SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
Kama ni heshima kwa marehemu Ruge mbona sasa hatoweza kujua kazikwa na nani hivyo hata haisaidii kwake.
v ni Moja ya herufi inayounda neno wapumbavuV ndio nani jamani?
Mmabo ya misa takatifu sijui kuzikwa na Askofu...zote ni mbwembwe tu! hautaulizwa hilo swali siku ya mwisho!Ruge na Kingunge wote sawa. Hawakulijua kanisa wala kuishi imani yao. Maziko waliyoyapata ndiyo heshima waliyostahili. Hakuna Misa Takatifu ya mazishi. Ni Sala tu ya kuongozwa na Katekista. Ndilo Kanisa Takatifu, Katoliki la Mitume. Halibagui wala kupepesa macho. Safi sana. Fanya fiesta lakini kumbuka kusali na kuhudhuria Misa Takatifu.
Mwisho wao unakuwaje mkuu; Watu wengi mwisho wao huenda wakaweza kutengeneza, May be wakati anaugua hata kama hazungumzi kumbuka Mtu anaweza kuzungumza na Mungu pasipo hata kufungua Kinywa chake;Na wao wanakiri kuwa ni wadhambi! Na hawapo tayari kutubu hata kwa mtutu wa bunduki!!
Natamani waje wamsusie na Jiwe itakapofika siku yakeWakatoliki hawanaga shobo na wasioendana na taratibu zao,hata uwe nani
Katika ulimwengu wa Diplomacy hicho kitu kipo. Delegation ikiongozwa na mtu mdogo kicheo, ujue uhusiano wenu unachechemea.KAMA JIRANI YAKO UWA HAMSHIRIKIANI,WEWE BABA UKAAMUA KUTOKWENDA KWENYE MSIBA WAKE,VIPI SASA UTUME MTOTO( KATEKISTA)? SI MGESUSA WOTE?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha mahaba na Ruge, huyu alizaa nje ya ndoa, hawezi in Catholic kusomewa misa na padre, maana ana dhambi ya kuzini iliyo wazi kwa waumini! hata huyo katekista ni funika kombe mwanaharamu apite!Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.
Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.
Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.
Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
Pamoja na kukimbizana na maisha ya kila siku ndugu zangu kushiriki Jumuiya ni muhimu kwa kila Mkatoliki.Kwa heshima zote za kiserikali na kibinadamu na mapokezi aliyopata Marehemu Ruge, alisitahili kuzikwa kwa ibada kuendeshwa na Katekista?
Ukitilia maanani ukaribu wa familia ya marehemu na Askofu M. Kilaini, Ujirani uliopo kijijini kati ya Askofu na Prof. Mutahaba na Mazingira ya mwamko wa kidini ya RC uliopo hapo kijijini
Aidha, Ujirani na Parokia yake ya Itahwa na Ushiriki wa viongozi hao wa dini katika kuaga mwili wa Marehemu hapo Bukoba Club/Gymkhana
Mwisho wa Mwisho ibada ya mazishi ikaishia kuendeshwa na Katekista ikishuhudiwa viongozi hao wa Kanisa kushindwa kushiriki ibada hiyo.
Kwanza Sio utamaduni wa eneo hilo kwa mtu kama wa aina ya Mutahaba.
Mwisho wa Ruge imekuwa simanzi kubwa kwani mbwembwe za mitaani zimezimwa na Kanisa lake.
The very last RESPECT imeua yote.
kwa sababu hakufunga ndoa na amezaa watoto bila ndoa , pia alikuwa hashiriki sakalementi za kanisa na visakalamenti vyake huwa hivyo na wakati mwingine hawafanyi kitu kabisa.
Kwa vile hata binaadamu wanaopata choo cha kawaida, nao mara moja hupata choo hicho, hivyo nami ni b binaadamu tuu kama wengine wote, nami huweza kufanya kama ulivyo sema. Pole kwa ... na Asante.
Kati ya Karma na Christianity imetangulia nini?. Kwa taarifa tuu, karma iko kwenye Hinduism na Buddhism, ukilinganisha na Chiristianity, Ukristo ni dini ya juzi.-1.Usiingize karma wakati issue ni christianity
-2.Afadhali yaliyomkuta Ruge amepata katekista kuliko yalimkuta tajiri wa ngurudoto(waligoma kumzika kisa ushiriki wake kanisani)
"bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo."Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.
Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.
Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.
Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
Njoo pande hizi"bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo."
Hapa umesema sio matendo yanatupeleka Mbinguni bali ni neema
Mzee baba leo kwa hizi theory zako umeniacha kwenye mataa au sijui njia panda ya Mfugale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa na wewe utaiona pepo Mzee baba ?Peleka ushenzi huko.....Kuna mkatoliki mbumbumbu kama wewe!!! We nenda kakanyage mafuta huko...
Shwain
Alikuwa kwenye migomba anachungulia...Jamani makond juzi alisema atasema neno bukoba amesema neno gan?mliokuwa mnafutailia mtueleze tuelewe waja