TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Binafsi Ruge namfahamu kama mkurugenzi wa vipindi vya clouds,sifa yake kubwa labda ni kuanzisha fiesta na kuisimamia pamoja na hayo tumesikia vimaneno kutoka kwa sugu,jay dee na baadae diamond,sijajua alikua na wadhifa gani maana nimeona mazishi yake yamehudhuriwa na maraisi wote wawili,mawaziri wakiongozwa na waziri mkuu,mkuu wa mkoa wa dar es salaam,viongozi wa dini na kila aina ya public figure,kwa kumfahamu kwangu kudogo naona kama kawa overated,kwa wanaomfahamu vizuri naomba wanifumbue macho what am i missing about this guy.RIP RUGE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes kwa kazi ya nje alikuwa Mkurugenzi. Huwezi ukawa Mkurugenzi wa media kubwa kama Clouds,na pia mwadilifu, halafu sytem ya nchi ikakuacha ufanye kazi hiyo tu, watakuwa wanaku-underutilize. Lazima alikuwa na kazi nyingine kwa ajlili ya manufaa ya Nchi.
 
Ni kutoelewa tu ibada ya mazishi huwa siyo kwa ajili ya marehemu maana yeye hajui chochote wala haimuongezei wala kumpunguzia chochote maana hesabu zake zinakuwa zimeshafungwa badala yake ibada huwa ni mahususi kwa ajili ya waombolezaji kuwakumbusha kutafakari njia zao na kumrudia Muumba wao kwa kuachana na mambo ya dunia hii yanayopita upesi ili pale nao watapopitia hali ya marehemu wawe wamelala katika tumaini

Tena kwa audience kama ya Ruge ndiyo mahali sahihi pa kuwatandika ole za kutosha maana hapo unawapata wote ambao hata mlango wa kanisa hawaujui sehemu kama hiyo ndiyo unawapatia na kuwakumbusha vyema na unakuwa umezipata na kuokoa roho nyingi.
 
Majeruhi Lissu
- Anamsimamo kwa mambo anayoyasimimamia, kama kuyumba ni kwa asilimia chache.
- Tofauti ma majeruhi wengine wa watu wasiojulikana mfano Ulimboka, hajakatisha harakati zake.
- Mengine ni makamanda wanaweza kusaidia


Hayati Ruge
- Harakati zake zimegusa mamilioni ya watanzania katika biashara, burudani, sanaa, afya na uchumi.
-Ameinua tasnia ya habari, chombonchake clouds fm nimewahi kukiona ndani ya top ten ya redio bora afrika.

etc wadau mnafahamu mengi zaidi.


nani unadhani anastahili kuwa kaka wa taifa?
Lissu ndio kaka wa taifa, hakuna pimbi mwingine.
 
Mtaje aliyedhurumiwa kwa ushahidi wa wazi sio maneno

Sent using Jamii Forums mobile app

Yale yale nimetoka kukwambia hapo juu,

Toka lini mwizi anayejitambua akaacha alama?

Mwamba alikuwa haachi alama thus why walioibiwa wanaishia kulalamika

Ni wengi walioibiwa sio mmoja au wawili

Majani kawasema hawa watu mapema hata kabla ya msiba

Hakuna anayefurahia mwamba kuondoka ila tusikize sana haya mambo.
 
Acheni kuimba wimbo kwa mkumbo tuambieni alichowafanyia marehemu Ruge mpaka kumpa sifa si zake.

Acheni kukufuru, acheni kujipendekeza, hata Mungu hawaelewi kwann mnampa sifa ambazo si zake!

Binafsi namuona Ruge ni mfanyabiashara kama Dialo au Mama Rwakatare maana wote ni wajasiriamali.

Kama huna alichokufanyia na bado unamsifia basi kwenye kundi la wanafiki nawewe umo.

Eti kaka wa Taifa hata aibu hamuoni? Labda mngesema kaka wa clouds.
Nakushauri utumie jicho la tatu kuona zaidi ya kile unachokijua kuwa alifanya, na kama huna jicho hilo kaa kimya!
 
Siku Mtoto wa Ruge aumwee halafu aanze kupita kuomba msaada kwa wale wote walioenda kwenye msiba kuanzia viongozi wa Juu ndio utajua kama Ruge alikuwa na Ndugu wa kweli au Wanafikii

nimeshashuhudia Misiba ikijaza lakini baada ya Kuzika watoto wa marehemu Wanasahulika kama Upepoooo hata wakiomba Msaada Utasikia Baba yenu Ane alikuwa wapi kuwekezaa
 
Kama serikali imemtambua na kumpa heshima yote wewe n nan!?
Hivi mpaka karne hii ya 21 kuna watu wenye akili mgando kama zako?

Eti kama "serikali imekubali".....yani akili za mtu mwenywe phd ya maganda ya korosho ndo zinakua kama ni dira na kioo cha maisha yako????

Dude!
 
Back
Top Bottom