TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Ruge na Kingunge wote sawa. Hawakulijua kanisa wala kuishi imani yao. Maziko waliyoyapata ndiyo heshima waliyostahili. Hakuna Misa Takatifu ya mazishi. Ni Sala tu ya kuongozwa na Katekista. Ndilo Kanisa Takatifu, Katoliki la Mitume. Halibagui wala kupepesa macho. Safi sana. Fanya fiesta lakini kumbuka kusali na kuhudhuria Misa Takatifu.
Mmabo ya misa takatifu sijui kuzikwa na Askofu...zote ni mbwembwe tu! hautaulizwa hilo swali siku ya mwisho!
 
Na wao wanakiri kuwa ni wadhambi! Na hawapo tayari kutubu hata kwa mtutu wa bunduki!!
Mwisho wao unakuwaje mkuu; Watu wengi mwisho wao huenda wakaweza kutengeneza, May be wakati anaugua hata kama hazungumzi kumbuka Mtu anaweza kuzungumza na Mungu pasipo hata kufungua Kinywa chake;

Kama kuna mahali Mungu aliweka siri nzito Basi ni kwenye Siku ya Kufa na Ukifa unaenda wapi
 
Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.

Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.

Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.

Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
Acha mahaba na Ruge, huyu alizaa nje ya ndoa, hawezi in Catholic kusomewa misa na padre, maana ana dhambi ya kuzini iliyo wazi kwa waumini! hata huyo katekista ni funika kombe mwanaharamu apite!
 
Kwa heshima zote za kiserikali na kibinadamu na mapokezi aliyopata Marehemu Ruge, alisitahili kuzikwa kwa ibada kuendeshwa na Katekista?

Ukitilia maanani ukaribu wa familia ya marehemu na Askofu M. Kilaini, Ujirani uliopo kijijini kati ya Askofu na Prof. Mutahaba na Mazingira ya mwamko wa kidini ya RC uliopo hapo kijijini

Aidha, Ujirani na Parokia yake ya Itahwa na Ushiriki wa viongozi hao wa dini katika kuaga mwili wa Marehemu hapo Bukoba Club/Gymkhana

Mwisho wa Mwisho ibada ya mazishi ikaishia kuendeshwa na Katekista ikishuhudiwa viongozi hao wa Kanisa kushindwa kushiriki ibada hiyo.

Kwanza Sio utamaduni wa eneo hilo kwa mtu kama wa aina ya Mutahaba.

Mwisho wa Ruge imekuwa simanzi kubwa kwani mbwembwe za mitaani zimezimwa na Kanisa lake.

The very last RESPECT imeua yote.
Pamoja na kukimbizana na maisha ya kila siku ndugu zangu kushiriki Jumuiya ni muhimu kwa kila Mkatoliki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena wamefanya kusitiri,na huenda kateksta amejiiba atafungiwa kama hakupewa ruhusa;kama hushiriki unazikwa kama Kuku,duh ngonja niwahi kitubio na kupata sakramenti
kwa sababu hakufunga ndoa na amezaa watoto bila ndoa , pia alikuwa hashiriki sakalementi za kanisa na visakalamenti vyake huwa hivyo na wakati mwingine hawafanyi kitu kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
-1.Usiingize karma wakati issue ni christianity
-2.Afadhali yaliyomkuta Ruge amepata katekista kuliko yalimkuta tajiri wa ngurudoto(waligoma kumzika kisa ushiriki wake kanisani)
Kati ya Karma na Christianity imetangulia nini?. Kwa taarifa tuu, karma iko kwenye Hinduism na Buddhism, ukilinganisha na Chiristianity, Ukristo ni dini ya juzi.

Kwenye Bible, karma imezungumzwa sana, hata meditation pia imo.
Mungu ni yule yule despite the different names.
P
 
Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.

Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.

Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.

Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
"bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo."


Hapa umesema sio matendo yanatupeleka Mbinguni bali ni neema

"Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani"

Chini hapo ukasema kwa aliyo watendea watu Ruge ameingia peponi .

Mzee baba leo kwa hizi theory zako umeniacha kwenye mataa au sijui njia panda ya Mfugale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom