Habar zenu ndugu zangu, kama heading inavyojieleza hapo juu. Dada yetu mpendwa na mwana JF mwenzetu Erythrocyte njoo utujulishe mlipofikia. Tanzania moja uhasama hauna nafasi
Enzo za vipigo vya mbwakoko vimepita.Kipigo cha mbwa koko ni tishio
ππππ
Isijekuwa unawafuatilia ili uwahujumu.Habar zenu ndugu zangu, kama heading inavyojieleza hapo juu. Dada yetu mpendwa na mwana JF mwenzetu Erythrocyte njoo utujulishe mlipofikia. Tanzania moja uhasama hauna nafasi
Nilisikia kuwa walishafukuzwa ila wamekata rufaa.Je kukata rufaa huwa inatengua maamuzi ya hukumu au mpaka rufaa iamuliwe?Wakifukuzwa na vikao halali hapo sawa.Baraza kuu Chadema bado halijakaa kuamua hatima yao.Watakapokaa na kuamua kuwafukuza uanachama hapo ndipo watakuwa sio wabunge tena
Wamepeleka shauri lao baraza kuu lao kama katiba inavyotaka ya chama chao.Baraza halijakaa kuamua hivyo bado wao ni wabunge halali
Mnajidanganya ujinga tupu. Walisusa ikatoka. Wasubiri 2025Japo umeuliza kama kwa kejeli mkuu ila hawa wadada wameonesha ukomavu sana wa kulinda na kuipigania katiba ya nchi. Mimi na wewe tunajiicha nyuma ya keyboard tunajiona wajanja kumbe akili zetu pengine ni robo ya Ndugai.
Amini usiamini kama sio wewe hata mjukuu wako atakuja kuona madhara ya mtu mmoja kuisigina katiba apendavyo tena kwa kejeli na vizazi vijavyo vitatusoma kwenye masomo yao kama matahira tulioshindwa hata kuitetea katiba kuacha mtu au kikundi kuichezea watakavyo.
Kwahiyo wameahirisha safari?Kipigo cha mbwa koko ni tishio
ππππ
Tusubiri tuone kama siku itapita salama.Enzo za vipigo vya mbwakoko vimepita.
Hamna mkuu lengo ni kuongeza amsha amsha hadi kieleweke.Isijekuwa unawafuatilia ili uwahujumu.
Nchi ya kijinga sn, mvunja katiba Ndugai analindwa kwa gharama zozoteKamanda hajielewi huyo!
Anaongea maneno ya kihuni! .
Hatuwezi kutishwa kwenye kulinda sanctity ya katiba kwa mitutu ya bunduki.
Lazima katiba ya nchi iheshimiwe!
Mmeshaingia Dodoma manka?Huyu mpuuzi bado anajua dikteta yupo hai
Vipi mko sehemu gani sasa hivi?Nchi ya kijinga sn, mvunja katiba Ndugai analindwa kwa gharama zozote
Mimi naamini ni kweli kuna vilaza wengi serikalini naanza kuamini. toka lini confrence na mabunduki tena kaleta wanawake ni kama vile mkija mtambana na hawa damu itamwagika.Hebu muoneni huyu kamanda!
...
Wewe unaona darasa la Saba ndo hawana akili? Jinga wewe.Huu ujinga ndio unachafua taswira ya nchi ... ni maigizo ya darasa la saba haya