Polisi tangazeni kushindwa kutekeleza sheria ili akina Mkomavu waingie kati nawao waonje uchungu wa kulaumiwa,kuchukiwa na kudharauliwa na raia.[emoji1][emoji1]Lolote baya likitokea kwa askari wetu tunaanza na mwenykiti wenu halafu tunafata na watu kama nyie mnaoropoka tu bila kufikiria nini mnaongea watu wanatekeleza majukumu yao nyie mnaleta siasa uchwara zenu na kuchumia matumbo ya watu wachache, acheni kuchezea hii amani iliyopo kuna watu waliumia na kupata shida mpaka sasa tunaitwa kisiwa cha amani.
Shida ni wewe kuwafikishia maoni wahusika mi ni mchangiaji tu wala sihusiki huko[emoji23][emoji23][emoji23]Polisi tangazeni kushindwa kutekeleza sheria ili akina Mkomavu waingie kati nawao waonje uchungu wa kulaumiwa,kuchukiwa na kudharauliwa na raia.[emoji1][emoji1]
Mtanzania yeyote timamu na mwenye uelewa mzuri,lazima apiganie katiba mpya kutokana na "utopolo" kama huu.Sio jeshi la polisi tu, vyombo vyote vya usalama vimejazwa ma CCM.
View attachment 1868427
View attachment 1868428
Utajikuta unaua dada ako au mama yako mdogo,hapo ndio utajidharau sasa.Mnalia lia sana hao police hawakai mbinguni wana familia zao na ndugu zao tafuteni namna za kuwapa maumivu na wao
Hao ndio hakuna kitu kabisa.Polisi tangazeni kushindwa kutekeleza sheria ili akina Mkomavu waingie kati nawao waonje uchungu wa kulaumiwa,kuchukiwa na kudharauliwa na raia.[emoji1][emoji1]
Ni kupiga marufuku tu....Mtanzania yeyote timamu na mwenye uelewa mzuri,lazima apiganie katiba mpya kutokana na "utopolo" kama huu.
Wewe ndiyo unatumia masaburi kufikiria huyo Mbowe anayeumia hana shangazi, wajomba, kaka, Dada, watoto?? Hivi unajua ndugu wanavyopata maumivu kwa ajili ya hayo anavyofanyiwa ndugu yao?? Na ndiyo maumivu hayo hayo Inatakiwa wapate familia za hao policeUtajikuta unaua dada ako au mama yako mdogo,hapo ndio utajidharau sasa.
Polisi sio malaika,ni miongoni mwetu,wameona ndugu zetu na wameolewa na ndugu zetu pia.
Umuumize shangazi yako kisa ubunge wa mbowe,unatumia kiatu kufikiri ndugu.
Na bado utajua kuwa hujui tafakari vizuriHao ndio hakuna kitu kabisa.
Maana hata wakipewa kazi ndogo tu lawama huwa hazilali masaa 24.
Kwamba shangazi yangu aumie kule Rombo, Dada aumie kule Arusha, mke aumie kule mwanza kisa kuwapigania CCM??Polisi tangazeni kushindwa kutekeleza sheria ili akina Mkomavu waingie kati nawao waonje uchungu wa kulaumiwa,kuchukiwa na kudharauliwa na raia.[emoji1][emoji1]
Ajira ya mbowe sio siasa.Wewe ndiyo unatumia masaburi kufikiria huyo Mbowe anayeumia hana shangazi, wajomba, kaka, Dada, watoto?? Hivi unajua ndugu wanavyopata maumivu kwa ajili ya hayo anavyofanyiwa ndugu yao?? Na ndiyo maumivu hayo hayo Inatakiwa wapate familia za hao police
Polisi wa Tanzania akistaafu utamhurumia kwa shida wanazokuwa nazoWanazidiwa hata na police wa Malawi Katu huwezi kuta wanatumwa na chama,wale wanalindana nchi na sio kulinda chama.
