti wa CCM ndiye amiri Jeshi mkuu. Polisi wasipotekeleza amri ya Amiri Jeshi mkuu watakua wameasi na Jeshi litaingilia kati na nchi itaingia kwenye machafuko mana katiba yetu inalitambua Jeshi la Polisi kama Jeshi sio service.

Wakuu wa mikoa na wilaya ni makada wa CCM na ndio wanaotoa amri huko kwenye mikoa. Hapo Polisi wataacha vipi kutekeleza amri?

Jeuri ya makada wa CCM ni kwa sababu wanawapa amri watoto wa maskini kwenda kuumiza watoto wa maskini wenzao. Watoto wao wanasoma Ulaya na wakirudi wanapata ajira NSSF ,EWURA ,Benki Kuu, UN, au kujengewa visima vya mafuta na kumiliki makampuni. Familia zao haziumizwi na amri zao mbaya za kuwatesa wengine kupitia unyama wanaoufanya kutokana na katiba yao ya Mkoloni.

Kwasababu Polisi asipotekeleza amri anaondolewa kwenye nafasi yake fasta na mwingine anajipendekeza anaichukua fasta na ukumbuke nao wana familia zinahitaji kufanya kazi. Katiba imewapa kazi ya kulinda amani na usalama. Sasa wanaona kuwa amiri Jeshi mkuu na makada wanaeneza chuki kuwa Chadema wanavunja amani na wanatumiwa na adui beberu. Unategemea ni RPC gani atawapa Uhuru wanachadema kufanya yale ambayo ni tishio kwenye vyeo vyao?

Hata ukimuua mbwa kama mwenye mbwa anamtuma mbwa kwenda kumuuma jirani na anafurahia maumivu ya jirani basi ujue atafuga mwingine na atamtuma tena . Kifo cha mbwa hakiwezi kumnyima usingizi mana anauwezo wa kufuga mwingine na akafanya yale yale.
Piga mfugaji anayeingiza ngombe shambani. Kesho hataweza hata kuamka kwenda machungani.

Katiba mpya sio Mali ya Chadema ni Mali ya watanzania.
Ni vyema Chadema wangetumia muda mwingi kuitangaza kwenye vipeperushi na vyombo vya habari ili watu wajue tofauti ya Katiba mpya na ile ya Mkoloni inayotumiwa na WanaCCM kuwaumiza ,kuwafunga t na kuwaua maelfu ya watanzania huku wao wakijinufaisha na Rasilimali za nchi hii.

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Tatizo sio CCM Wala Chadema au hyo katiba mpya unayoitaka, kumbuka unatakiwa kuwa na familia Bora ili wanaowasije kuwa watu wakulalamika lalamika kila wakati.

Amka acha ujinga fanya kazi kwa juhudi tafuta hela na ukishapata pesa utakuja kugundua kuwa kumbe Kuna mtaji mkubwa Sana kwenye nchi hii nao Ni watu wasiojitambua wanataka Nini sio wengine Bali Ni vijana waliowengi wakitanzania.

Tafuta pesa uipate, ili upate pesa au uishi maisha mazuri na familia yako na wanaokuzunguka hayaitaji katiba mpya Wala usaidizi wa CCM au chadema Bali n kujituma katika kutafuta pesa.

Ukipata pesa haya Mambo ya makato ya simu hutayaona makubwa Bali utaona n nafasi nyingine ya kupata zaidi kwa namna moja au nyingine. (Uamue usitumie simu kwa malipo ubaki na benki tuu au utumie simu kwa kunufaika wewe na wateja wako.)
Hivi Mo alivyotekwa na Manji au Rugemalila hawakua na pesa?
Hivi unajua wenye hela wanavyoumizwa na makada wa CCM wakati wa uchaguzi kuchangia ushindi wa Chama.? Na ukiwaambia kuwa hujihusishi na siasa wanakujengea bifu la hatari na huna pa kwenda unaugulia ndani tu mana hakuna haki itakayosimama upande wako zaidi ya Mungu.
Mpaka vijini wenye vibiashara vyao na mabodaboda wanalazimishwa kubebe bendera kuwapigania wenyeviti wa CCM washinde hata kama hawapendi.

Afrika kusini Makaburu walikua kama CCM enzi hizo na wakawaumiza watu weusi Leo nchi haikaliki kila mmoja anaonja dhambi ya ubaguzi. Na walioumizwa hawana cha kupoteza zaidi ya kufurahia uporaji. Amino,amini ,amini ,nakuambia miaka 20 ijayo Tanzania itakua hivyo hivyo kwa kundi kubwa linaloambiwa kuwa katiba sio kipao mbele huku wakinyimwa Uhuru wa kuwapata wawakilishi wao kwenye keki ya Taifa . Wachache na Familia zao marafiki zao ndio wanaotumia katiba kupeana ulaji na kulindana huku wengi wakiambiwa walipe kodi tu.
Unajua ugumu wa biashara ni mkubwa sana ukilinganisha na kukaa bungeni na kupiga makofi.

