Akili yako haina akili wewe imani yako ni Uislam inabidi tui heshimu na wengine ni Wakristo inabidi pia tui heshimu wengine kama sisi imani yetu ni ya ki Afrika inabidi tu heshimiwe na wengine hawana dini.. kwa kutojitambua unataka watu wote wafanane wawe waislamu..
[emoji23][emoji23][emoji23]hamchelewi kusema na marehemu nae aliingizwaga mjini pale jangidiAcha kunichekesha mkuu ONTARIO kwa sasa tupo naye instargramm mkuu anatoa nondo kama zote awali alikuwa akitumia kiingereza kutuma jumbe zake watu tulimmaindu asitunie kiingereza tumia kiswahili, Na sasa karudi na Forex trade uko IG.Na anawapata watu.Ila sijajua hatima yao hadi sasa huwa na mstiri tu huyo ONTARIO uko IG aendelee kutapeli,Siku ikinifika tu nitaumbua MTU uko IG.
Duh! Kumbe Tanzania bado ina Wapumbav.u wengi hivi? Yaani unashindanisha contents na likes? Basi sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli wapumbavu wapo wapo wengi akiwemo baba yako maana nae amezaa mpumbavu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri ni zaidi ya ujingaUjinga mtupu.
Kizee jomoniii😐😐Ati wewe nini????[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Jide kafuata nyayo za Lowassa
Duh
Yaani watu wanataka dunia nzima ifate watakacho!
Wamempa pressure dada watu mpaka ka-cave in....Huu ni uuaji na haufai kibinadamu!
Muacheni mtu awe na uhuru wake,hamna mtu anajua Ruge kamkosea kiasi gani!
This is uncalled for!
Nataka kukufollow insta unatumia jina ganiYani bora umeamua kuweka hyo roho yako ya paka nyuma , maana kitu ambacho kingekutokea usingeamini macho yako, hizo show zake za Mia mbili ungepiga na kujisikiliza mwenyewe. Naona michambo ya juzi umeipata na imekuingia haswa, maana hii Tanzania ungeiona chungu, yani Leo nimekupenda upya huyu Ndo lady jaydee tunayemtaka, utawekaje bifu na marehemu? Tena ambaye alikusaidia mpaka ukawa lady jaydee, yani bora umejisalimisha, maana watu wangekuogopa kabisa , maana hata wachawi wakiua wanaenda kujinafikisha msibani Sasa wewe sijui tungeikuita nani .
Safi sana kusikia umeenda kumzika boss wako, yani hapa roho kwatu, na nyie mbwa mliokua mnapiga kelele kushadadia naona yamewashuka leo mxiew mbwa zenu nyie kazi ku support ujinga tu , hata mwenzenu kaenda semeni Tena mxieew . Ila juzi nilikuchamba shost . Sikukubakisha hata mxiew mie Ndo warumi [emoji16], haya nisamehe bure nimerudi kuwa Shabiki yako kama zamani
Mimi sio team mavi mavi, boss akikosea unasifia kila kitu , hapa unapata michambo vizuri yani tena kama sijawahi kukujua. Sitakagi ushabiki wa kishamba Mimi .
Haya useme tena you don't care mxieww , Leo commando kawa kama piliton[emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Safi sana..Taarifa za wadau zinasema hajaenda walikutana airport dar kisha yeye kashukia Kilimanjaro