Mama sio Mjinga kupiga Wananchi bila sababu kulishazikwaWapigwe tu hakuna namna mjinga ni mjinga tu
Huyu Kamanda, mbona kauli zake huwa zimekaa kiuropokaji ropokaji? Wanaomfahamu, huyu bwana yupo sawasawa?Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma amesema ofisi yake haina taarifa rasmi za maandamano ya bawacha hivyo atakayeandamana atakutana na mkino wa dola.
Kamanda Muroto amewataka akina mama hao waliopanga kuandamana waje na computer na madaftari ya kuchukulia notisi ili waandike kile watakachokutana nacho kisha wakawafundishe na wenzao wa huko Geita ili liwe somo la keheshimu sheria na taratibu zake.
Source ITV habari
My take; Kwa kuwa Bawacha hawajaanza Safari ni busara wakahairisha kama Simba na Yanga!
Andha Kanoon.Sukuma Gang unadhani ukisema haya ndio utaonekana cdm?
Acha uboya we mburulaWapigwe tu hakuna namna mjinga ni mjinga tu
Muuza face naona unataka kupoteza watu maboya ili wasijue kuwa ww ni Mataga uliyepewa eneo la kuigiza kama mwanacdm.Andha Kanoon.
Hayo ndio mafunzo aliyopewa pale Chuo Cha Polisi (CCP) Moshi au ni mbwembwe ili aonekane mchapakazi?Mmeambiwa mje na madaftari!
Siyo mzima kichwani huyo humuoni namna anavyoongea? Anabwatuka hovyoHuyu Kanda, mbona kauli zake huwa zimekaa kiuropokaji ropokaji? Wanaomfahamu, huyu bwana yupo sawasawa?
Mwambie aaache kujipendekeza wala hatapewa kuwa IGP, sura kama samaki aliyeungua jikoniKamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma amesema ofisi yake haina taarifa rasmi za maandamano ya bawacha hivyo atakayeandamana atakutana na mkino wa dola.
Kamanda Muroto amewataka akina mama hao waliopanga kuandamana waje na computer na madaftari ya kuchukulia notisi ili waandike kile watakachokutana nacho kisha wakawafundishe na wenzao wa huko Geita ili liwe somo la keheshimu sheria na taratibu zake.
Source ITV habari
My take; Kwa kuwa Bawacha hawajaanza Safari ni busara wakahairisha kama Simba na Yanga!
Zamani za kale, mwisho wake ilikua February 2021?Kwahiyo anataka kupiga shangazi zetu? Haya Mambo yakizamani sana
Na ni haki yao kikatiba,ruksa kufanya maandamano ya amani,ba ulinzi mnapewa,ila uonevu huu.Kwani kuandamana ndo katiba imevunjwa,?, mbafu
Huna akili we boya.Muuza face naona unataka kupoteza watu maboya ili wasijue kuwa ww ni Mataga uliyepewa eneo la kuigiza kama mwanacdm.
Kwa hiyo kamanda anawatisha wanaodai haki zao badala ya kushughulikia waliozipora? Je anajisifia alivyofanya mauaji kwa kushirikiana na chama kile hata kumuua Mawazo RIP na hakuna aliyewajibishwa au anamaanisha lipi?Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma amesema ofisi yake haina taarifa rasmi za maandamano ya bawacha hivyo atakayeandamana atakutana na mkino wa dola.
Kamanda Muroto amewataka akina mama hao waliopanga kuandamana waje na computer na madaftari ya kuchukulia notisi ili waandike kile watakachokutana nacho kisha wakawafundishe na wenzao wa huko Geita ili liwe somo la keheshimu sheria na taratibu zake.
Source ITV habari
My take; Kwa kuwa Bawacha hawajaanza Safari ni busara wakahairisha kama Simba na Yanga!
Huna akili we boya.