Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Huyo Muroto naona akili zake ziko mikonini, anafikiri kupiga watu tuKamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma amesema ofisi yake haina taarifa rasmi za maandamano ya bawacha hivyo atakayeandamana atakutana na mkino wa dola.
Kamanda Muroto amewataka akina mama hao waliopanga kuandamana waje na computer na madaftari ya kuchukulia notisi ili waandike kile watakachokutana nacho kisha wakawafundishe na wenzao wa huko Geita ili liwe somo la keheshimu sheria na taratibu zake.
Source ITV habari
My take; Kwa kuwa Bawacha hawajaanza Safari ni busara wakahairisha kama Simba na Yanga!
Umemsahau mzee wa kipigo cha mbwa koko?Daaah mbwa koko tena??nan huyo
Madhara ya kuwa mpumbavu.Mimi nilichovutiwa na iyo sanamu tu iyo nyonyo
Dah kamanda mtu wangu yani unamtukana kamanda mwenzako? This is not right at all. Naenda kulala😭😭😭😭😭👌🏿👌🏿Madhara ya kuwa mpumbavu.
Muroto Hana akili, anadhani mabavu huleta amani kumbe ndio huvunja amani na kuleta chuki mbaya. Ajifunze kwanini mwendazake alipoenda watu walifurahi Sana?Hebu muoneni huyu kamanda!
Anawaonya Bawacha kuhusu maandamano yao huku akiwa flanked na mapolisi wanawake waliovalia mavazi maalumu [ambayo nahisi ni ya kupambana na ghasia] huku wameshikilia mabunduki na wakiwa wamenuna!
What the hell is this?
Huu ujinga ndio unachafua taswira ya nchi ... ni maigizo ya darasa la saba hayaHebu muoneni huyu kamanda!
Anawaonya Bawacha kuhusu maandamano yao huku akiwa flanked na mapolisi wanawake waliovalia mavazi maalumu [ambayo nahisi ni ya kupambana na ghasia] huku wameshikilia mabunduki na wakiwa wamenuna!
What the hell is this?
Sijawahi kuona busara zako humu JFKamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma amesema ofisi yake haina taarifa rasmi za maandamano ya bawacha hivyo atakayeandamana atakutana na mkino wa dola.
Kamanda Muroto amewataka akina mama hao waliopanga kuandamana waje na computer na madaftari ya kuchukulia notisi ili waandike kile watakachokutana nacho kisha wakawafundishe na wenzao wa huko Geita ili liwe somo la keheshimu sheria na taratibu zake.
Source ITV habari
My take; Kwa kuwa Bawacha hawajaanza Safari ni busara wakahairisha kama Simba na Yanga!