RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka

RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka

RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.

R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki kutawaliwa kimazowea na wala tusiwe na fikra za mama Samia kuwa anatawala kama tulivyozowea.

Mama Samia amekwenda mbali sana, tena ya mazowea na upeo wa kawaida. Katuleta fursa za ajabu kwenye falsafa yake ya RRRR. Natumai wote tutachukuwa muda tuisome na tuielewe, tujielimishe ili tuzitumie fursa zinakuja na hizi RRRR.

Namshauri sana Waziri wa Habari na Wasemaji wote wa Serikali, kila mmoja kwa nafasi yake aielezee na kuifundisha falsafa kimaelezo na kivitendo. Na hili ni kwa mawaziri wake wote na watendaji waliomuelewa, waielezee na waifanyie kazi kwa vitendo ili Watanzania tuzione na kuzijuwa fursa ziliopo.

Nawaasa wale mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ambao hawajamuelewa, wakiendelea kmazowea na kutoielewa hii falsafa ni heri wajiondoe wenyewe, la sivyo watashushwa njiani.

Nahisi, Hussein Bashe, kaielewa sana hii falsafa na anafanya kweli Reforms, kisasa. Upande mwingine, naona Kitila nae ameanza kumuelewaa. Sina shaka kabisa na Mchechu kuwa amemuelewa mama vilivyo na analidhihirisha hilo kinaga ubaga.

Watu ambao nawaona bado hawajamuelewa ni pamoja na Kassim Majaliwa na Makamo wa Rais. Nawwaona bado wanataka kuendelea kimazowea.

R ya kwanza ni Reconciliation, unaweza kutafsiri kama kupatanisha au mapatano lakini kiuhakika, falsafa hii ipo ndani ya Qur'an na inakwenda deeeper sana. Nawashauri wote, wapitoe aya zo zinazohusina na "reconciliation" ili waipate vyema.

Wengi wetu, hata mimi mwanzoni nilidhani inaishia juu ya meza na kupeana mikono na chadema. Nikaona mbona ipo "too shallow", lakini nilipoingia na kuanza kuichimba na kuichambuwa dhanna nzima kwa undani, nikaiona yenyewe tu, bila zile R nyingine mtu anaweza kuandika thesisis kumi au zaidi za PhD na zote zikapita with "flying colors".

Kwa kuwa dhanna hii moja ni bdefu sana tena, ntakuwa nikiitowa vipande vipande vyake kidogokidogo wakati uzi unaendelea.

Vijana zitumieni fursa, kuna watu watajaribu kuzibania kimazowea, msikubali, sasa hakuna mazowea. Pia nawashauri vijana ambao hawazioni fursa, waulize tuwaoneshe zilipo.

Ahsante sana mama Samia. You are the best.
RRRR Slogans zimekuwa falsafa ghafla
 
What Are The 4Rs? The 4Rs, Refuse, Reduce, Reuse, and Recycle, are a simple way of reminding us how we can make a difference.
Hodri sana wewe, wenzako wanozifahamu maana yake wapo hapa sasa:

 
Hii lgha bila Kiarabu isingeandikika. Ushahidi; Hata herufi zake zinaitwa Alphabets, ni Alif Bee Tee hiyo.

Hao wenzenu wanajifunza kwa Waarabu wankuja kuwadanganya nyinyi. mama anawafanyia Reforms, mjifunze kutoka kwenye "source" ya elimu zote duniani, hakuioni fursa.

Alianza Magufuli kuyaona haya, si unaona bwawa kampa nani? SGR akampa nani? Hata hii bandari usikute aliacha makabrasha yake nani wapewe, maana majanga ya huko alishayashuhudia na akayasemea kwa hasira sana.

Mama sasa anafanya Rebuild kweli bandarini.
Endelea kujifariji. Madrasa mngetumia kiingereza km lugha hata Quran ingeandikwa kwa kiingereza hata kuswali mngetumia kiingereza..
Bila kujua kiarabu hutoboi. Hata Allah mwenyewe hakusikii mpk utumie kiarabu ndiyo anakusikia
 
RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.

R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki kutawaliwa kimazowea na wala tusiwe na fikra za mama Samia kuwa anatawala kama tulivyozowea.

Mama Samia amekwenda mbali sana, tena ya mazowea na upeo wa kawaida. Katuleta fursa za ajabu kwenye falsafa yake ya RRRR. Natumai wote tutachukuwa muda tuisome na tuielewe, tujielimishe ili tuzitumie fursa zinakuja na hizi RRRR.

Namshauri sana Waziri wa Habari na Wasemaji wote wa Serikali, kila mmoja kwa nafasi yake aielezee na kuifundisha falsafa kimaelezo na kivitendo. Na hili ni kwa mawaziri wake wote na watendaji waliomuelewa, waielezee na waifanyie kazi kwa vitendo ili Watanzania tuzione na kuzijuwa fursa ziliopo.

