TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Zama tunamuonea tu. Ruge ana watoto watatu wanaolingana na juju ina maana wakati zama ana mimba kuna wengine pia walikua na mimba ya bwana wake. Hata kama ni moyo wa chuma hapana

duh🤔...kumbe ana familia kubwa..lol...azikwe tu kwakwwl
 
Mtu alitoa Mil 50, ulitarajia awe wa mwisho kupewa habari?!!
Mkuu hoja ni at what time did he tweet. Kwa nini awe wa kwanza wakati familia ndio wahusika wakubwa na mzigo ni wao? Yeye ni rais wa wote haijalishi nani ktk nchi hii. Kwa hiyo anavyoanza kuonesha uhusika wake mkuu kwenye issue za watu private tutanaza kudai awe anadesema pia kwenye misaba mingine . Hapo atadai tunamwonea????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi binafsi hua nina questioning mind, hua sikubaliani na kila ninachoambiwa bila kujiuliza.

Kwa maelezo ya mwana familia, Ruge alifariki majira ya sa kumi jioni siku ya juzi tarehe 26.2.2019 huko kwa Mzee Mandela.

Katika hali ya kawaida najua watu wa kwanza kujua habari ya kifo ni wanafamilia pamoja na ndugu na marafiki wa karbu mapema kabisa baada ya mpendwa wao kuwatoka. Hili la Ruge limekua tofauti, baada ya kupita takribani masaa 4 baada ya kifo, taarifa ya kifo imekuja kutolewa kwa hadhara na Mheshimiwa Rais.

Najiuliza tu, ilikuaje rais ndio akawa mtu wa kwanza kuujulisha umma kifo cha Ruge. Hakuna asiejua kua Ruge ni mtu maarufu ila hakua kiongozi wa kisiasa.

Najiuliza tu.
Swali lako lina mantiki. Hata mimi nilishtuka kidogo huu uharaka wa uncle kutwiti.
 
rais ana vyanzo vingi vya taarifa
Raisi anaweza kujua ndugu yako kafa kabla yako na akakupigia simu ya kukupa pole,ilhali upo hapohapo hospitali aliyolazwa na hujawahi kuwa na mawasiliaono na raisi husika ,anaweza kusoma mesej na kusililiza mawasiliano ya mkeo ilhali mume mtu hata paswed ya simu ya mkeo huijui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raise alimchangia mil 5 , nasikia hata mchonga hakufa tarehe 14;wanafanya hivyo ili kuweka mazingira Kwanza na mipango ya awali
 
...alikuwa anamkubali sana Ruge lakini Klauz ilipovamiwa alimtimua kazi mtetezi wa Ruge.

Polonium 210 inaweza kuja tumiwa na watu wengine huko mbeleni dhidi ya wanaoitumia sasa.... what goes around comes around.

RIP Ruge.
mkuu umenitisha😫😩
 
Mimi binafsi hua nina questioning mind, hua sikubaliani na kila ninachoambiwa bila kujiuliza.

Kwa maelezo ya mwana familia, Ruge alifariki majira ya sa kumi jioni siku ya juzi tarehe 26.2.2019 huko kwa Mzee Mandela.

Katika hali ya kawaida najua watu wa kwanza kujua habari ya kifo ni wanafamilia pamoja na ndugu na marafiki wa karbu mapema kabisa baada ya mpendwa wao kuwatoka. Hili la Ruge limekua tofauti, baada ya kupita takribani masaa 4 baada ya kifo, taarifa ya kifo imekuja kutolewa kwa hadhara na Mheshimiwa Rais.

Najiuliza tu, ilikuaje rais ndio akawa mtu wa kwanza kuujulisha umma kifo cha Ruge. Hakuna asiejua kua Ruge ni mtu maarufu ila hakua kiongozi wa kisiasa.

Najiuliza tu.
Muulizeni daudi [emoji35] mi nahisi ameweka mkono wake HAPA[emoji15][emoji15][emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom