RPC Muroto atoa onyo kwa BAWACHA, asema wanaotaka kuandamana watakipata wanachokitafuta wakasimulie wenzao huko Geita

Polisi wa Bongo ni Form-Four failures.Wale waliokuwa wana Division Four ya mwisho kabisa ndio walikwenda upolisi.Wanatumia miguvu mingi zaidi kuliko akili😡
 
Haya maandamano yataanzia wapi? Yanakwenda Bungeni ili kuachieve nini pale Bungeni? Sidhani kama kuandamana kwenda Bungeni kutaachieve chochote as far as this issue ya Wabunge 19 is concerned.

Based on experience, utashangaa hiyo kesho wapangaji wenyewe wa maandamano wakaingia mitini na wasijitokeze barabarani
 
Hapa ndipo huwa nashindwa kuelewa maana ya 'freedom of expression' (uhuru wa kutoa mawazo, maoni, kuonyesha hisia hadharani ili mradi mtu havunji sheria za nchi). Sina hakika sana kama hii haki ya kikatiba inatafsiriwa vizuri .
 
Nilisikia kuwa walishafukuzwa ila wamekata rufaa.Je kukata rufaa huwa inatengua maamuzi ya hukumu au mpaka rufaa iamuliwe?
Tofautisha maamuzi ya chama na ya mahakama .Mahakama ya chini ikihukumu jela unaenda utakata rufaa ukiwa jeka chama cha siasa sio mahakama katiba ndio hutumika kamati kuu imewafukuza sio final wamekata rufaa baraza kuu hivyo bado wanachama kikatiba ndio baraza linatakiwa kuwasikiliza wasingekuwa wanachama baraza kuu lisingeweza kusikiliza kesi zao sababu kazi yake kusikiliza rufaa za wanachama sio za wasio wanachama
 
Duh sasa Halima alipeleka kiambatanishi gani hapo kwa Ndugae kuwa kateuliwa na CDM? Na Je kwa nini Halima asihamie tu CCM ili kumaliza mzozo?
 
Wasisahau bukta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…