Hivi unajua rushwa ni matokeo ya sheria kandamizi?
Hebu fikiri mfano Sumatra ,Trafiki, halmashauri n.k. wanavyopiga faini kwa vikosa vidogo vidogo na wanakomaa ili ama utoe pesa kidogo au upate faini. Unakuta MTU ana Kakirikuu kake amezunguka kutwa nzima kama unavyosema kufanya kazi na sio kwamba yupo peke yake ni ushindani halafu jioni amepata 30000 kisha anakamatwa na kuambiwa hakusimama kwenye zebra wakati hapakua hata na mtu anayevuka. Anapigwa faini elfu 30 au atoe elfu kumi . Hapo ukikutana na Mtu anayeishi maisha ya kutojali maumivu nadhulma kwa watu atakuambia hawa ni wavivu achana nao. Lakini mtu amenyanganywa pesa yake na jasho lake la kutwa nzima.

Katiba itasababisha hata mahakama zitakua huru kusikilza kesi za watu na kupima kwa busara. Leo hii kila Mtu hata wewe unayetetea katiba ya Mkoloni au unayejiona kuwa unajua kupambana kutafuta pesa unaogopa mahakama na kuwekwa mahabusu Polisi kwa sababu huamini kuwa utatendewa haki. Unajua kuwa usipomalizana na Polisi wanaweza wakakubambikizia kesi na ukafungwa kule mahakamani mana napo wanaweza wakaamrishwa kuwa mfunge huyo ni mtu hatari kwa usalama wa CCM. Lakini Katiba bora itawafanya watu waaminifu na wasiopenda siasa siasa kuweza kuishi kwenye nchi hii bila bughudha za wanasiasa.

Leo hii kama we we sio mwana CCM ujue kuwa hata kama ni mwadilifu vipi huwezi kuwa kiongozi au kuteuliwa kuwa mkurugenzi. Sasa kwa nini tuwe na katiba isiyowatambua watu waadilifu wasio na vyama?

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Hivi Mo alivyotekwa na Manji au Rugemalila hawakua na pesa?
Hivi unajua wenye hela wanavyoumizwa na makada wa CCM wakati wa uchaguzi kuchangia ushindi wa Chama.? Na ukiwaambia kuwa hujihusishi na siasa wanakujengea bifu la hatari na huna pa kwenda unaugulia ndani tu mana hakuna haki itakayosimama upande wako zaidi ya Mungu.
Mpaka vijini wenye vibiashara vyao na mabodaboda wanalazimishwa kubebe bendera kuwapigania wenyeviti wa CCM washinde hata kama hawapendi.

Afrika kusini Makaburu walikua kama CCM enzi hizo na wakawaumiza watu weusi Leo nchi haikaliki kila mmoja anaonja dhambi ya ubaguzi. Na walioumizwa hawana cha kupoteza zaidi ya kufurahia uporaji. Amino,amini ,amini ,nakuambia miaka 20 ijayo Tanzania itakua hivyo hivyo kwa kundi kubwa linaloambiwa kuwa katiba sio kipao mbele huku wakinyimwa Uhuru wa kuwapata wawakilishi wao kwenye keki ya Taifa . Wachache na Familia zao marafiki zao ndio wanaotumia katiba kupeana ulaji na kulindana huku wengi wakiambiwa walipe kodi tu.
Unajua ugumu wa biashara ni mkubwa sana ukilinganisha na kukaa bungeni na kupiga makofi.

Hivi unajua rushwa ni matokeo ya sheria kandamizi?
Hebu fikiri mfano Sumatra ,Trafiki, halmashauri n.k. wanavyopiga faini kwa vikosa vidogo vidogo na wanakomaa ili ama utoe pesa kidogo au upate faini. Unakuta MTU ana Kakirikuu kake amezunguka kutwa nzima kama unavyosema kufanya kazi na sio kwamba yupo peke yake ni ushindani halafu jioni amepata 30000 kisha anakamatwa na kuambiwa hakusimama kwenye zebra wakati hapakua hata na mtu anayevuka. Anapigwa faini elfu 30 au atoe elfu kumi . Hapo ukikutana na Mtu anayeishi maisha ya kutojali maumivu nadhulma kwa watu atakuambia hawa ni wavivu achana nao. Lakini mtu amenyanganywa pesa yake na jasho lake la kutwa nzima.

Katiba itasababisha hata mahakama zitakua huru kusikilza kesi za watu na kupima kwa busara. Leo hii kila Mtu hata wewe unayetetea katiba ya Mkoloni au unayejiona kuwa unajua kupambana kutafuta pesa unaogopa mahakama na kuwekwa mahabusu Polisi kwa sababu huamini kuwa utatendewa haki. Unajua kuwa usipomalizana na Polisi wanaweza wakakubambikizia kesi na ukafungwa kule mahakamani mana napo wanaweza wakaamrishwa kuwa mfunge huyo ni mtu hatari kwa usalama wa CCM. Lakini Katiba bora itawafanya watu waaminifu na wasiopenda siasa siasa kuweza kuishi kwenye nchi hii bila bughudha za wanasiasa.

Leo hii kama we we sio mwana CCM ujue kuwa hata kama ni mwadilifu vipi huwezi kuwa kiongozi au kuteuliwa kuwa mkurugenzi. Sasa kwa nini tuwe na katiba isiyowatambua watu waadilifu wasio na vyama?

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Katiba imekaa vibaya ndiyo maana hatuna maendeleo
 
Back
Top Bottom