Nawaasa wale mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ambao hawajamuelewa, wakiendelea kmazowea na kutoielewa hii falsafa ni heri wajiondoe wenyewe, la sivyo watashushwa njiani.

Nahisi, Hussein Bashe, kaielewa sana hii falsafa na anafanya kweli Reforms, kisasa. Upande mwingine, naona Kitila nae ameanza kumuelewaa. Sina shaka kabisa na Mchechu kuwa amemuelewa mama vilivyo na analidhihirisha hilo kinaga ubaga.

Watu ambao nawaona bado hawajamuelewa ni pamoja na Kassim Majaliwa na Makamo wa Rais. Nawwaona bado wanataka kuendelea kimazowea.

R ya kwanza ni Reconciliation, unaweza kutafsiri kama kupatanisha au mapatano lakini kiuhakika, falsafa hii ipo ndani ya Qur'an na inakwenda deeeper sana. Nawashauri wote, wapitoe aya zo zinazohusina na "reconciliation" ili waipate vyema.

Wengi wetu, hata mimi mwanzoni nilidhani inaishia juu ya meza na kupeana mikono na chadema. Nikaona mbona ipo "too shallow", lakini nilipoingia na kuanza kuichimba na kuichambuwa dhanna nzima kwa undani, nikaiona yenyewe tu, bila zile R nyingine mtu anaweza kuandika thesisis kumi au zaidi za PhD na zote zikapita with "flying colors".

Kwa kuwa dhanna hii moja ni bdefu sana tena, ntakuwa nikiitowa vipande vipande vyake kidogokidogo wakati uzi unaendelea.

Vijana zitumieni fursa, kuna watu watajaribu kuzibania kimazowea, msikubali, sasa hakuna mazowea. Pia nawashauri vijana ambao hawazioni fursa, waulize tuwaoneshe zilipo.

Ahsante sana mama Samia. You are the best.

haka kabibi kanazeeka vibaya
 
Hodri sana wewe, wenzako wanozifahamu maana yake wapo hapa sasa:

Mbona sijaona nimeona wanakukandia tu?
 
Sawa ww usioishi kimazoea
Kabisa, binaadam unatakiwa uwe "dynamic", toka unazaliwa una Reforms na Rebuilding, na kwenye maisha ni muhimu uwe nazo, hizo huzipati kama hauna Reconciliation na Resilience.

Hata maji yakituwama tu kwenye dimbwi yanachacha.
 
IMG_1229.png
 
hii ni baadhi ya mapatano ya allah na binadamu [emoji867][emoji867][emoji867]
 
Kwanza awajibike. Ni lazima Kuwajibika. Na hiyo ina maana aache vijembe na aseme anachokisema na kumaanisha anachokisema.... ni Ajisemee mwenyewe.

Responsibilty

Pili, anapswa kuwa na majuto. Lazima atambue makosa yake, analega lega? Je, kafungulia masikio Oligarchs na Mabeberu badala ya Wananchi wake?

Remorse

Tatu ni Lazima atoe azimio la kusema 'Kamwe' hatorudia kuuza Ardhi, kama kule Ngorongoro au kuangamiza kabila la Wamasai na Watanganyika wengine au Kugawia Bandari kana tende au Kutuuza kwa Waarabu

Resolve

Na nne, ni kuomba radhi
She must repair her wrong doing

it is her only Repentance.

She takes Responibility,and show Remorse for her wrongdoing, and Resolve never to repeat and Repair the Country. We are divided AF.

...her four R's are therefore...
Responsibility
Remorse
Resolve
Repair.

Kitaeleweka
 
Wewe kalia hivyo hivyo, wenzako wanalamba eka kumi kumi na visima vya maji, na mafunzo ya kilimo. BBT.
Ukitaka kuwa masikini nchi hii, nenda kalime hicho kilimo cha heka kumi kumi uone kama utatoboa. Viongozi wanawapa watoto wao kazi kwenye mashirika ya umma na serikali, na hao uvccm ndio wanawadanganyia na mashamba ya kwenda kushinda huko porini.

Nitajie mtoto wa kiongozi anayelima hizo heka 10 kumi za Bashe. Lakini naweza kukutajia msururu wa watoto wa viongozi walioko kwenye taasisi za umma.
 
Ni kweli jiwe kawap bwawa na sgr waarabu ingwa waarabu nao hawna ma expert wanawatumia Sana wazungu kukamilisha Mambo yao
Hakuna mtu asiyemtumikia Mwarabu duniani. Kumbuka hilo.


Kama unabisha nenda nchi za Kiarabu ukajionee. They are too much way ahead of anybody's way forward thinking. Wana upeo wa hali ya juu linapokuja suala la maendeleo.
 
Ungekuta wew siyo kizee alfu upo kwa wagalatia walai ningekuoa mnk una akili snaa. Na Bado wasilmu wenzio hawakutumii ipazwavyo
Silimu nikupe toto la Kiislam, hakuna Muislam aliyekuwa poyoyo. Believe you me.
 
RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.

R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki kutawaliwa kimazowea na wala tusiwe na fikra za mama Samia kuwa anatawala kama tulivyozowea.

Mama Samia amekwenda mbali sana, tena ya mazowea na upeo wa kawaida. Katuleta fursa za ajabu kwenye falsafa yake ya RRRR. Natumai wote tutachukuwa muda tuisome na tuielewe, tujielimishe ili tuzitumie fursa zinakuja na hizi RRRR.

Namshauri sana Waziri wa Habari na Wasemaji wote wa Serikali, kila mmoja kwa nafasi yake aielezee na kuifundisha falsafa kimaelezo na kivitendo. Na hili ni kwa mawaziri wake wote na watendaji waliomuelewa, waielezee na waifanyie kazi kwa vitendo ili Watanzania tuzione na kuzijuwa fursa ziliopo.

Nawaasa wale mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ambao hawajamuelewa, wakiendelea kmazowea na kutoielewa hii falsafa ni heri wajiondoe wenyewe, la sivyo watashushwa njiani.

Nahisi, Hussein Bashe, kaielewa sana hii falsafa na anafanya kweli Reforms, kisasa. Upande mwingine, naona Kitila nae ameanza kumuelewaa. Sina shaka kabisa na Mchechu kuwa amemuelewa mama vilivyo na analidhihirisha hilo kinaga ubaga.

Watu ambao nawaona bado hawajamuelewa ni pamoja na Kassim Majaliwa na Makamo wa Rais. Nawwaona bado wanataka kuendelea kimazowea.

R ya kwanza ni Reconciliation, unaweza kutafsiri kama kupatanisha au mapatano lakini kiuhakika, falsafa hii ipo ndani ya Qur'an na inakwenda deeeper sana. Nawashauri wote, wapitoe aya zo zinazohusina na "reconciliation" ili waipate vyema.

Wengi wetu, hata mimi mwanzoni nilidhani inaishia juu ya meza na kupeana mikono na chadema. Nikaona mbona ipo "too shallow", lakini nilipoingia na kuanza kuichimba na kuichambuwa dhanna nzima kwa undani, nikaiona yenyewe tu, bila zile R nyingine mtu anaweza kuandika thesisis kumi au zaidi za PhD na zote zikapita with "flying colors".

Kwa kuwa dhanna hii moja ni bdefu sana tena, ntakuwa nikiitowa vipande vipande vyake kidogokidogo wakati uzi unaendelea.

Vijana zitumieni fursa, kuna watu watajaribu kuzibania kimazowea, msikubali, sasa hakuna mazowea. Pia nawashauri vijana ambao hawazioni fursa, waulize tuwaoneshe zilipo.

Ahsante sana mama Samia. You are the best.


Every time I read an article from you about Madam President Samia, I get new education of how Low a human is ready to go for their own personal & selfish reasons + intentions.

Many of us remember the likes of you in the years between 2005-2014.

I sincerely wish Madam President could see through people like you and your agendas, as you do too much damage in the name of spreading the good deeds.

The misinformation and crap propagandas that you generate here on a daily basis, they simply sell her cheap.

Sometimes it seems that the louder someone claims sainthood, the bigger the Horns they are hiding.

- Steve Maraboli
 
Kwanza awajibike. Ni lazima Kuwajibika. Na hiyo ina maana aache vijembe na aseme anachokisema na kumaanisha anachokisema.... ni Ajisemee mwenyewe.

Responsibilty

Pili, anapswa kuwa na majuto. Lazima atambue makosa yake, analega lega? Je, kafungulia masikio Oligarchs na Mabeberu badala ya Wananchi wake?

Remorse

Tatu ni Lazima atoe azimio la kusema 'Kamwe' hatorudia kuuza Ardhi, kama kule Ngorongoro au kuangamiza kabila la Wamasai na Watanganyika wengine au Kugawia Bandari kana tende au Kutuuza kwa Waarabu

Resolve

Na nne, ni kuomba radhi
She must repair her wrong doing

it is her only Repentance.

She takes Responibility,and show Remorse for her wrongdoing, and Resolve never to repeat and Repair the Country. We are divided AF.

...her four R's are therefore...
Responsibility
Remorse
Resolve
Repair.

Kitaeleweka
Boss andika kiswahili tu, naona unakipenda kiingereza, lakini kiingereza hakikutaki kabisa.
 
Every time I read an article from you about Madam President Samia, I get new education of how Low a human is ready to go for their own personal & selfish reasons + intentions.

Many of us remember the likes of you in the years between 2005-2014.

I sincerely wish Madam President could see through people like you and your agendas, as you do too much damage in the name of spreading the good deeds.

The misinformation and crap propagandas that you generate here on a daily basis, they simply sell her cheap.

Sometimes it seems that the louder someone claims sainthood, the bigger the Horns they are hiding.

- Steve Maraboli
Umeielewa falsafa ya 4 Rs za mama Samia?

Tell us a little about the first R, Reconciliation.
 
Back
Top Bottom