Laana ya kuumiza raiaPolisi wa Tanzania akistaafu utamhurumia kwa shida wanazokuwa nazo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ajira yako ndiyo kuumiza watu?? Comrade amka tupo kazini lakini haya mengine tu upuuzi sasa wa CCM umezidiAjira ya mbowe sio siasa.
Yule kazoea kurembua n kula urojo hawezi kuongoza hata familia yake,tutaona mengi sana awamu hii iliyojaa walewale wauaji,watekaji,mafisadi,wezi...kwa ccm hawana jipya wao ni kutumia policeccm kujilindaKumbe huyu RPC ambaye alimtolea maneno mabaya Mbowe kuwa "this time huchomoki tutakupiga na kesi ya ugaidi(kwa maneno ya John Mrema) "vile vile aliwahi kumwambia Lema akiwa RCO Arusha kuwa hatashinda uchaguzi kwa sababu yeye ni Kada. Maneno haya aliyasema ndugu Godbless Lema mbunge mstaafu Arusha mjini kupitia kipindi cha mtandaoni cha Maria Space.
Hili ndio jeshi letu la polisi, kiongozi wake anafanya kazi kwa kusukumwa na siasa kuumiza wengine makusudi. Jeshi linaendeshwa kwa misukumo ya kisiasa tuseme kuwa Tanzania tunailinda upendo na mshikamano wetu? Hawa si ndio polisi wavuruga amani?
IGP Simon Siro hili ndio jeshi lako linalofanya kazi na kujawa kibri kufikia hatua hii. Si ajabu hii taarifa iliyosomwa na jeshi la polisi ilikua na maneno ya huyu RPC.
Ni dhambi kubwa sana kumtuhumu mtu kesi nzito kiasi hicho ikiwa hajawahi hata kutishia mtu mabati.
Itakuwa ni a aibu sana kwa Jeshi la Polisi siku akigundulika hana hatia maana kesi yoyote ile ni ushahidi.
Polisi watz sio tatizo hata kidogo, tatizo ni NIRA waliyofungwa shingoni na wachawi mfano kama ngo'mbe wa maskai anavyolimishwa shamba hata kama hataki atalima kwa lazima. Muwaombe lkn sikuambii umwaombe nini au kitu gani au vp?Kumbe huyu RPC ambaye alimtolea maneno mabaya Mbowe kuwa "this time huchomoki tutakupiga na kesi ya ugaidi(kwa maneno ya John Mrema) "vile vile aliwahi kumwambia Lema akiwa RCO Arusha kuwa hatashinda uchaguzi kwa sababu yeye ni Kada. Maneno haya aliyasema ndugu Godbless Lema mbunge mstaafu Arusha mjini kupitia kipindi cha mtandaoni cha Maria Space.
Hili ndio jeshi letu la polisi, kiongozi wake anafanya kazi kwa kusukumwa na siasa kuumiza wengine makusudi. Jeshi linaendeshwa kwa misukumo ya kisiasa tuseme kuwa Tanzania tunailinda upendo na mshikamano wetu? Hawa si ndio polisi wavuruga amani?
IGP Simon Siro hili ndio jeshi lako linalofanya kazi na kujawa kibri kufikia hatua hii. Si ajabu hii taarifa iliyosomwa na jeshi la polisi ilikua na maneno ya huyu RPC.
Ni dhambi kubwa sana kumtuhumu mtu kesi nzito kiasi hicho ikiwa hajawahi hata kutishia mtu mabati.
Itakuwa ni a aibu sana kwa Jeshi la Polisi siku akigundulika hana hatia maana kesi yoyote ile ni ushahidi.
Njia iliyobaki kwa ccm kuwatumia hao alafu mshahara haupandiKumbe huyu RPC ambaye alimtolea maneno mabaya Mbowe kuwa "this time huchomoki tutakupiga na kesi ya ugaidi(kwa maneno ya John Mrema) "vile vile aliwahi kumwambia Lema akiwa RCO Arusha kuwa hatashinda uchaguzi kwa sababu yeye ni Kada. Maneno haya aliyasema ndugu Godbless Lema mbunge mstaafu Arusha mjini kupitia kipindi cha mtandaoni cha Maria Space.
