RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka

RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka

RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.

R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki kutawaliwa kimazowea na wala tusiwe na fikra za mama Samia kuwa anatawala kama tulivyozowea.
Tatzio unaandika ili kuonesha huyo mama ni genius, wapi wewe? Hakuna kitu hapo. Ndo maana anakaa kimya uongee nini? Uyatoe wapi ya kuongea kama huna? Naamini kuna sehemu ataambiwa majawabu halafu atajiada kuvunja ukimya.

Mtu akishataka kusifiwa kupitia dini na jinsia badala ya siasa ambayo kazi aliyopewa, huyo ni fake tu!
 
RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.

R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki kutawaliwa kimazowea na wala tusiwe na fikra za mama Samia kuwa anatawala kama tulivyozowea.



Ahsante sana mama Samia. You are the best.
Porojo kama porojo nyingine. Wajinga ndio huwa wanaambiwa usanii wa aina hiyo
 
RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.

R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki kutawaliwa kimazowea na wala tusiwe na fikra za mama Samia kuwa anatawala kama tulivyozowea.
Utajikomba sana lkn kwa sasa huwezi kupewa nafasi yoyote
 
RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.

R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki

Ahsante sana mama Samia. You are the best.
Ndo alozotumia kuuza Bandari?
 
Kama una smartphone inayoweza kuingia mtandaoni halafu unashindwa kuelewa hayo, hotomuelewa mama Samia kabisa.

Subiri kwenye uzi utazielewa hizo R nne ni nini kwa Kiswahili. R moja nimeshaielezea post namba moja, kasome vizuri.
 
RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.

R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki kutawaliwa kimazowea na wala tusiwe na fikra za mama Samia kuwa anatawala kama tulivyozowea.

Mama Samia amekwenda mbali sana, tena ya mazowea na upeo wa kawaida. Katuleta fursa za ajabu kwenye falsafa yake ya RRRR. Natumai wote tutachukuwa muda tuisome na tuielewe, tujielimishe ili tuzitumie fursa zinakuja na hizi RRRR.

Namshauri sana Waziri wa Habari na Wasemaji wote wa Serikali, kila mmoja kwa nafasi yake aielezee na kuifundisha falsafa kimaelezo na kivitendo. Na hili ni kwa mawaziri wake wote na watendaji waliomuelewa, waielezee na waifanyie kazi kwa vitendo ili Watanzania tuzione na kuzijuwa fursa ziliopo.

Nawaasa wale mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ambao hawajamuelewa, wakiendelea kmazowea na kutoielewa hii falsafa ni heri wajiondoe wenyewe, la sivyo watashushwa njiani.

Nahisi, Hussein Bashe, kaielewa sana hii falsafa na anafanya kweli Reforms, kisasa. Upande mwingine, naona Kitila nae ameanza kumuelewaa. Sina shaka kabisa na Mchechu kuwa amemuelewa mama vilivyo na analidhihirisha hilo kinaga ubaga.

Watu ambao nawaona bado hawajamuelewa ni pamoja na Kassim Majaliwa na Makamo wa Rais. Nawwaona bado wanataka kuendelea kimazowea.

R ya kwanza ni Reconciliation, unaweza kutafsiri kama kupatanisha au mapatano lakini kiuhakika, falsafa hii ipo ndani ya Qur'an na inakwenda deeeper sana. Nawashauri wote, wapitoe aya zo zinazohusina na "reconciliation" ili waipate vyema.

Wengi wetu, hata mimi mwanzoni nilidhani inaishia juu ya meza na kupeana mikono na chadema. Nikaona mbona ipo "too shallow", lakini nilipoingia na kuanza kuichimba na kuichambuwa dhanna nzima kwa undani, nikaiona yenyewe tu, bila zile R nyingine mtu anaweza kuandika thesisis kumi au zaidi za PhD na zote zikapita with "flying colors".

Kwa kuwa dhanna hii moja ni bdefu sana tena, ntakuwa nikiitowa vipande vipande vyake kidogokidogo wakati uzi unaendelea.

Vijana zitumieni fursa, kuna watu watajaribu kuzibania kimazowea, msikubali, sasa hakuna mazowea. Pia nawashauri vijana ambao hawazioni fursa, waulize tuwaoneshe zilipo.

Ahsante sana mama Samia. You are the best.
Kwanini unatumia lugha ya makafikiri kiingereza kuelezea?
Tumia lugha ya dini ya haki kiarabu.
 
Rebuilding . Huyu mama atawastaajabisha watu wengi tujaliwe uzima tu .
Kaanza Rebuilding bandarini, watu wameanz akufoka-foka, hajaielewa falsafa yake wanaishi kimazowea, yeye kawakalia kimya, waone amekusudia nini.

Alianza kwa kuibomowa bodi, akawafurusha TICTS, sasa anajenga upya utawala mzima wa bandari. Watamuelewa tu.

Binafsi nimememuelewaa sana kwenye rebuilding.


Wasielewa, Rebuilding ni kujenga uoya. Siyo kukarabati. Bomoa, weka kitu kipya> ndivto afanyavyo mama kwenye vyanzo vyote vya fedha.

