RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka

Kumchukia mtu ambae humjui,hujawahi kumuona,wala hata hujui anaonekanaje hata kimawazo.

Hili tatizo linaitwaje kitaalamu?
 
Uislam ni mwema sana, haupo kwa ajili ya kina fulani tu. Ni kwa walimwengu wote na wewe ukiwemo.

Huqezi kuutenganisha Uislqm kwenye maisha yako ya kila siku. Ukijitenga na Uislam umejitenga na maisha mema.

Unafamu maana ya neno "Uislam"?
Sasa Samia yeye ni nani kwenye dini ya uislamu hadi iwe ukimpinga iwe unauchukia uislamu na waislamu kuonekana sio waislamu kisa Samia?
 
Sasa Samia yeye ni nani kwenye dini ya uislamu hadi iwe ukimpinga iwe unauchukia uislamu na waislamu kuonekana sio waislamu kisa Samia?
Kwani nani alikwambia usimpinge Sania?

Upo Tanzania? Kuna vyama zaidi ya 20 vya upinzani. Upinzani ni nini?

Au tec ni chama cha siasa?
 
Kwani nani alikwambia usimpinge Sania?

Upo Tanzania? Kuna vyama zaidi ya 20 vya upinzani. Upinzani ni nini?

Au tec ni chama cha siasa?
Zitto kabwe asingeitwa mdini kama wewe kama issue ni chama cha upinzani tu.

Udini wako hauna manufaa yeyote kwenye dini ya uislamu bali unafanya waislamu tuonekane wajinga tu.
 
Zitto kabwe asingeitwa mdini kama wewe kama issue ni chama cha upinzani tu.

Udini wako hauna manufaa yeyote kwenye dini ya uislamu bali unafanya waislamu tuonekane wajinga tu.
Bila Uislam hakuna siasa bora wala maisha bora.
 
Hizo 4R utadhani kagundua yeye, kumbe kitu kipo kitambo sana.
 
Hizo 4R utadhani kagundua yeye, kumbe kitu kipo kitambo sana.
Zipo kitambo sana tena sana, hata ukitak ziwe 5 au kumi, haziishi.

Falsafa ya mama Samia ni R zake 4. Ndiyo inatumika kuibadilisha Tazania kutoka kutawaliwa kimazowea.
 
Yule marehemu alikua anajiendea tu kama fuso limekata centre bolt watu hamjui kesho ataamka na lipi hana dira rasmi inayomuongoza . Mama kwa falsafa hii ya 4R hii nchi baada ya miaka mitano tutaandika historia.
 
Yule marehemu alikua anajiendea tu kama fuso limekata centre bolt watu hamjui kesho ataamka na lipi hana dira rasmi inayomuongoza . Mama kwa falsafa hii ya 4R hii nchi baada ya miaka mitano tutaandika historia.
Mara kumi yule alikuwa ana misimamo na ilieleweka hata kama hakuwa sahihi ila mnajua mna Rais kuliko huyu ambaye hatuna uhakika kama anafanya yeye maamuzi, ndio maana ananyamaza hata kwenye masuala muhimu.
 
Mara kumi yule alikuwa ana misimamo na ilieleweka hata kama hakuwa sahihi ila mnajua mna Rais kuliko huyu ambaye hatuna uhakika kama anafanya yeye maamuzi, ndio maana ananyamaza hata kwenye masuala muhimu.
Misimamo ya kipumbavu bila kutumia akili inasaidia nini? Leo hii huko kwenye mataifa tunapigwa kesi za ajabu ajabu kulipa fidia mamilioni ya dola kwasababu ya mjinga tu ambae ameshindwa kutumia akili yake vizuri. Pumbavu sana
 
Misimamo ya kipumbavu bila kutumia akili inasaidia nini? Leo hii huko kwenye mataifa tunapigwa kesi za ajabu ajabu kulipa fidia mamilioni ya dola kwasababu ya mjinga tu ambae ameshindwa kutumia akili yake vizuri. Pumbavu sana
Sasa huyu Samia ndio anatumia akili? Kiongozi ambaye wenyewe mnakiri anashauriwa vibaya na yeye anakubali tunaishia kuwalaumu washauri, hatujui kesho atashauriwa nini.
 
Sasa huyu Samia ndio anatumia akili? Kiongozi ambaye wenyewe mnakiri anashauriwa vibaya na yeye anakubali tunaishia kuwalaumu washauri, hatujui kesho atashauriwa nini.
Wenyewe nani wanakiri? Samia ni Kiongozi bora sana kuwahi kupatikana Tanzania hii.
 
Wenyewe nani wanakiri? Samia ni Kiongozi bora sana kuwahi kupatikana Tanzania hii.
Si nyie wenyewe ndio mkiona Rais wenu katoa boko mnasema kashauriwa vibaya. Mimi sishangai wewe kumuona Samia kuwa ni kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania maana watu kama nyie lazima mumuone Samia ni bora kwenu.
 
Si nyie wenyewe ndio mkiona Rais wenu katoa boko mnasema kashauriwa vibaya. Mimi sishangai wewe kumuona Samia kuwa ni kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania maana watu kama nyie lazima mumuone Samia ni bora kwenu.
Sawa wewe endelea kumchukia acha sisi tumpende hata hivyo hawezi kupendwa na wote yeye siyo pesa.
 
Sawa wewe endelea kumchukia acha sisi tumpende hata hivyo hawezi kupendwa na wote yeye siyo pesa.
Simchukii sina jambo binafsi lenye kufanya nimchukie mama wa watu. Halafu kupenda au kuchukia hizo ni hisia ambayo sio point ya msingi hapa maana kuna mwengine anaweza akampenda kisa tu anavyovaa ushungi anapendeza hivyo anampenda basi.
 
Kuna watu hata wakienda nchi zenye mwanga mkubwa bado wanabaki katika giza na mawazo yao ya kijima, huyu ni mmojawapo kama kweli alifika na kuishi huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…