johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #41
Kamanda mbwakachoka!Sijawahi kuona busara zako humu JF
Hivi alistaafu au alistaafishwa?Hata comrade Polepole kabla hajastaafu press yake ya mwisho alikuwa amezungukwa na walinzi wa kike!
Hujui unacho ongea weweAkili ndogo nguvu kubwa, labda haya makosa yameanzia kwa wakufunzi wao.
Andha kanoonAmitabh Bachchan Hakubaliani na wewe....
Kamanda yupo tayari kuwapa Bawacha chanjo ya korona 🤣🤣🤣
This dude is a trip!o
Cha kujiuluza, hivi hata hiyo chanjo hao mapolisi wameisha pewa? Au wao ndio watakuwa chanzo cha usambazaji? Watavaa barakoa pia au wateenda midomo pua wazi peku peku?Kamanda yupo tayari kuwapa Bawacha chanjo ya korona 🤣🤣🤣
This dude is a trip!
Andha kanoon
Hapana ina maana kama jamaa alivyosema legally ila ki-uhalisia ni kwamba hakuna hakiNadhani Andha kanoon maana yake ni
'Hakuna Haki' Kiswahili