TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Hawafanyii nyumbani kwa Ruge bali CMG Ltd!
Boss wao alikuwa Ruge acha kutetea ubabe wa Makonda hata kama Ruge asingekuwepo hapo makonda hakuwa na haki ya kuvamia clouds na mabunduki ndiyo maana baada ya lile Tukio baya la ubabe wa kijinga akaporwa Ulinzi wote
 
Reporter wetu nenda bk kesho uwe live kesho.
Naskia kule bk barabara hazipitiki shughuri zote zimesimama mpaka hapo j4😁

Rip kaka ruge.
 
Nadhani wewe ni tahira, kwa mujibu wa wadau mafala kama wewe wanaoni_attack wamenieleza kinagaubaga kuwa hiyo document ya mange ya kuonyesha nani ana own nini na nani ha_own nini imetoka TCRA na kadri nilivyokuwa nikibisha wakanieleza niingie katika tovuti ya TCRA kujilidhisha ili niache kubisha.
.
Sasa naomba unijuze brela wanasajili majina ya kampuni au wanatoa license za media? Maana form ya mange siyo ya brela ni ya TCRA tena ya maombi ya kupatiwa license
 
Viongozi wengi wa serikali hasa wa CCM inaonekana Ruge ndo alikuwa director wao angalia wana lia lia wote ni waio pitia kwenye mikono ya mwana mdogo sasa tu subir 2020 kuna watu watalia sana na msiba utaanza upya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viongozi wengi wa serikali hasa wa CCM inaonekana Ruge ndo alikuwa director wao angalia wana lia lia wote ni waio pitia kwenye mikono ya mwana mdogo sasa tu subir 2020 kuna watu watalia sana na msiba utaanza upya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viongozi wengi wa serikali hasa wa CCM inaonekana Ruge ndo alikuwa director wao angalia wana lia lia wote ni waio pitia kwenye mikono ya mwana mdogo sasa tu subir 2020 kuna watu watalia sana na msiba utaanza upya

Sent using Jamii Forums mobile app
Honestly sijajihusisha kabisa na huu msiba. Nilichofanya mimi baada ya kusikia habari ya kifo tena kupitia hapa jf niliandika R.I.P.

Sijui hata nini kinachoendelae....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wananzengo bado mpo? Mwenzenu niko hoi jana nimekanyagana na akina Hamissa msibani naumwaaaa.

Ila nilifaidi haki, sidhani kama kuna event nyingine unayoweza kuwaona mastar wote kama ile! Jana nimekutana na wambea wengine huko basi msiba ulikuwa motoooo.
Unalia ukimaliza unapiga umbea.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ushenzi wa promo Kama hizi hatutaki ujirudie,msiba wa kawaida tu lakini Cloud's na wenzao wanataka wote tuomboleze,shenzi Sana wale.

The Future is in Our Brain's Tongue's and Hand's.
 
😂😂nakuvulia kofia aise khaa hahajajajahha....wapi bibie zama
 
Binafsi Ruge namfahamu kama mkurugenzi wa vipindi vya clouds,sifa yake kubwa labda ni kuanzisha fiesta na kuisimamia pamoja na hayo tumesikia vimaneno kutoka kwa sugu,jay dee na baadae diamond,sijajua alikua na wadhifa gani maana nimeona mazishi yake yamehudhuriwa na maraisi wote wawili,mawaziri wakiongozwa na waziri mkuu,mkuu wa mkoa wa dar es salaam,viongozi wa dini na kila aina ya public figure,kwa kumfahamu kwangu kudogo naona kama kawa overated,kwa wanaomfahamu vizuri naomba wanifumbue macho what am i missing about this guy.RIP RUGE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…