RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka

RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka

Kumchukia mtu ambae humjui,hujawahi kumuona,wala hata hujui anaonekanaje hata kimawazo.

Hili tatizo linaitwaje kitaalamu?
 
Uislam ni mwema sana, haupo kwa ajili ya kina fulani tu. Ni kwa walimwengu wote na wewe ukiwemo.

Huqezi kuutenganisha Uislqm kwenye maisha yako ya kila siku. Ukijitenga na Uislam umejitenga na maisha mema.

Unafamu maana ya neno "Uislam"?
Sasa Samia yeye ni nani kwenye dini ya uislamu hadi iwe ukimpinga iwe unauchukia uislamu na waislamu kuonekana sio waislamu kisa Samia?
 
Sasa Samia yeye ni nani kwenye dini ya uislamu hadi iwe ukimpinga iwe unauchukia uislamu na waislamu kuonekana sio waislamu kisa Samia?
Kwani nani alikwambia usimpinge Sania?

Upo Tanzania? Kuna vyama zaidi ya 20 vya upinzani. Upinzani ni nini?

Au tec ni chama cha siasa?
 
Kwani nani alikwambia usimpinge Sania?

Upo Tanzania? Kuna vyama zaidi ya 20 vya upinzani. Upinzani ni nini?

Au tec ni chama cha siasa?
Zitto kabwe asingeitwa mdini kama wewe kama issue ni chama cha upinzani tu.

Udini wako hauna manufaa yeyote kwenye dini ya uislamu bali unafanya waislamu tuonekane wajinga tu.
 
Zitto kabwe asingeitwa mdini kama wewe kama issue ni chama cha upinzani tu.

Udini wako hauna manufaa yeyote kwenye dini ya uislamu bali unafanya waislamu tuonekane wajinga tu.
Bila Uislam hakuna siasa bora wala maisha bora.
 
RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.

R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki kutawaliwa kimazowea na wala tusiwe na fikra za mama Samia kuwa anatawala kama tulivyozowea.

Mama Samia amekwenda mbali sana, tena ya mazowea na upeo wa kawaida. Katuleta fursa za ajabu kwenye falsafa yake ya RRRR. Natumai wote tutachukuwa muda tuisome na tuielewe, tujielimishe ili tuzitumie fursa zinakuja na hizi RRRR.

Namshauri sana Waziri wa Habari na Wasemaji wote wa Serikali, kila mmoja kwa nafasi yake aielezee na kuifundisha falsafa kimaelezo na kivitendo. Na hili ni kwa mawaziri wake wote na watendaji waliomuelewa, waielezee na waifanyie kazi kwa vitendo ili Watanzania tuzione na kuzijuwa fursa ziliopo.

Nawaasa wale mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ambao hawajamuelewa, wakiendelea kmazowea na kutoielewa hii falsafa ni heri wajiondoe wenyewe, la sivyo watashushwa njiani.

Nahisi, Hussein Bashe, kaielewa sana hii falsafa na anafanya kweli Reforms, kisasa. Upande mwingine, naona Kitila nae ameanza kumuelewaa. Sina shaka kabisa na Mchechu kuwa amemuelewa mama vilivyo na analidhihirisha hilo kinaga ubaga.

Watu ambao nawaona bado hawajamuelewa ni pamoja na Kassim Majaliwa na Makamo wa Rais. Nawwaona bado wanataka kuendelea kimazowea.

R ya kwanza ni Reconciliation, unaweza kutafsiri kama kupatanisha au mapatano lakini kiuhakika, falsafa hii ipo ndani ya Qur'an na inakwenda deeeper sana. Nawashauri wote, wapitoe aya zo zinazohusina na "reconciliation" ili waipate vyema.

Wengi wetu, hata mimi mwanzoni nilidhani inaishia juu ya meza na kupeana mikono na chadema. Nikaona mbona ipo "too shallow", lakini nilipoingia na kuanza kuichimba na kuichambuwa dhanna nzima kwa undani, nikaiona yenyewe tu, bila zile R nyingine mtu anaweza kuandika thesisis kumi au zaidi za PhD na zote zikapita with "flying colors".

Kwa kuwa dhanna hii moja ni bdefu sana tena, ntakuwa nikiitowa vipande vipande vyake kidogokidogo wakati uzi unaendelea.

Vijana zitumieni fursa, kuna watu watajaribu kuzibania kimazowea, msikubali, sasa hakuna mazowea. Pia nawashauri vijana ambao hawazioni fursa, waulize tuwaoneshe zilipo.

Ahsante sana mama Samia. You are the best.
Hizo 4R utadhani kagundua yeye, kumbe kitu kipo kitambo sana.
 
Hizo 4R utadhani kagundua yeye, kumbe kitu kipo kitambo sana.
Zipo kitambo sana tena sana, hata ukitak ziwe 5 au kumi, haziishi.

Falsafa ya mama Samia ni R zake 4. Ndiyo inatumika kuibadilisha Tazania kutoka kutawaliwa kimazowea.
 
Yule marehemu alikua anajiendea tu kama fuso limekata centre bolt watu hamjui kesho ataamka na lipi hana dira rasmi inayomuongoza . Mama kwa falsafa hii ya 4R hii nchi baada ya miaka mitano tutaandika historia.
 
Yule marehemu alikua anajiendea tu kama fuso limekata centre bolt watu hamjui kesho ataamka na lipi hana dira rasmi inayomuongoza . Mama kwa falsafa hii ya 4R hii nchi baada ya miaka mitano tutaandika historia.
Mara kumi yule alikuwa ana misimamo na ilieleweka hata kama hakuwa sahihi ila mnajua mna Rais kuliko huyu ambaye hatuna uhakika kama anafanya yeye maamuzi, ndio maana ananyamaza hata kwenye masuala muhimu.
 
Mara kumi yule alikuwa ana misimamo na ilieleweka hata kama hakuwa sahihi ila mnajua mna Rais kuliko huyu ambaye hatuna uhakika kama anafanya yeye maamuzi, ndio maana ananyamaza hata kwenye masuala muhimu.
Misimamo ya kipumbavu bila kutumia akili inasaidia nini? Leo hii huko kwenye mataifa tunapigwa kesi za ajabu ajabu kulipa fidia mamilioni ya dola kwasababu ya mjinga tu ambae ameshindwa kutumia akili yake vizuri. Pumbavu sana
 
Misimamo ya kipumbavu bila kutumia akili inasaidia nini? Leo hii huko kwenye mataifa tunapigwa kesi za ajabu ajabu kulipa fidia mamilioni ya dola kwasababu ya mjinga tu ambae ameshindwa kutumia akili yake vizuri. Pumbavu sana
Sasa huyu Samia ndio anatumia akili? Kiongozi ambaye wenyewe mnakiri anashauriwa vibaya na yeye anakubali tunaishia kuwalaumu washauri, hatujui kesho atashauriwa nini.
 
Sasa huyu Samia ndio anatumia akili? Kiongozi ambaye wenyewe mnakiri anashauriwa vibaya na yeye anakubali tunaishia kuwalaumu washauri, hatujui kesho atashauriwa nini.
Wenyewe nani wanakiri? Samia ni Kiongozi bora sana kuwahi kupatikana Tanzania hii.
 
Wenyewe nani wanakiri? Samia ni Kiongozi bora sana kuwahi kupatikana Tanzania hii.
Si nyie wenyewe ndio mkiona Rais wenu katoa boko mnasema kashauriwa vibaya. Mimi sishangai wewe kumuona Samia kuwa ni kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania maana watu kama nyie lazima mumuone Samia ni bora kwenu.
 
Si nyie wenyewe ndio mkiona Rais wenu katoa boko mnasema kashauriwa vibaya. Mimi sishangai wewe kumuona Samia kuwa ni kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania maana watu kama nyie lazima mumuone Samia ni bora kwenu.
Sawa wewe endelea kumchukia acha sisi tumpende hata hivyo hawezi kupendwa na wote yeye siyo pesa.
 
Sawa wewe endelea kumchukia acha sisi tumpende hata hivyo hawezi kupendwa na wote yeye siyo pesa.
Simchukii sina jambo binafsi lenye kufanya nimchukie mama wa watu. Halafu kupenda au kuchukia hizo ni hisia ambayo sio point ya msingi hapa maana kuna mwengine anaweza akampenda kisa tu anavyovaa ushungi anapendeza hivyo anampenda basi.
 
Wewe bibi kizee nakushangaa sana, Umejawa na Udini Mkubwa sana Ambapo kiasi kwamba Hoja zako ni hazina mashiko, huwa nashangaa Nikisikia Wewe ni Telecom Expert na Umeishi abroad for years, Nashangaa sana Ulifikaje uko wakati kichwa chako umeamua kufugia tu nywele, Very pathetic
Kuna watu hata wakienda nchi zenye mwanga mkubwa bado wanabaki katika giza na mawazo yao ya kijima, huyu ni mmojawapo kama kweli alifika na kuishi huko.
 
Back
Top Bottom