Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Mtoa mada ni mtetezi halisi wa Majizi DP WORLD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Reform from which destruction and rebuild yourself from which damage and whose source of the aftermath?Unaishi kimazowea, badilika. "Reform and rebuild yourself".
Shikamoo Bibi, ni mimi mjukuu wako. Naomba tusipangiane R.Unaishi kimazowea, badilika. "Reform and rebuild yourself".
Ee tumeachana nayo maana pilau tumetoa boko masheikh wamenunaKwa hiyo tumeachana na kazi iendelee?
Excellent figurative clarification on the disguised '4Rs'1. R- Rushwa (wizi, upigaji, kulamba asali)
2. R- Retailing (kuuza vitu vya nchi)
3. R- Recycling (kurudisha watu wa zamani, kurudisha madudu ya zamani)
4. R- Roaming (kusafirisafiri, kuzururazurura)
Aahaaaa, FaizaFoxy njoo huku1. R-RUSHWA
2. R-.RUSHWA
3. R-RUSHWA
4. R-RUSHWA
Hayo yoite ni8 mazowea, sasa hivi hakuna mazowea, kuna "reform na Revuilding".Mkukuta ,mkurabita, kilimo kwanza , big result now na mengi yalizikwa.
Hakuna jipya chini ya CCM
Sent using Jamii Forums mobile app
FaizaFoxy njoo hukuMkukuta ,mkurabita, kilimo kwanza , big result now na mengi yalizikwa.
Hakuna jipya chini ya CCM
Sent using Jamii Forums mobile app
Failing stateHayo yoite ni8 mazowea, sasa hivi hakuna mazowea, kuna "reform na Revuilding".
Kwenye kilimo sasa hivi Tanzania ndiyo nchi pekee duniani inawezesha vijana wake kwa kuwa elimu, mashamba (yao wenyewe) kwaanzishia maisha, vifaa vya kisasa vya kulimia, mpaka visima inawachimbia na mabwawa inawajengea.
Hilo ni bonge la "reform" kwenye kilimo, kama unataka kuwa mkulima ziwahi fursa: Pitia hapa ujionee:
Mema kwa mkulima wa Tanzania... Bashe na Rais Samia wanafanya kweli
Mkulima wa Tanzania sasa hivi ana kituo cha kisasa cha huduma kwa mtej (,Customer care). Bashe kwa mara ya kwanza Tanzania, anaifanya Wizara ya kilimo kuwa ni watoa huduma wa kisasa kwa wakulima. Jionee: Mengine tutaendelea kuwaletea. Hongera Bashe, Hongera Rais Samia. === Waziri Hussein...www.jamiiforums.com
Wachana na mazowea zisome R za mama uitumie fursa. Usidanganywe.
Ulimaanisha hivi au? Acha utani wewe! Labda ujitoe ufahamu! Huyu ni Mungu au Binadamu mwenye chuki, hasira, jazba,kisasi, roho mbaya, wivu n.k. Unahisi atataka amani huyu?falsafa hii ipo ndani ya Qur'an na inakwenda deeeper sana
Jionee R zinavyofanya kazi:1. R- Rushwa (wizi, upigaji, kulamba asali)
2. R- Retailing (kuuza vitu vya nchi)
3. R- Recycling (kurudisha watu wa zamani, kurudisha madudu ya zamani)
4. R- Roaming (kusafirisafiri, kuzururazurura)
Hizo R nne yeye mwenyewe hazitoki moyoni mwake achilia mbali kuziamini. Ni siasa tu!RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.
R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki kutawaliwa kimazowea na wala tusiwe na fikra za mama Samia kuwa anatawala kama tulivyozowea.
Mama Samia amekwenda mbali sana, tena ya mazowea na upeo wa kawaida. Katuleta fursa za ajabu kwenye falsafa yake ya RRRR. Natumai wote tutachukuwa muda tuisome na tuielewe, tujielimishe ili tuzitumie fursa zinakuja na hizi RRRR.
Namshauri sana Waziri wa Habari na Wasemaji wote wa Serikali, kila mmoja kwa nafasi yake aielezee na kuifundisha falsafa kimaelezo na kivitendo. Na hili ni kwa mawaziri wake wote na watendaji waliomuelewa, waielezee na waifanyie kazi kwa vitendo ili Watanzania tuzione na kuzijuwa fursa ziliopo.
Nawaasa wale mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ambao hawajamuelewa, wakiendelea kmazowea na kutoielewa hii falsafa ni heri wajiondoe wenyewe, la sivyo watashushwa njiani.
Nahisi, Hussein Bashe, kaielewa sana hii falsafa na anafanya kweli Reforms, kisasa. Upande mwingine, naona Kitila nae ameanza kumuelewaa. Sina shaka kabisa na Mchechu kuwa amemuelewa mama vilivyo na analidhihirisha hilo kinaga ubaga.
Watu ambao nawaona bado hawajamuelewa ni pamoja na Kassim Majaliwa na Makamo wa Rais. Nawwaona bado wanataka kuendelea kimazowea.
R ya kwanza ni Reconciliation, unaweza kutafsiri kama kupatanisha au mapatano lakini kiuhakika, falsafa hii ipo ndani ya Qur'an na inakwenda deeeper sana. Nawashauri wote, wapitoe aya zo zinazohusina na "reconciliation" ili waipate vyema.
