Ruangwa, Lindi: Wagombea wote wa vyama vya upinzani wameondolewa

Ruangwa, Lindi: Wagombea wote wa vyama vya upinzani wameondolewa

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Pia taarifa kutoka Liwale Mkoa huo huo wa Lindi viongozi wote wa upinzani wanatafutwa na vyombo wa dola


Capture.PNG
 
safi kabsa upinzani ufutwe nchii hii hauna faida zaidi ya kupinga maendeleo ya nchi
We kweli mdudu, nchi hii toka uhuru, kuna chama chochote kinachoongoza kwa ufisadi kama CCM? Hakuna awamu hata moja ambayo haikuwa na kashfa ya ufisadi.

Hayo utayaita maendeleo? Kupinga ufisadi ni kupinga maendeleo?

CCM endeleeni kuchezea amani ya nchi yetu.
 
Kusini na upinzani wapi na wapi huko ni CCM tu

State agent
 
Yaani huu upuuzi watanzania tunao sana.
Tunamdanganya nani?
Ni kwa faida ya nani tunafanya haya?

Walikufa wengi zama za Hitler. Lakini alowaua kwa mkono wake pengine hawazidi 10.
Wengine watu waliehuka wakua hadi watoto waso na hatia.
Madaktari walitumika kuua kwa sumu.
Wasomi kwenye serikali walitumika kuangamiza ndugu zao.
Mwisho wa siku hata Hitler mwenyewe hakufikia ndoto yake.
Upotevu wa hakika.
Haina faida ya mali, wala heshima, wala utu wala furaha.
Ni umajinuni tu kujidanganya.

Mwisho wa siku ni biashara ya hasara.
Hasara kamili.
Ole wenu.
 
Hii ni trailer tu,na mnavyolialia nyuma ya keyboards pekee tutegemee makubwa zaidi 2020.
 
Maulid Seleman,
Safi sana , yaani sana.
Ufalme wowote unapofika Mwisho huwa inakuwa hivi.

Kumbuka SAddam Hussein aliondoka hivi.
Gaddafi the same.
Al Bashir the same.

SIMON SIRRO umeokoka na unamjua Yesu, haya mambo ya polisi kuua na kukamata watu umeyona, Yesu wako ana afiki hii dhulma?Roho mtakatifu uliye naye anakubali haya
 
Natamani sana turudi kwenye chama kimoja, kwa sababu waliopo madarakani hawataki kutoka. Hali hii ya uonevu huwa inaleta chuki miongoni mwetu na kuondoa upendo uliopo katika jamii.
 
safi kabsa upinzani ufutwe nchii hii hauna faida zaidi ya kupinga maendeleo ya nchi
Upinzani unapingaje maendeleo wakati sio unaokusanya kodi?
Hivi unaweza kutangaza jirani yako ahamishwe kwa vile anakuzuia kulala na mkeo kukupa unyumba? Kama jogoo wako hapandi mtungi usimsingizie jirani
 
Natamani sana turudi kwenye chama kimoja, kwa sababu waliopo madarakani hawataki kutoka. Hali hii ya uonevu huwa inaleta chuki miongoni mwetu na kuondoa upendo uliopo katika jamii.
Usitamani turudi nyuma sema unatamani vijana wa mabaka wafanye yao miezi sita warudishe mchezo baada ya kuvunja vyama vyote vya siasa na tuanza upya huku rasilimali kama majengo ya vyama, viwanja vya michezo na maeneo ya wazi vimerudishwa kwa Halmashauri za wananchi.

Pia kuwe na sheria kama ulikuwa kiongozi wa chama chochote hakuna kugombea mpaka baada ya miaka mitano ya kuanzishwa vyama vipya.

Hiyo ndiyo itakuwa Tanzania mpya.
 
Upinzani unapingaje maendeleo wakati sio unaokusanya kodi?
Hivi unaweza kutangaza jirani yako ahamishwe kwa vile anakuzuia kulala na mkeo kukupa unyumba? Kama jogoo wako hapandi mtungi usimsingizie jirani
Vijana wa CCM wana funza vichwani, yani mtu mpaka unajuta hata kufanya kazi Seriaklini, hasa judiciary
 
Back
Top Bottom