RPC Muroto atoa onyo kwa BAWACHA, asema wanaotaka kuandamana watakipata wanachokitafuta wakasimulie wenzao huko Geita

Huyo Muroto naona akili zake ziko mikonini, anafikiri kupiga watu tu
 
Muroto Hana akili, anadhani mabavu huleta amani kumbe ndio huvunja amani na kuleta chuki mbaya. Ajifunze kwanini mwendazake alipoenda watu walifurahi Sana?
 
Huu ujinga ndio unachafua taswira ya nchi ... ni maigizo ya darasa la saba haya
 
Sijawahi kuona busara zako humu JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…