Hebu tuambie Dudu baya kosa lake ni lipi?Acha uongo bas watanzania gan walilazimishwa kusema mazur tu y'a ruge
Wewe ni mpuuzi, mbona hujasema harakati za Lissu zilivyogusa maelfu ya watanzania?, Hujui kuwa Lissu ni mwanasheria wa madini na ndiye alie tetea wananchi wasiondolewe ovyo ili kumpisha mwekezaji Barrick gold mine kule Bulyanhulu na Geita Gold mine?
Kama hujui hayo na huna taarifa za kutosha kuhusu Lissu kwa nini unaanzisha mada ya kumlinganisha mtu ambae humfahamu?
Pumbavu wewe!
Lemutuz alikuwepo,na alikaa na Mboni MasimbaKweli mkuu,na mi ndio umenifungua macho saa hizi,the guy was not around...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnaionea wivu mpaka maiti!! Si ukufe ww basiNa wanaomkuza mie nawaona waseng* tu. Coz inafahamika wazi kwamba jamaa kazima ndoto za watu kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufa wewe tujaribu kukuoverated then tuone idadi ya watakao jitokeza kwenye msiba wako.
Wabongo tunapenda sana kubezana likija jambo la mafanikio.
Ikumbukwe hakuna mtu aliyelipwa kufika msiba, watu wenyewe na nauli zao,ingawaje vitu vimekaza lkn walifika hata kwa miguu.
Marehemu apewe heshima yake.
Vijana tupunguze uchawi jamani, lasivyo hatutotoboa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Diamond akifa sana sana wataenda wasaanii wenzake, labda kupunguza aibu naibu waziri wa michezo au atakae kuwepo atatuma mwakirishi ova.
Too sad mama yake diamond eti mwanae akija msiba wa ruge watu wataacha msiba kumwangalia yeye? Kwa sura ipi alikuwa Nayo??
Rip boss ruge.
PovuTusipopata katiba mpya ya kumbana Rais tutaambulia vilio ivi uyo Ruga ninani? Kwanini anaumiza pesa za walipakodi? Isijekuwa alikuwa kinara wa kusambaza madawa ya kulevya au ni Freemason yahani mpaka watu wamefungwa kisa walimkosoa? Mbona alipokuwa hai aligombana na makonda hatukuona nguvu kubwa ikitumika kumlinda?
Mbona kituo chake kilivamiwa na watu wanaojulikana lakini hawakuchukuliwa hatua mpaka leo?
Matumizi ya pesa zetu kihorela ifike maala tuseme inatosha.
Tunahitaji katiba isiyoweka kinga kwa mtawala namimi nawahakikishia Mafunguo tutamfunga kwa matumizi mabaya ya madaraka na Raslimari za nchi atakama atakuwa analingana mama yake tutamburuta tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongeleaje walichokisema Zito na Lissu kuhusu mchango wa Ruge!?..Huyo jamaa ni mastermind Mkubwa wa ccm na baadhi ya campaign nyingi za ccm na serikali project ya campaign ya 2005 hadi 2015 kamaliza yeye
mpuuzi mpuuzi tu
Kama watu hao hao waliweza kuacha kazi zao na kwenda kuhudhulia matamasha ya fiesta, kwanini iwe vigumu kumpokea mwanzilishi wa tamasha hilo akiwa amelala.Mimi sitaki kuongelea mazishi ila nilikuwa naangalia upande wapili wa tukio. Nimegundua watu wengi wako mjini hawana kazi za kufanya kweli mtu na kazi zako utakaa masaa barabarani kusubiri mwili? watu wanaweza kuacha kazi na kwenda kuzika lakini sio kusimama barabarani ukichukulia ilikuwa siku ya kazi.
Umewaambia vizuriKufa wewe tujaribu kukuoverated then tuone idadi ya watakao jitokeza kwenye msiba wako.
Wabongo tunapenda sana kubezana likija jambo la mafanikio.
Ikumbukwe hakuna mtu aliyelipwa kufika msiba, watu wenyewe na nauli zao,ingawaje vitu vimekaza lkn walifika hata kwa miguu.
Marehemu apewe heshima yake.
Vijana tupunguze uchawi jamani, lasivyo hatutotoboa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha jibu murua kabisaMnaionea wivu mpaka maiti!! Si ukufe ww basi
Watanzania kwa ujumla wetu tumejumuika .
Unamaanisha KWASABABU YA au??Ruge kafa kwa ajili ya Zamaradi au Bashite..usiniulize
Hakuna siri, Ruge alikuwa kada mzuri wa CCM na kashiriki kwa kutumia chombo cha habari kufanya kampeni kubwa sana na kuratibu vikundi vingi kwa ajili ya CCM na Serikali. alikuwa smart tu katika kubalance yote haya bila kuonekana kama yuko upande mmoja zaidi. alitumia fursa vizuri kisiasa na kufanya biashara aliweza kumix vizuri.Ukijaribu kuchunguza sana huu uhusiano wa Ruge akiwa marehemu na serikali kuna jambo
Mimi mwenyewe sijaelewa ni jambo gani ila muda utaongea
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa na wewe Fiesta mchana?Kama watu hao hao waliweza kuacha kazi zao na kwenda kuhudhulia matamasha ya fiesta, kwanini iwe vigumu kumpokea mwanzilishi wa tamasha hilo akiwa amelala.
Sent using Jamii Forums mobile app