Ndiyo unatutangazia una leseni ya kimataifa?haya tushajua!!!Mwaka Jana nilikuwa huko, sikuwa na Leseni ya Tz wananishangaza kutotambua licence ya kimataifa, wakawa wanazingua nkawa napita huko, sasa nasikia muda huu wameweka kambi hapo njia panda ya Rwamishenye na Kashura, hata kule kashura chini kasalan wapo kambi
Mpaka Nshamba na Kamachumu? Ng'ote jeKagera yote ni km home tu nshafika hadi minziro, murongo/kikagati, bushangalo, rusumo benaco kabanga, nshamba izimbya kamachumu
Kona nyingi nimezigusia hapo
Shida ni visiwani huko palinishinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ile bahasha ina nini maana naona imenona[emoji44]Wee nawe unashangaaa coment za watu wakati unashindwa kushangaa jinsi Baba na Mama walivyogombea ile bahasha nyeupe ktk kwa JPM?
Ndomana kwenye cmnt zangu kuhusu wasanii nilisema wasanii wakipiga wanamtafuta wa kumlaumuMwambie huyu..ndio hao wakipata matatizo wanatafuta wa kumlaumu badala wayakabili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weweeeeee! una wasimu. lazima utakuwa nshomire tu wewe. sawa bana. ila mtakufa sana usipofuta ushauri wanguTena Bora tungekuwa sehemu ya Uganda Idd amini aliitamani kagera na alitaka aifanye makao makuu yake Kwa sababu Kwa kipindi kile ilikuwa imeendelea kuzidi sehemu nyingi za Uganda.hivi utatamanije sehemu mbovu.ina maana aliona kitu Fulani cha faida Kwa nchi yake ndo maana aliamua kuvamia tz sio Kenya wala sudani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Ruge ndio Shilawadu?Utueleze sababu zilizokufanya ukamvamie kijeshi katika eneo lake la kazi halafu unajifanya ni rafiki yako unafiki una mwisho wake.
Kama namuona Zama jicho lilivyomtoka kwenye ile bahasha[emoji16]...Hapo wanajua waliopewa,angekuwepo mjane halali angeyakamata hayo mahela
Hivi kuna aliyetoa ahadi ya kuwasomesha watoto wa Marehemu?
Yule wa kuungaunga km vyeti vya daudi[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Nina hasira na huyu kijana ananifanya nimkufuru mungu kuwa hatendi Hali[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Guilt consciousness
Atataabika sana
Young man WaTz wanajua unyama wako. Umekosa utu kabisa kwa WaTz
Time will tell
Malipo yako kwa Mungu
Unaopigana nao wanapigana vita vya kiroho sio vya damu na nyama
Roho wa Mungu ni uvuli kwao wao uliowatendea mabaya
Stop acting dude this is serious issue...
***RIP Ruge uwe na safari njema Mungu akupokee Tuonane mtoni!
Hahahaha jamani, ila kuna sehem niliona eti aliwahi kuishi na Zama 😛
Lisu hakufanikiwa[emoji1732][emoji1732][emoji1732]usiulize kufanya Nini sitaki kuzikwa kwenye sandarusi mie
Si huwa anajidai kwake mambo safi au ndio ilikuwa jeuri ya marehem kupitia children support.Kama namuona Zama jicho lilivyomtoka kwenye ile bahasha[emoji16]...
Hiyo ndo imetoka, hakuna wa kusomesha watoto pale, kila mama ajibebe na watoto wake daaah!
Sent using Jamii Forums mobile app