Wengi wetu, hata mimi mwanzoni nilidhani inaishia juu ya meza na kupeana mikono na chadema. Nikaona mbona ipo "too shallow", lakini nilipoingia na kuanza kuichimba na kuichambuwa dhanna nzima kwa undani, nikaiona yenyewe tu, bila zile R nyingine mtu anaweza kuandika thesisis kumi au zaidi za PhD na zote zikapita with "flying colors".
Kwa kuwa dhanna hii moja ni bdefu sana tena, ntakuwa nikiitowa vipande vipande vyake kidogokidogo wakati uzi unaendelea.
Vijana zitumieni fursa, kuna watu watajaribu kuzibania kimazowea, msikubali, sasa hakuna mazowea. Pia nawashauri vijana ambao hawazioni fursa, waulize tuwaoneshe zilipo.
Ahsante sana mama Samia. You are the best.
Ikiwa ukisoma huelewi basi hata macho hayaoni:Hizo R nne yeye mwenyewe hazitoki moyoni mwake achilia mbali kuziamini. Ni siasa tu!
Sawa bi kidude, tangu asubuhi hatuna umeme hapa kwetuRRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.
R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki kutawaliwa kimazowea na wala tusiwe na fikra za mama Samia kuwa anatawala kama tulivyozowea.
Mama Samia amekwenda mbali sana, tena ya mazowea na upeo wa kawaida. Katuleta fursa za ajabu kwenye falsafa yake ya RRRR. Natumai wote tutachukuwa muda tuisome na tuielewe, tujielimishe ili tuzitumie fursa zinakuja na hizi RRRR.
Namshauri sana Waziri wa Habari na Wasemaji wote wa Serikali, kila mmoja kwa nafasi yake aielezee na kuifundisha falsafa kimaelezo na kivitendo. Na hili ni kwa mawaziri wake wote na watendaji waliomuelewa, waielezee na waifanyie kazi kwa vitendo ili Watanzania tuzione na kuzijuwa fursa ziliopo.
Nawaasa wale mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ambao hawajamuelewa, wakiendelea kmazowea na kutoielewa hii falsafa ni heri wajiondoe wenyewe, la sivyo watashushwa njiani.
Nahisi, Hussein Bashe, kaielewa sana hii falsafa na anafanya kweli Reforms, kisasa. Upande mwingine, naona Kitila nae ameanza kumuelewaa. Sina shaka kabisa na Mchechu kuwa amemuelewa mama vilivyo na analidhihirisha hilo kinaga ubaga.
Watu ambao nawaona bado hawajamuelewa ni pamoja na Kassim Majaliwa na Makamo wa Rais. Nawwaona bado wanataka kuendelea kimazowea.
R ya kwanza ni Reconciliation, unaweza kutafsiri kama kupatanisha au mapatano lakini kiuhakika, falsafa hii ipo ndani ya Qur'an na inakwenda deeeper sana. Nawashauri wote, wapitoe aya zo zinazohusina na "reconciliation" ili waipate vyema.
Wengi wetu, hata mimi mwanzoni nilidhani inaishia juu ya meza na kupeana mikono na chadema. Nikaona mbona ipo "too shallow", lakini nilipoingia na kuanza kuichimba na kuichambuwa dhanna nzima kwa undani, nikaiona yenyewe tu, bila zile R nyingine mtu anaweza kuandika thesisis kumi au zaidi za PhD na zote zikapita with "flying colors".
Kwa kuwa dhanna hii moja ni bdefu sana tena, ntakuwa nikiitowa vipande vipande vyake kidogokidogo wakati uzi unaendelea.
Vijana zitumieni fursa, kuna watu watajaribu kuzibania kimazowea, msikubali, sasa hakuna mazowea. Pia nawashauri vijana ambao hawazioni fursa, waulize tuwaoneshe zilipo.
Ahsante sana mama Samia. You are the best.
Sawa ww usioishi kimazoeaUnaishi kimazowea, badilika. "Reform and rebuild yourself".
Ndo maana halisi ya hizo r hongera mkuu1. R- Rushwa (wizi, upigaji, kulamba asali)
2. R- Retailing (kuuza vitu vya nchi)
3. R- Recycling (kurudisha watu wa zamani, kurudisha madudu ya zamani)
4. R- Roaming (kusafirisafiri, kuzururazurura)
What Are The 4Rs? The 4Rs, Refuse, Reduce, Reuse, and Recycle, are a simple way of reminding us how we can make a difference.Mwite mama wewe sio kila mtu. Utatumiaje kiingereza wakati ni mswahili wa Makunduchi? Mwanannchi wa kawaida wala hashughuliki kutaka kujua maana yake ni kitu gani na inafaida gani katika maisha yake.
Ili uwe mwalimu mzuri unatakiwa uwe mbunifu kuwezesha somo lako lieleweke kwa ufasaha na haraka tayari kwa utekelezaji wa pamoja kuliko kuwa na mawazo ya kigeni wakati kuna hazina ya mawazo ya wazawa kwa mawasiliano ya lugha ya wazawa.
What Are The 4Rs? The 4Rs, Refuse, Reduce, Reuse, and Recycle, are a simple way of reminding us how we can make a difference.R ya kwanza ni Reconciliation, unaweza kutafsiri kama kupatanisha au mapatano lakini kiuhakika, falsafa hii ipo ndani ya Qur'an na inakwenda deeeper sana. Nawashauri wote, wapitoe aya zo zinazohusina na "reconciliation" ili waipate vyema.