RPC Kinondoni aliyemwambia Mbowe hachomoki ndiye alimwambia Lema hashindi Arusha

Nchi zingine zinalinda watu wao kwetu tupo busy kuwapunguza ili kuendelea kutawala mbaya sana...Katiba mpya ni muhimu mno mno...
 
Na ndiye alimtuma afande Jumanne kwenda kupandikiza pembe za ndovu shambani kwa yule Mzee wa Arusha waliyempora milioni tisini
 
Mnalia lia sana hao police hawakai mbinguni wana familia zao na ndugu zao tafuteni namna za kuwapa maumivu
Hapana ndugu. Hawa ni watanzania na hatuwezi kuishi kwa kulipiza kisasi. Labda nao wanafuata amri tu pasipokujua. Utawala unaofuata sheria ukija nao watafuata sheria. Kumbuka nao wanateseka kwa njia moja ama nyingine. tuwasaidia na kuwapenda.
 
Hapana ndugu. Hawa ni watanzania na hatuwezi kuishi kwa kulipiza kisasi. Labda nao wanafuata amri tu pasipokujua. Utawala unaofuata sheria ukija nao watafuata sheria. Kumbuka nao wanateseka kwa njia moja ama nyingine. tuwasaidia na kuwapenda.
Upendo kwenye chuki na uonevu?? Ilikuwa enzi za mitume na manabii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…