Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
With Kidney failure, sitashtuka sana! Siombi hayo lakini ule ugonjwa si mzuri katu. All metabolic wastes have no exit outside the body!
Sipendi message za hv but hatuna budi kuukubali ukweli kwamba sote tupo kwenye foleni...RIP Ruge.
The other (spiritual) side might be better. Unfortunately it is a one way journey and we are all lined up for the next bus and no one is coming back.
Dah usiandike sana hv jaman...dah...mie jaman mambo mengune nahis kudata kbs..pole..dah!hebu muombee mamANdiyo maana mimi naomba Mungu nije kufa kwa mlipuko wa ajabu hata nilipukiwe na kombora nisambaratike kama udongo.
Aliteseka sana yule mama, siku ya mwisho natoka kumuona nilirudi kwenye makazi yangu na kuomba Mungu naomba mpumzishe yule mama anateseka sana.
Usiogope kufa Mbrazil.Dah usiandike sana hv jaman...dah...mie jaman mambo mengune nahis kudata kbs..pole..dah!hebu muombee mamA
Polw sana Tumuom ew na tuoshi maisha ya rugw simfahamu kwa karibu zaidi ya kumwangalia kwa tv ...Inauma sana sana unapokuwa ulimfahamu mtu na wanafamilia wote.
Nina ganzi
Unadhan mie naogopaga kufa?siogopi ila nna hofu sana akifa mzaz wangu m1..nahisgi level ya kupata ukichaa ni kubwa sana!mie napaogopa labor tu kifo sikiogopi sana!Usiogope kufa Mbrazil.