RPC Muroto atoa onyo kwa BAWACHA, asema wanaotaka kuandamana watakipata wanachokitafuta wakasimulie wenzao huko Geita

RPC Muroto atoa onyo kwa BAWACHA, asema wanaotaka kuandamana watakipata wanachokitafuta wakasimulie wenzao huko Geita

Kwani RPC anakuwa na walinzi binafsi wangapi, au ameona kuwa flanked na makamanda wa kike inampa sana credit....
 
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma amesema ofisi yake haina taarifa rasmi za maandamano ya bawacha hivyo atakayeandamana atakutana na mkino wa dola.

Kamanda Muroto amewataka akina mama hao waliopanga kuandamana waje na computer na madaftari ya kuchukulia notisi ili waandike kile watakachokutana nacho kisha wakawafundishe na wenzao wa huko Geita ili liwe somo la keheshimu sheria na taratibu zake.

Source ITV habari

My take; Kwa kuwa Bawacha hawajaanza Safari ni busara wakahairisha kama Simba na Yanga!
Huyu Kamanda, mbona kauli zake huwa zimekaa kiuropokaji ropokaji? Wanaomfahamu, huyu bwana yupo sawasawa?
 
Ushauri tu mama zangu na dada zangu acheni kuandamana mnafamilia nyumbani..Msiwajaribu polisi tumieni viongozi wenu kuwakilisha hoja zenu..Ukipata ulemavu ni wewe na familia yako...
 
Haka ka utaratibu ka mabodigadi wa kike kana maana gani?
 
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma amesema ofisi yake haina taarifa rasmi za maandamano ya bawacha hivyo atakayeandamana atakutana na mkino wa dola.

Kamanda Muroto amewataka akina mama hao waliopanga kuandamana waje na computer na madaftari ya kuchukulia notisi ili waandike kile watakachokutana nacho kisha wakawafundishe na wenzao wa huko Geita ili liwe somo la keheshimu sheria na taratibu zake.

Source ITV habari

My take; Kwa kuwa Bawacha hawajaanza Safari ni busara wakahairisha kama Simba na Yanga!
Mwambie aaache kujipendekeza wala hatapewa kuwa IGP, sura kama samaki aliyeungua jikoni

IMG-20210509-WA0052.jpg
 
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma amesema ofisi yake haina taarifa rasmi za maandamano ya bawacha hivyo atakayeandamana atakutana na mkino wa dola.

Kamanda Muroto amewataka akina mama hao waliopanga kuandamana waje na computer na madaftari ya kuchukulia notisi ili waandike kile watakachokutana nacho kisha wakawafundishe na wenzao wa huko Geita ili liwe somo la keheshimu sheria na taratibu zake.

Source ITV habari

My take; Kwa kuwa Bawacha hawajaanza Safari ni busara wakahairisha kama Simba na Yanga!
Kwa hiyo kamanda anawatisha wanaodai haki zao badala ya kushughulikia waliozipora? Je anajisifia alivyofanya mauaji kwa kushirikiana na chama kile hata kumuua Mawazo RIP na hakuna aliyewajibishwa au anamaanisha lipi?
 
Back
Top Bottom