Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
๐๐๐ ๐ ohooooo hahahahahahhaha...!Wanakera balaa
Wachawi washanichokonoa(***** zao)
Kama Ruge sitamzika na ban sijui tu kuna watu wanakereketa mpaka basi
Sent using Jamii Forums mobile app
๐๐๐ ๐ ohooooo hahahahahahhaha...!Wanakera balaa
Wachawi washanichokonoa(***** zao)
Kama Ruge sitamzika na ban sijui tu kuna watu wanakereketa mpaka basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww hujaelewa logic yangu....Nadhan somo limekuingia
Zama tunamuonea tu. Ruge ana watoto watatu wanaolingana na juju ina maana wakati zama ana mimba kuna wengine pia walikua na mimba ya bwana wake. Hata kama ni moyo wa chuma hapana
Mkuu hoja ni at what time did he tweet. Kwa nini awe wa kwanza wakati familia ndio wahusika wakubwa na mzigo ni wao? Yeye ni rais wa wote haijalishi nani ktk nchi hii. Kwa hiyo anavyoanza kuonesha uhusika wake mkuu kwenye issue za watu private tutanaza kudai awe anadesema pia kwenye misaba mingine . Hapo atadai tunamwonea????Mtu alitoa Mil 50, ulitarajia awe wa mwisho kupewa habari?!!
Watoto wa proffesor Mutahaba katika picha ya pamojaView attachment 1034003
Weeeeee[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Jamaa alikufa toka mwaka jana mwz wa 11
Swali lako lina mantiki. Hata mimi nilishtuka kidogo huu uharaka wa uncle kutwiti.Mimi binafsi hua nina questioning mind, hua sikubaliani na kila ninachoambiwa bila kujiuliza.
Kwa maelezo ya mwana familia, Ruge alifariki majira ya sa kumi jioni siku ya juzi tarehe 26.2.2019 huko kwa Mzee Mandela.
Katika hali ya kawaida najua watu wa kwanza kujua habari ya kifo ni wanafamilia pamoja na ndugu na marafiki wa karbu mapema kabisa baada ya mpendwa wao kuwatoka. Hili la Ruge limekua tofauti, baada ya kupita takribani masaa 4 baada ya kifo, taarifa ya kifo imekuja kutolewa kwa hadhara na Mheshimiwa Rais.
Najiuliza tu, ilikuaje rais ndio akawa mtu wa kwanza kuujulisha umma kifo cha Ruge. Hakuna asiejua kua Ruge ni mtu maarufu ila hakua kiongozi wa kisiasa.
Najiuliza tu.
Ela ndiyo nini!!?
Raisi anaweza kujua ndugu yako kafa kabla yako na akakupigia simu ya kukupa pole,ilhali upo hapohapo hospitali aliyolazwa na hujawahi kuwa na mawasiliaono na raisi husika ,anaweza kusoma mesej na kusililiza mawasiliano ya mkeo ilhali mume mtu hata paswed ya simu ya mkeo huijui.rais ana vyanzo vingi vya taarifa
Huenda hili likawa na ukweli kiasi. Rejea ukusanyaji wa ghafla wa michango.Huyu alikufa siku nyingi sema hela ya kulipia na kutoa mwili ikawa shida
Sent using Jamii Forums mobile app
๐๐๐Sio kila mtu ana umasikini wa hela kama wewe. Wengine tunatafta wanawake.
mkuu umenitisha๐ซ๐ฉ...alikuwa anamkubali sana Ruge lakini Klauz ilipovamiwa alimtimua kazi mtetezi wa Ruge.
Polonium 210 inaweza kuja tumiwa na watu wengine huko mbeleni dhidi ya wanaoitumia sasa.... what goes around comes around.
RIP Ruge.
Muulizeni daudi [emoji35] mi nahisi ameweka mkono wake HAPA[emoji15][emoji15][emoji15]Mimi binafsi hua nina questioning mind, hua sikubaliani na kila ninachoambiwa bila kujiuliza.
Kwa maelezo ya mwana familia, Ruge alifariki majira ya sa kumi jioni siku ya juzi tarehe 26.2.2019 huko kwa Mzee Mandela.
Katika hali ya kawaida najua watu wa kwanza kujua habari ya kifo ni wanafamilia pamoja na ndugu na marafiki wa karbu mapema kabisa baada ya mpendwa wao kuwatoka. Hili la Ruge limekua tofauti, baada ya kupita takribani masaa 4 baada ya kifo, taarifa ya kifo imekuja kutolewa kwa hadhara na Mheshimiwa Rais.
Najiuliza tu, ilikuaje rais ndio akawa mtu wa kwanza kuujulisha umma kifo cha Ruge. Hakuna asiejua kua Ruge ni mtu maarufu ila hakua kiongozi wa kisiasa.
Najiuliza tu.
[emoji849][emoji849]safi halafu jitu lenyewe linaandika ELA...Sio kila mtu ana umasikini wa hela kama wewe. Wengine tunatafta wanawake.
Kivipi[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Kumbuka rais alikuwa karibu sana na Ruge kwa hiyo ni lazima waangalizi wa mgonjwa wampe taarafa directly.....
Sio jambo la kuhoji.
EbooohHuyu alikufa siku nyingi sema hela ya kulipia na kutoa mwili ikawa shida
Sent using Jamii Forums mobile app