warthog gun
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 1,466
- 1,260
Mpumbavu wewe nilikuwa Tunduma Kuna kata ya Tunduma kati mtaa wa Ihanda viongozi waandamizi wamekamatwa na kupewa kesi za ajabu ajabu.Zitto ni muongo Sana Sasa watafutwe na vyombo vya dola kwa kosa lipi mbona NI muongo na mnafiki
Acha jaziba mkuu tunaongelea lindi siyo tunduma! Au tayari umeshapiga cha arushaMpumbavu wewe nilikuwa Tunduma Kuna kata ya Tunduma kati mtaa wa Ihanda viongozi waandamizi wamekamatwa na kupewa kesi za ajabu ajabu.
ILA SIRRO nanmwamini sana, tatizo sasa hivi maelekezo yanatoka JUU.Kipindi hiki jeshi la polis limepoteza muelekeo hatari, limekuwa ngao kuu ya ccm badala ya kulinda usalama wa RAIA Na Mali zao.
Pia taarifa kutoka Liwale Mkoa huo huo wa Lindi viongozi wote wa upinzani wanatafutwa na vyombo wa dola
View attachment 1254506
Kwanza kujiridhisha kwamba wewe ni mzandiki kwanza tutajie Ruangwa ina kata ngapi, vijiji vingapi na orodha ya wagombea ibandike hapa, Shwaini mkubwa we!! Acha kutumika na Zitto aliyefilisika mwili na akiliPia taarifa kutoka Liwale Mkoa huo huo wa Lindi viongozi wote wa upinzani wanatafutwa na vyombo wa dola
View attachment 1254506
Hii ni trailer tu,na mnavyolialia nyuma ya keyboards pekee tutegemee makubwa zaidi 2020.
kwanini?Pia taarifa kutoka Liwale Mkoa huo huo wa Lindi viongozi wote wa upinzani wanatafutwa na vyombo wa dola
View attachment 1254506
ccm ni chama dhahifu hujajua tu mkuu.safi kabsa upinzani ufutwe nchii hii hauna faida zaidi ya kupinga maendeleo ya nchi
.Mkuu hata zikipigwa kura za ndio au hapana bado watachakachua tu na kusema kuwa wamechaguliwa kwa asilimia 100 kwa maana kwamba wapiga kura wote wamepiga kura ya ndiyo!!Tulitishiwa kwa ambao wasingejiandikisha,baadhi ya Halmashauri kulikuwa na maagizo ya wakuu wa maeneo ya kazi kuwasilisha orodha ya watakaoacha kujiandikisha kupiga kura.Halafu leo wanafuta wagombea wote na hivyo hatutapiga kura tena.
Nashauri tupige kura ya ndiyo au hapana tupime kama hawa walioteuliwa kweli ni wawakilishi wa jamii?Wasichukulie wagombea wote wa Chama Tawala ni chaguo la wananchi,wengine wamepita kwa rushwa na wizi wa kura vilevile.
Mkuu na wewe uko kwenye payroll ya Lumumba ya buku7.Au wewe iko juu kidogo?Naona ajira yako imeanza march mwaka huu!Huyu Zitto anajua amefikia mwisho wa siasa za kilaghai
Mwacheni abweke mwisho mwish,ampishe mwenye akili kuongoza jimbo
safi kabsa upinzani ufutwe nchii hii hauna faida zaidi ya kupinga maendeleo ya nchi
Wapinzani mna matusi SANAWee qumer - hebu katawaze.
Mkuu CCM bila dola haiwezi kushinda uchaguzi wowote uleccm ni chama dhahifu hujajua tu mkuu.
This is rubbish. Yaani bora tuseme Serikali hii inacho kifanya ni sawa au zaidi ya uhujumu uchumi.. Huwezi kutumia kodi za wananchi kuandaa daftari, kulipa matangazo, kulipa waandishi, wasimamizi no takataka kibao halafu mna kimbia ofisi na kutangaza ushindi wa kipumbavu. Nasema tena haya ni mavi. Wizi na uhujumu uchumi.. Shame!!!?Pia taarifa kutoka Liwale Mkoa huo huo wa Lindi viongozi wote wa upinzani wanatafutwa na vyombo wa dola
View attachment 1254506