Hili ndio jeshi letu la polisi, kiongozi wake anafanya kazi kwa kusukumwa na siasa kuumiza wengine makusudi. Jeshi linaendeshwa kwa misukumo ya kisiasa tuseme kuwa Tanzania tunailinda upendo na mshikamano wetu? Hawa si ndio polisi wavuruga amani?
IGP Simon Siro hili ndio jeshi lako linalofanya kazi na kujawa kibri kufikia hatua hii. Si ajabu hii taarifa iliyosomwa na jeshi la polisi ilikua na maneno ya huyu RPC.
Ni dhambi kubwa sana kumtuhumu mtu kesi nzito kiasi hicho ikiwa hajawahi hata kutishia mtu mabati.
Itakuwa ni a aibu sana kwa Jeshi la Polisi siku akigundulika hana hatia maana kesi yoyote ile ni ushahidi.
Msemwa peke hana haki,ref; zako ni John Mrema na Lema ingependeza km ungetafuta na upande wa pili uwaulize walau na wao waelezee upande wao na wew utajitofautisha na wale waandish wa bahasha ya kaki.Kumbe huyu RPC ambaye alimtolea maneno mabaya Mbowe kuwa "this time huchomoki tutakupiga na kesi ya ugaidi(kwa maneno ya John Mrema) "vile vile aliwahi kumwambia Lema akiwa RCO Arusha kuwa hatashinda uchaguzi kwa sababu yeye ni Kada. Maneno haya aliyasema ndugu Godbless Lema mbunge mstaafu Arusha mjini kupitia kipindi cha mtandaoni cha Maria Space.
Hili ndio jeshi letu la polisi, kiongozi wake anafanya kazi kwa kusukumwa na siasa kuumiza wengine makusudi. Jeshi linaendeshwa kwa misukumo ya kisiasa tuseme kuwa Tanzania tunailinda upendo na mshikamano wetu? Hawa si ndio polisi wavuruga amani?
IGP Simon Siro hili ndio jeshi lako linalofanya kazi na kujawa kibri kufikia hatua hii. Si ajabu hii taarifa iliyosomwa na jeshi la polisi ilikua na maneno ya huyu RPC.
Ni dhambi kubwa sana kumtuhumu mtu kesi nzito kiasi hicho ikiwa hajawahi hata kutishia mtu mabati.
Itakuwa ni a aibu sana kwa Jeshi la Polisi siku akigundulika hana hatia maana kesi yoyote ile ni ushahidi.
Utasikia kawa igpKumbe huyu RPC ambaye alimtolea maneno mabaya Mbowe kuwa "this time huchomoki tutakupiga na kesi ya ugaidi(kwa maneno ya John Mrema) "vile vile aliwahi kumwambia Lema akiwa RCO Arusha kuwa hatashinda uchaguzi kwa sababu yeye ni Kada. Maneno haya aliyasema ndugu Godbless Lema mbunge mstaafu Arusha mjini kupitia kipindi cha mtandaoni cha Maria Space.
Hili ndio jeshi letu la polisi, kiongozi wake anafanya kazi kwa kusukumwa na siasa kuumiza wengine makusudi. Jeshi linaendeshwa kwa misukumo ya kisiasa tuseme kuwa Tanzania tunailinda upendo na mshikamano wetu? Hawa si ndio polisi wavuruga amani?
IGP Simon Siro hili ndio jeshi lako linalofanya kazi na kujawa kibri kufikia hatua hii. Si ajabu hii taarifa iliyosomwa na jeshi la polisi ilikua na maneno ya huyu RPC.
Ni dhambi kubwa sana kumtuhumu mtu kesi nzito kiasi hicho ikiwa hajawahi hata kutishia mtu mabati.
Itakuwa ni a aibu sana kwa Jeshi la Polisi siku akigundulika hana hatia maana kesi yoyote ile ni ushahidi.