KAYABOMBICHI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 296
- 142
SASA UNATESEKA NA NINI LABDA KWAMFANO??Huo wivu unatoka wapi?tayari ni marehemu,unafikiri yanayotendeka huku yanamnufaisha na chochote?wivu hauhusiki hapa ila nataka kumfahamu zaidi,maana mazishi yake ni makubwa na nimesikia mwili wake umebebwa na ndege ya serikali kutoka dar mpaka Bukoba
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaje aliyedhurumiwa kwa ushahidi wa wazi sio manenoTukikwambia ushahidi utakubali?
Najua mwisho wa siku utasema waende mahakamani ilihali unajua system yetu jinsi ilivyo.
Hivi wivu wa nini? Emu zirudie akili zako, mleta mada ameweka wazi taja alichokufanyia marehemu Ruge siyo kukimbilia kutupia vijembe! Ukiona huna chchte alichokufanyia jua kuwa nawewe ni mnafiki.
Labda wameweka na Tiketi ya kuhiji peponi,
Yes kwa kazi ya nje alikuwa Mkurugenzi. Huwezi ukawa Mkurugenzi wa media kubwa kama Clouds,na pia mwadilifu, halafu sytem ya nchi ikakuacha ufanye kazi hiyo tu, watakuwa wanaku-underutilize. Lazima alikuwa na kazi nyingine kwa ajlili ya manufaa ya Nchi.Binafsi Ruge namfahamu kama mkurugenzi wa vipindi vya clouds,sifa yake kubwa labda ni kuanzisha fiesta na kuisimamia pamoja na hayo tumesikia vimaneno kutoka kwa sugu,jay dee na baadae diamond,sijajua alikua na wadhifa gani maana nimeona mazishi yake yamehudhuriwa na maraisi wote wawili,mawaziri wakiongozwa na waziri mkuu,mkuu wa mkoa wa dar es salaam,viongozi wa dini na kila aina ya public figure,kwa kumfahamu kwangu kudogo naona kama kawa overated,kwa wanaomfahamu vizuri naomba wanifumbue macho what am i missing about this guy.RIP RUGE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Numbisa...
Wakati marehemu anaagwa clouds ..niliona jamaa anamsomea dua .Kiislamu ni nani yule..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama serikali imemtambua na kumpa heshima yote wewe n nan!?
Me tooNadhani walio hudhuria wanasababu zao.
For me, it's a little bit confusion as well.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu ndio kaka wa taifa, hakuna pimbi mwingine.Majeruhi Lissu
- Anamsimamo kwa mambo anayoyasimimamia, kama kuyumba ni kwa asilimia chache.
- Tofauti ma majeruhi wengine wa watu wasiojulikana mfano Ulimboka, hajakatisha harakati zake.
- Mengine ni makamanda wanaweza kusaidia
Hayati Ruge
- Harakati zake zimegusa mamilioni ya watanzania katika biashara, burudani, sanaa, afya na uchumi.
-Ameinua tasnia ya habari, chombonchake clouds fm nimewahi kukiona ndani ya top ten ya redio bora afrika.
etc wadau mnafahamu mengi zaidi.
nani unadhani anastahili kuwa kaka wa taifa?
Nakushauri utumie jicho la tatu kuona zaidi ya kile unachokijua kuwa alifanya, na kama huna jicho hilo kaa kimya!Acheni kuimba wimbo kwa mkumbo tuambieni alichowafanyia marehemu Ruge mpaka kumpa sifa si zake.
Acheni kukufuru, acheni kujipendekeza, hata Mungu hawaelewi kwann mnampa sifa ambazo si zake!
Binafsi namuona Ruge ni mfanyabiashara kama Dialo au Mama Rwakatare maana wote ni wajasiriamali.
Kama huna alichokufanyia na bado unamsifia basi kwenye kundi la wanafiki nawewe umo.
Eti kaka wa Taifa hata aibu hamuoni? Labda mngesema kaka wa clouds.
Pole usiumie sana na wewe ukifa tutakutangaza sana mkuu!!
Dah [emoji23][emoji23] hata sijui kwa nn na yy hakumzalia mwenzie. Angebakia na kumbukumbu
Sent from my iPhone using JamiiForums
πππ[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji6][emoji6][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji11][emoji39][emoji39][emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mpaka karne hii ya 21 kuna watu wenye akili mgando kama zako?Kama serikali imemtambua na kumpa heshima yote wewe n nan!?