TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Amejilimbikiza jasho La nani ...ukimtaja njoo na ushahidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona karimjee hawakuwepo viongozi wa kanisa katoliki alikuwepo Bulldozer mwamposya iweje huko kwa nshomile kanisa katoliki lihusike?
.
Nina wasiwasi nguvu ya fedha inatumika maana Rugemalila alikacha kuhudhuria kanisani na kufuata mambo ya dunia.
 
Unahisi ndio atafufuka? Wakifanya ivyo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huo wivu unatoka wapi?tayari ni marehemu,unafikiri yanayotendeka huku yanamnufaisha na chochote?wivu hauhusiki hapa ila nataka kumfahamu zaidi,maana mazishi yake ni makubwa na nimesikia mwili wake umebebwa na ndege ya serikali kutoka dar mpaka Bukoba
Unamuonea wivu mpaka marehemu!!Timu Dai mnakazi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maandiko yooote hayo likes mbili tu? Means ulichoandika ni unafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hauoni kodi yako imetumika hapo na unapaswa kuhoji?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
nenda kaulize google mkuu.
 
punguza jazba maisha mafupi mkuu.
 
Mbona karimjee hawakuwepo viongozi wa kanisa katoliki alikuwepo Bulldozer mwamposya iweje huko kwa nshomile kanisa katoliki lihusike?
.
Nina wasiwasi nguvu ya fedha inatumika maana Rugemalila alikacha kuhudhuria kanisani na kufuata mambo ya dunia.
acha kuishi kwa kuhisi mkuu Ruge ni Mkristo Mkatoliki lazima kanisa lake limzike, hajawahi kuasi kanisa lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Serikali imeifadhaisha sana Tanzania na najuwa tu majirani zetu wanatucheka kishenzi. Ruge was a nobody katika nchi yetu, sana sana jamaa alikuwa mtu wa entertainment tu nothing else. Mademu wengi waliokuwa wanamlilia ni wale wale aliokuwa anawachapa kavu kavu na kuwaambukiza ule ugonjwa. Sisemi kwa mabaya ila inapobidi kusema ukweli ni bora kuusema tu ili watu wajuwe.
 
Huvi huyu OG ndio nani[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna demu mmoja alituchekesha sana eti 'mpendwa' wetu akiwa hai, akiwa anaku.....mba, anakwambia " mage nime...mba vizuri eeh, umefurahia eeeh? Basi nizalie mtoto[emoji23]" with that sweet tongue unashusha engine!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]na wao wanabeba kweli mimba majingaa hayooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…