Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,143
Dah! Wivu Hadi kwa Marehemu? We kilichokukera Nini ilihali waliosifia wamefanya hivyo kwa Utashi wao? Umekuwa Nani wa kuingilia Uhuru wa Watu kumsifia Ruge? Labda nikujibu kwa ufupi ili wivu wako upungue usije ukakusababishia UGONJWA wa Moyo.
1. Tamasha la Fiesta: pamoja na waliopata ajira ya kuburudisha, wapo pia waliofaidi kwa kuburudika. Yaani Ruge aliwapelekea Burudani ambayo wasingeweza kuifuata ilipo. Katika Tamasha Hilo, wapo waliouza maji, biscuits, mishikaki, chips, soda, vilevi, n.k. Pato walilolipata liliwasaidia familia, ndugu, jamaa na marafiki. Hii pekee imewafikia watu wengi unaowaona wanaomboleza.
2. THT, imeibua vipaji ambavyo vimesaidia kuongeza Pato la Taifa kupitia Sanaa! Sehemu ya Pato Hilo imetumika katika huduma za Jamii ambazo hata wewe na ndugu zako mmezitumia.
3. Malkia wa Nguvu + Kipepeo + Tamasha la Fursa: Wanawake na Vijana wameweza kupata Jukwaa la kuziona na kuzitambua fursa kadhaa wa kadha, na kwa kufanya hivyo impact Yake imeifikia Jamii.
So, wewe Kama ulitaka ukae hapo nyumbani kwa Shemeji yako kila kitu unakipata kwa Shikamoo halafu Ruge aje akuletee au akusaidie, utakuwa beyond MPUMBAV.U! Kama Jamii itashindwa ku appreciate hicho alichokifanya Ruge, itakuwa Jamii ya Hovyo kabisa (Bahati nzuri wamekuwa na Shukrani kwake na wameonesha katika msiba huu).
Mimi Binafsi sijawahi hata kukutana nae, na Kuna kipindi nilikuwa against baadhi ya Mambo anayofanya, lakini haikuondoa Mimi kujifunza Mambo mbalimbali kutoka kwake na namna Jamii ilivyoguswa kwa kadiri alivyoweza.
Swali kwako, WEWE UMEFANIKIWA NINI KATIKA JAMII? MCHANGO WAKO NI UPI? UTAACHA LEGACY GANI? (Nakuweka katika kundi ambalo litakuwa limehusika na mauaji ya Ruge (Kama inavyodaiwa) na mnajitahidi kuponda ili nafsi zenu zipate ahueni)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema serikali ya MagufuliKama serikali imemtambua na kumpa heshima yote wewe n nan!?
Upumbavu na ujinga kutafuta wachawi wa msiba wa Ruge wakati wachawi na poisoners wameshiriki kulia pamoja nanyi,kulibeba jeneza lake na kuongoza msafara wa gari la maiti....SHAME ON YOU CLOUDS BOYS....Kwakweli, nianze kwa kutoa pole kwa vijana,wamama,na wazee wa Tanzania kwa kupatwa na msiba mzito sanaa hakika Ruge ameacha pengo la kubwa sana kwetu!
Pengo la kubwa ili hakika january Makamba ameliezea vyema tena kwa lugha iliyojaa Fasihi ambyo mara nyingi niliwai kukili kupia hapa jukwaani kuwa Makamba ni miongoni mwa Wanafasihi ambao nchi yetu tumejaaliwa
Sina lengo la kuelezea uzuri na ubaya wa Ruge,ila nataka nitumie fursa hii kuwakumbusha watu kama ALEX MSAMA mmiliki wa MSAMA PRODUCTION kujitokeza kuungana na watanzania kuomboleza msiba wa Ruge.
Nasema hivyo kwa sababu mchango wa Ruge kwa Alex Msama uko wazi,Alex msingi wake mkubwa wa Alex Msama tumjuaje leo hii kwa kila kitu anachofanya kilitokea clouds mikononi mwa Ruge.
Hakuna hasiye jua kuwa Alex Msama ni miongoni mwa vijana wa Tanzania ambao hawakubahatika kupata elimu ya juu,ila mtu huyu alipewa fursa ya kuwa miongoni mwa watamzania wachache walio pata fursa ya kutangaza kipindi cha nyimbo za injili hapo clouds,kipindi hiki ndicho kilichompatia msingi wa wazo la Tamasha la pasaka,tamasha ambalo leo hii limemfanya kutambulika Africa mashariki.
Leo hii anamiliki Television pamoja na Redio,nmesitikika skuona hata akijitokeza hadharani kuusema ukweli huu kipindi hiki cha msiba wake.
Nimwache huyo Msama,niende kwa dada yetu SAIDA KAROLI.
ndgu zangu watanzania,msio elewa SAIDA karoli kabla hajaja DSM alikuwa ni msani mdgo sanaa na alikuwa akipiga miziki kwenye MABAR mbalimblai mkoani kagera.
Ruge alikuwa mtu wa kwanza kukutana nae Bar,kama haitoshi hata nauli ya kumleta mjini Dsm alipewa na marehemu Ruge,kilichotokea baada ya karoli kufika jijini DSM, KWA kweli Ruge hakujali kama ataonekana mtu anaependelea ndgu zake alimkabidhi midomoni mwa watangazaji wa clouds walau wamzungumzie pamoja n kipawa chake,
Saida karoli alivuma sanaa na kukipatia fedha ambayo hakuwai kuishika kutoka kwa wasikilizaji wake wa Bar huko mkoani kagera,ni pesa hizo zilizomfanya mpka leo hii Saida Karoli kuwa miongoni mwa wamiliki wa Nymba jijini Dsm maeneo ya mbezi.
Cha kusikitisha,leo hii SAIDA karoli yupo kimnya anaungana na AKINA REDJEIDII NA DUDUBAYA,Kumwombea mabaya kijana wetu hakika niwaombe mjitokeze na kuusema ukweli kbla ruge hajaoza kaburini kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
naomba nipate mchanganuo mkuu kuhusu kodi wanayolipa, na imechangia vipi maendeleo ya ndani!Unajua imezalisha Wasanii Wangapi? Unajua Kodi wanayolipa kwa kila kipato wanachokipata? Unajua hiyo Kodi inapelekwa wapi?
Shule mlienda kusomea Ujinga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutaanza na AlmasBaada ya msiba kupita, nina list ya wanamuziki ambao kama nikisikia nyimbo zao zinapigwa mawinguni, basi nitajua jamaa msiba umewafunza jambo kubwa sana katika maisha. Vinginevyo nitajua jamaa kibri imekomaa kisawasawa.