RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka

Unaishi kimazowea, badilika. "Reform and rebuild yourself".
Shikamoo Bibi, ni mimi mjukuu wako. Naomba tusipangiane R.
R nazozijua ni hizi
1. R- Rushwa (wizi, upigaji, kulamba asali)

2. R- Retailing (kuuza vitu vya nchi)

3. R- Recycling (kurudisha watu wa zamani, kurudisha madudu ya zamani)

4. R- Roaming (kusafirisafiri, kuzururazurura)

naomba kuwasilisha
 
Mkukuta ,mkurabita, kilimo kwanza , big result now na mengi yalizikwa.

Hakuna jipya chini ya CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yoite ni8 mazowea, sasa hivi hakuna mazowea, kuna "reform na Revuilding".

Kwenye kilimo sasa hivi Tanzania ndiyo nchi pekee duniani inawezesha vijana wake kwa kuwa elimu, mashamba (yao wenyewe) kwaanzishia maisha, vifaa vya kisasa vya kulimia, mpaka visima inawachimbia na mabwawa inawajengea.

Hilo ni bonge la "reform" kwenye kilimo, kama unataka kuwa mkulima ziwahi fursa: Pitia hapa ujionee:


Wachana na mazowea zisome R za mama uitumie fursa. Usidanganywe.
 
Sasa kama anajua watu hawataelewa / haeleweki na bado anatumia medium ile ile kujaribu kuwaelewesha huoni kwamba hana tofauti na mtu asiyefanya chochote ?

Katika Maendeleo ambayo ni Sustainable lazima yawe ya-kujumuisha walengwa; bottom up approach na sio top to bottom..., wao wananchi ukiwashirikisha wanaelewa zaidi wanachotaka wewe kazi yako ni kuwa-facilitate..., (hayo mambo ya mawazo individual na kufanya vitu kwa fikra zako kafungue kampuni binafsi ufanye unachotaka - Nchi inabidi iendeshwe kwa kutumia Taasisi na mawazo / kushauriana na wadau)

Tulikuwa na kasumba ya miradi ya Magufuli sasa hivi Mawazo ya Mama sijui baada ya miaka mitano itakuwa ni mawazo ya nani !!! (Na yote haya yanafanyika kwa Gharama kubwa ya Kodi za Mwananchi)
 
Failing state
 
falsafa hii ipo ndani ya Qur'an na inakwenda deeeper sana
Ulimaanisha hivi au? Acha utani wewe! Labda ujitoe ufahamu! Huyu ni Mungu au Binadamu mwenye chuki, hasira, jazba,kisasi, roho mbaya, wivu n.k. Unahisi atataka amani huyu?

Surah 47 Muhammad, Ayat 4-4​


فَاِذَا لَقِيۡتُمُ الَّذِيۡنَ كَفَرُوۡا فَضَرۡبَ الرِّقَابِ ؕ حَتّٰٓى اِذَاۤ اَثۡخَنۡتُمُوۡهُمۡ فَشُدُّوۡا الۡوَثَاقَ ۙ فَاِمَّا مَنًّۢا بَعۡدُ وَاِمَّا فِدَآءً حَتّٰى تَضَعَ الۡحَـرۡبُ اَوۡزَارَهَا ۛۚ  ذٰ لِكَ ۛؕ وَلَوۡ يَشَآءُ اللّٰهُ لَانْـتَصَرَ مِنۡهُمۡ  وَلٰـكِنۡ لِّيَبۡلُوَا۟ بَعۡضَكُمۡ بِبَعۡضٍؕ وَالَّذِيۡنَ قُتِلُوۡا فِىۡ سَبِيۡلِ اللّٰهِ فَلَنۡ يُّضِلَّ اَعۡمَالَهُمۡ‏ ﴿47:4



4. Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu. Tena waachilieni kwa hisani au wajikomboe, mpaka vita vipoe. Ndio hivyo. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angeli washinda mwenyewe, lakini haya ni kwa sababu akutieni mitihani nyinyi kwa nyinyi. Na walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu hatazipoteza a´mali zao
 
1. R- Rushwa (wizi, upigaji, kulamba asali)

2. R- Retailing (kuuza vitu vya nchi)

3. R- Recycling (kurudisha watu wa zamani, kurudisha madudu ya zamani)

4. R- Roaming (kusafirisafiri, kuzururazurura)
Jionee R zinavyofanya kazi:


Hiyo ya juu ime cover sekta inayoajiri wengi Tanzania kuliko nyingine yoyote. Hii chini imecove ajira, vijana wahini ajira kwenye mashirika ya umma, sasa hivi haina haja ya kupitia utumishi, wanaajiri wenyewe kwa vihgezo vyao. Hizo ndiyo reforms za mama, wewe hata kama chadema nenda tu, huulizwi kasdi ya chama:

 
Hizo R nne yeye mwenyewe hazitoki moyoni mwake achilia mbali kuziamini. Ni siasa tu!
 
Hizo R nne yeye mwenyewe hazitoki moyoni mwake achilia mbali kuziamini. Ni siasa tu!
Ikiwa ukisoma huelewi basi hata macho hayaoni:

 
Sawa bi kidude, tangu asubuhi hatuna umeme hapa kwetu
 
1. R- Rushwa (wizi, upigaji, kulamba asali)

2. R- Retailing (kuuza vitu vya nchi)

3. R- Recycling (kurudisha watu wa zamani, kurudisha madudu ya zamani)

4. R- Roaming (kusafirisafiri, kuzururazurura)
Ndo maana halisi ya hizo r hongera mkuu
 
What Are The 4Rs? The 4Rs, Refuse, Reduce, Reuse, and Recycle, are a simple way of reminding us how we can make a difference.
 
R ya kwanza ni Reconciliation, unaweza kutafsiri kama kupatanisha au mapatano lakini kiuhakika, falsafa hii ipo ndani ya Qur'an na inakwenda deeeper sana. Nawashauri wote, wapitoe aya zo zinazohusina na "reconciliation" ili waipate vyema.
What Are The 4Rs? The 4Rs, Refuse, Reduce, Reuse, and Recycle, are a simple way of reminding us how we can make a difference.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…