Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Exactly!
Kwanini huwa tunawaza kulogwa na kuloga ndiyo mtu afe simama imara katika imani, hakuna mkono wa mtu ni muda wake tu ulifika, apumzike kwa amaniMungu ampumzishe mahali pema peponi.
Kama ni mkono wa mtu hakika alaaniwe na apate mabaya hapa hapa duniani na kuzimu pia.
Kuna watu wabaya sana hapa Tanzania.
Na ubongo + utumbo mwembamba.kwenye mwili wa binadamu ogopa sana ini na figo kupata hitilafu...
With Kidney failure, sitashtuka sana! Siombi hayo lakini ule ugonjwa si mzuri katu. All metabolic wastes have no exit outside the body!