RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka

RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka

Let r ya pili mh[emoji120]
Resilience.

Hii kwa kuitafsiri kiuchache ni; kila tatizo kulifanya liwe fursa. Siyo kuliwacha hanging.

Mtu mwenye falsafa hiyo, wewe kila unapompigia kelele za matatizo, yeye anazichukuwa na kuzifanya fursa kwa vitendo. Ndiyo maana anasema "mimi kiya tu".

Ile kichwa kubwa sana kupita maelezo. kama hajasikia matatizo anayatafuta yako wapi, kishaamuwa na anaelewa kuwa "No problems No opportunities"

Hiyo ndiyo Resilience kwa uchache. Ni Falsafa kubwa sana.

Pale Kikwete mwenyewe anakaa chini.
 
sahihi kabisa
Badilika (reform) Qur'an ni kwa walimwengu wote. Tazama aya moja ya "reconciliation" hii hapa:

Qur'an 49:10. Hakika Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe. 10

Nambie ina tatizo gani hiyo aya kwa yeyote yule? Zipo nyingi sana kuhusu hilo hilo la "reconciliation".

Elimu haina mwisho.
 
Kaanza Rebuilding bandarini, watu wameanz akufoka-foka, hajaielewa falsafa yake wanaishi kimazowea, yeye kawakalia kimya, waone amekusudia nini.

Alianza kwa kuibomowa bodi, akawafurusha TICTS, sasa anajenga upya utawala mzima wa bandari. Watamuelewa tu.

Binafsi nimememuelewaa sana kwenye rebuilding.


Wasielewa, Rebuilding ni kujenga uoya. Siyo kukarabati. Bomoa, weka kitu kipya> ndivto afanyavyo mama kwenye vyanzo vyote vya fedha.

Mwezi mzima huu, alikuwa ana operation ya kukamata wezi wa dhahabu, kampuni hizo hizo zilizopewa mikataba mipya na mwendazake, wanawatumia Watanzania wajinga wachache, badala ya makinikia sasa wanaiba vinoo kabisa vya dhahabu, tena kwa wingi kweli kweli. Mama kaanza kubomowa nomowa mifumo huko, kimya kimya bila kelele.

Jiulize kwanini kina Kabudi wapo kimya?

Utaelewa maana ya Reforms.
HV unasema kwelli
 
Ikiwa ukisoma huelewi basi hata macho hayaoni:

Unaelewa maana ya reconciliation wewe? Unaijua gharama yake? Resilience? Uchungu wake unaujua? Anaimba Resilience huku analia lia na nondo live za akina Lissu? Msipende kudandia misamiati msiyoijua gharama zake kima nyie!
 
Ni wale wanaoamini Uislamu na Uarabu ni pamoja sana. Na anatamani sana aitwe mwarabu Race impostor!
Kumbuka pia DP World wametanguliza zawadi ya misikiti, utadhani sisi ni mabwege saaana!
View attachment 2726437
Ma shaa Allah, hao ni watu tu wa kawaida, DP World wakifanya dunia nzima itasikia, hawana dogo wale.


Jambo la kheri sana hilo, unataka ujengewe night club? Hiyo hata mwambulukusi anaweza kujenga. Hapo watu wanaitafuta pepo.
 
Ma shaa Allah, hao ni watu tu wa kawaida, DP World wakifanya dunia nzima itasikia, hawana dogo wale.


Jambo la kheri sana hilo, unataka ujengewe night club? Hiyo hata mwambulukusi anaweza kujenga. Hapo watu wanaitafuta pepo.
Aaah! Hongera kwa kujua lugha ya kiarabu!
 
Resilience.

Hii kwa kuitafsiri kiuchache ni; kila tatizo kulifanya liwe fursa. Siyo kuliwacha hanging.

Mtu mwenye falsafa hiyo, wewe kila unapompigia kelele za matatizo, yeye anazichukuwa na kuzifanya fursa kwa vitendo. Ndiyo maana anasema "mimi kiya tu".

Ile kichwa kubwa sana kupita maelezo. kama hajasikia matatizo anayatafuta yako wapi, kishaamuwa na anaelewa kuwa "No problems No opportunities"

Hiyo ndiyo Resilience kwa uchache. Ni Falsafa kubwa sana.

Pale Kikwete mwenyewe anakaa chini.
Hata jiwe nae alitumia hii resilience kipindi chake ,alitumia hoja za chadema na malalamiko Yao Kisha akayatatuwa na ndio maana akapendwa kupita Kia's kuliko hata kina Nyerere bna mwinyi

Ni wasi endapo utatumia Sera na kero za chadema utafika mbali kiasiasa snaa
 
Kwanini unatumia lugha ya makafikiri kiingereza kuelezea?
Tumia lugha ya dini ya haki kiarabu.
Hii lgha bila Kiarabu isingeandikika. Ushahidi; Hata herufi zake zinaitwa Alphabets, ni Alif Bee Tee hiyo.

