Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Leo majira ya saa 4:00 Usiku, RS Berkane watakuwa wanawakaribisha Simba Sc katika mchezo wa tatu wa CAF Confederation Cup katika dimba la Stade Municipal de Berkane, nchini Morocco.
Katika mchezo huu, Simba itawakosa Jonas Mkude, Mugalu na Israel Mwenda kutokana na sababu mbalimbali.
Ikumbukwe, Simba wataingia katika mchezo huo wakiwa na alama 4 huku Berkane wakiwa na alama 3 katika Kundi D.
Mchezo utakuwa mubashara kupitia AzamTv pamoja na Dstv.
Updates zote utazipata hapa, Simba...Nguvu Moja
Katika mchezo huu, Simba itawakosa Jonas Mkude, Mugalu na Israel Mwenda kutokana na sababu mbalimbali.
Ikumbukwe, Simba wataingia katika mchezo huo wakiwa na alama 4 huku Berkane wakiwa na alama 3 katika Kundi D.
Mchezo utakuwa mubashara kupitia AzamTv pamoja na Dstv.
Updates zote utazipata hapa, Simba...Nguvu Moja