Mwezi mzima huu, alikuwa ana operation ya kukamata wezi wa dhahabu, kampuni hizo hizo zilizopewa mikataba mipya na mwendazake, wanawatumia Watanzania wajinga wachache, badala ya makinikia sasa wanaiba vinoo kabisa vya dhahabu, tena kwa wingi kweli kweli. Mama kaanza kubomowa nomowa mifumo huko, kimya kimya bila kelele.

Jiulize kwanini kina Kabudi wapo kimya?

Utaelewa maana ya Reforms.
 
RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.

R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki kutawaliwa kimazowea na wala tusiwe na fikra za mama Samia kuwa anatawala kama tulivyozowea.

Mama Samia amekwenda mbali sana, tena ya mazowea na upeo wa kawaida. Katuleta fursa za ajabu kwenye falsafa yake ya RRRR. Natumai wote tutachukuwa muda tuisome na tuielewe, tujielimishe ili tuzitumie fursa zinakuja na hizi RRRR.

Namshauri sana Waziri wa Habari na Wasemaji wote wa Serikali, kila mmoja kwa nafasi yake aielezee na kuifundisha falsafa kimaelezo na kivitendo. Na hili ni kwa mawaziri wake wote na watendaji waliomuelewa, waielezee na waifanyie kazi kwa vitendo ili Watanzania tuzione na kuzijuwa fursa ziliopo.

Nawaasa wale mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ambao hawajamuelewa, wakiendelea kmazowea na kutoielewa hii falsafa ni heri wajiondoe wenyewe, la sivyo watashushwa njiani.

Nahisi, Hussein Bashe, kaielewa sana hii falsafa na anafanya kweli Reforms, kisasa. Upande mwingine, naona Kitila nae ameanza kumuelewaa. Sina shaka kabisa na Mchechu kuwa amemuelewa mama vilivyo na analidhihirisha hilo kinaga ubaga.

Watu ambao nawaona bado hawajamuelewa ni pamoja na Kassim Majaliwa na Makamo wa Rais. Nawwaona bado wanataka kuendelea kimazowea.

R ya kwanza ni Reconciliation, unaweza kutafsiri kama kupatanisha au mapatano lakini kiuhakika, falsafa hii ipo ndani ya Qur'an na inakwenda deeeper sana. Nawashauri wote, wapitoe aya zo zinazohusina na "reconciliation" ili waipate vyema.

Wengi wetu, hata mimi mwanzoni nilidhani inaishia juu ya meza na kupeana mikono na chadema. Nikaona mbona ipo "too shallow", lakini nilipoingia na kuanza kuichimba na kuichambuwa dhanna nzima kwa undani, nikaiona yenyewe tu, bila zile R nyingine mtu anaweza kuandika thesisis kumi au zaidi za PhD na zote zikapita with "flying colors".

Kwa kuwa dhanna hii moja ni bdefu sana tena, ntakuwa nikiitowa vipande vipande vyake kidogokidogo wakati uzi unaendelea.

Vijana zitumieni fursa, kuna watu watajaribu kuzibania kimazowea, msikubali, sasa hakuna mazowea. Pia nawashauri vijana ambao hawazioni fursa, waulize tuwaoneshe zilipo.

Ahsante sana mama Samia. You are the best.
Let r ya pili mh[emoji120]
 
Kila mwanamke kwangu ni mama. Wewe muite upendabyo ndiyo "reconciliation" hiyo.

Inabidi u "reform" una kifaa mkononi halafu unalalamika lugha, dunia ya leo siyo ya kulalamikia lugha.

Mama juzi kwaambia airtel wahakikishe wanamkopesha Mtanzania yeyote smartphone, kwa mambo ya watu kama wewe mnaoishi kimazowea. Badilika.

Wewe nikikuita mama ni sa sawa tu, "scientifically you are simply a mammalian".

Hayo manyonyo yako ndiyo mama hizo kama ulikuwa huelewi.

Punguani wahed.
Ungekuta wew siyo kizee alfu upo kwa wagalatia walai ningekuoa mnk una akili snaa. Na Bado wasilmu wenzio hawakutumii ipazwavyo
 
Shikamoo Bibi, ni mimi mjukuu wako. Naomba tusipangiane R.
R nazozijua ni hizi
1. R- Rushwa (wizi, upigaji, kulamba asali)

2. R- Retailing (kuuza vitu vya nchi)

3. R- Recycling (kurudisha watu wa zamani, kurudisha madudu ya zamani)

4. R- Roaming (kusafirisafiri, kuzururazurura)

naomba kuwasilisha
Uko sahaih kbsa
 
Mtoa mada ni mtetezi halisi wa Majizi DP WORLD
Ni wale wanaoamini Uislamu na Uarabu ni pamoja sana. Na anatamani sana aitwe mwarabu Race impostor!
Kumbuka pia DP World wametanguliza zawadi ya misikiti, utadhani sisi ni mabwege saaana!
 
Zawadini yako huku Yale mambo yetu.

R mojawapo hapa yapatikana kwenye aya kadha wa kadha kwenye msahahafu.

Karibu tuendelee na kunoa bongo na kuchangamkia fursa za mama ...
 
Back
Top Bottom