Hao wenzenu wanajifunza kwa Waarabu wankuja kuwadanganya nyinyi. mama anawafanyia Reforms, mjifunze kutoka kwenye "source" ya elimu zote duniani, hakuioni fursa.

Alianza Magufuli kuyaona haya, si unaona bwawa kampa nani? SGR akampa nani? Hata hii bandari usikute aliacha makabrasha yake nani wapewe, maana majanga ya huko alishayashuhudia na akayasemea kwa hasira sana.

Mama sasa anafanya Rebuild kweli bandarini.
 
Ma shaa Allah, hao ni watu tu wa kawaida, DP World wakifanya dunia nzima itasikia, hawana dogo wale.


Jambo la kheri sana hilo, unataka ujengewe night club? Hiyo hata mwambulukusi anaweza kujenga. Hapo watu wanaitafuta pepo.
Ila Kwanin ninyi waislmu wa Happ Tanzania wengi Ni wajinga mno badala ya muombe mpewe fedha mjenge mashule na mahosipitali makubwa Kama RC ninyi mna omba mjengewe misikiti ss cct tumesha toka huko bibi

Alikuja gadafi Hapa badal awajengee shule na vyuoo eti anadondosha bonge la msikit ddodma jiji

HV Leo wee ukiuguwa bib angu Nani atakutibu Kama siyo mgalatiaa [emoji41][emoji3578]
 
Aaah! Hongera kwa kujua lugha ya kiarabu!
Hiyo ndiyo International Language ya kwanza duniani. Soma historia kijana, nakushangaa wewe unasema Kiarabu kila siku halafu huelewi kama unasema Kiarabu. Inabidi u Reform.
 
Hii lgha bila Kiarabu isingeandikika. Ushahidi; Hata herufi zake zinaitwa Alphabets, ni Alif Bee Tee hiyo.

Hao wenzenu wanajifunza kwa Waarabu wankuja kuwadanganya nyinyi. mama anawafanyia Reforms, mjifunze kutoka kwenye "source" ya elimu zote duniani, hakuioni fursa.

Alianza Magufuli kuyaona haya, si unaona bwawa kampa nani? SGR akampa nani? Hata hii bandari usikute aliacha makabrasha yake nani wapewe, maana majanga ya huko alishayashuhudia na akayasemea kwa hasira sana.

Mama sasa anafanya Rebuild kweli bandarini.
Ni kweli jiwe kawap bwawa na sgr waarabu ingwa waarabu nao hawna ma expert wanawatumia Sana wazungu kukamilisha Mambo yao
 
Dar mbona mgawo
Jiji dar liko gizani,mbona aibu

Ova
Hivi hujasikia kuhusu Rebuilding inayofanyika TANESCO?

Usiwe na hofu, hizo ni asharasha za maendeleo, zinaitwa "friendly fire".
 
Utajikomba sana lkn kwa sasa huwezi kupewa nafasi yoyote
AlhamduliLlah, sijawahi kuwa na shauku ya nafasi yoyote serikalini Tanzania. Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
 
Porojo kama porojo nyingine. Wajinga ndio huwa wanaambiwa usanii wa aina hiyo
Wewe kalia hivyo hivyo, wenzako wanalamba eka kumi kumi na visima vya maji, na mafunzo ya kilimo. BBT.
 
Tatzio unaandika ili kuonesha huyo mama ni genius, wapi wewe? Hakuna kitu hapo. Ndo maana anakaa kimya uongee nini? Uyatoe wapi ya kuongea kama huna? Naamini kuna sehemu ataambiwa majawabu halafu atajiada kuvunja ukimya.

Mtu akishataka kusifiwa kupitia dini na jinsia badala ya siasa ambayo kazi aliyopewa, huyo ni fake tu!
Hiyo ndiyo ukisikia "reconciliation", akianza kubishana na wajinga na yeye atakuwa nani?

Inabidi mji "Reform" mama haendi kwa mihemko kama mlivyozowea.
 
Namshauri sana Waziri wa Habari na Wasemaji wote wa Serikali, kila mmoja kwa nafasi yake aielezee na kuifundisha falsafa kimaelezo na kivitendo.
Hao uliowataja hawaielewi kabisa hiyo falsafa kwa sababu haieleweki.

Kwa wewe kushauri waitumie ni uthibitisho tosha kwamba haieleweki kwa hao waliokula kiapo mbele ya mwanzilishi wa hiyo falsafa.

Acha kutwanga maji kwenye kinu madam.
 
Hizo fursa unazosema tukutafute then utupe ni zipi? Ulivyo na roho mbaya hadi kwa waislamu wenzio unataka kutusaidia sisi vijana kwa lipi?? We bibi ulivyochwa wa rais samia ili tu upate teuzi ndio tukutafute utupe fursa??

Acha roho mbaya! Unajiita mwislamu kumbe muislamu jina tu, kwanza waislamu hatupo hivo acha kuingiza Udini kwenye siasa, siasa za nyakati hizi ni ukafiri .
 
Back
Top Bottom