Mimi alinichefua alipovujisha ile audio yaani nilimuona popoma wa kiwango cha esijiara...Hahaaaaa si unamjuaga tena na magazeti yake? Ila nilikuwa nampenda sana basi tu kaja kunikera juzikati alivyoanza mashauzi ya kijinga na kumdhalilisha marehemu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hapana dear, OG sio Mange. Mbona huwa anaingia live mara kibao? Kuna mambo mengi wanatofautiana pia japo wanafanana kwa mengi maana OG huwa anasema Mange ni role model wake na alianza kumfuatilia tokea U-Turn.
Anajitahidi lakini wananzengo hatumuelewiiii. Bora hata angempamba Ruby, Nandy hauziki.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Miezi sita haikutimia toka waishi?Hapana asingeitwa mjane bila ndoa.
Uvumilivu ulisaidiwa na pesa na ujenzi wa nyumba anayoishi kwa sasa.
Hivi kale kamimba sio ka marehemu kweli [emoji3][emoji3][emoji3]Hapana dear, OG sio Mange. Mbona huwa anaingia live mara kibao? Kuna mambo mengi wanatofautiana pia japo wanafanana kwa mengi maana OG huwa anasema Mange ni role model wake na alianza kumfuatilia tokea U-Turn.
Anajitahidi lakini wananzengo hatumuelewiiii. Bora hata angempamba Ruby, Nandy hauziki.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mimi alinichefua alipovujisha ile audio yaani nilimuona popoma wa kiwango cha esijiara...
Sent using Jamii Forums mobile app
Miezi sita haikutimia toka waishi?
Inategemea pia marehemu mwenyewe anamtambuaje!
Japo ukweli ni kama hapana ndoa ...bado hujawa mke!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile nyumba nguvu yake kabisa na hati itakua kwa jina la mtoto. Sana mpaka alifikia hatua ya kulia
Bhaaaaaaassss
Tokea pale nilimvua vyeo vyote! Na amekuwa mswahili hadi leo, show off kibao. Aombe Mungu sana kikombe alichonywea Zari kimuepuke.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bhaaaaaaassss
Tokea pale nilimvua vyeo vyote! Na amekuwa mswahili hadi leo, show off kibao. Aombe Mungu sana kikombe alichonywea Zari kimuepuke.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Haaaa isijekuwa lengo lake alitaka wamove in together masikini [emoji24][emoji24][emoji24]
Mungu ampe pumziko, Zama nae Mungu ampe ujasiri alelee wale watoto maana yule marioo akimuacha atakuwa ktk wakati mgumu sana.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hatuna uhakika na hilo!Ngumu sana na isingetokea. Ndoa za kimila siku hizi hazina nguvu
Ataachwa tu, we unadhani kijana mdogo yule atakubali kuishi na Zama maisha yote, kama sio kuachwa basi ataoa tena kijana mwenzieHaaaa isijekuwa lengo lake alitaka wamove in together masikini [emoji24][emoji24][emoji24]
Mungu ampe pumziko, Zama nae Mungu ampe ujasiri alelee wale watoto maana yule marioo akimuacha atakuwa ktk wakati mgumu sana.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umepotelea wapi ? Zama alaaniwe kabisa,kujipendekeza kwa Marehemu Ruge,hadi Ruge akaingia line wakazaa,Dina akapoteza kazi. Snitch Zama mwisho wake mbaya. Aliniudhi sana alipovujisha audio za Ruge akililia penzi.Bhaaaaaaassss
Tokea pale nilimvua vyeo vyote! Na amekuwa mswahili hadi leo, show off kibao. Aombe Mungu sana kikombe alichonywea Zari kimuepuke.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nilisikia hivyo pia sijui aliishia wapiHatuna uhakika na hilo!
zipo na za serikali pia zipo...
Ila mzee baba wanasema alikuwa tayari kuchilimu ilimradi warudiane na zama....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie wanawake hapo mnamuonea wivu tu mwenzenu zamaradi hamna lolote majungu tuu
Tumuonee wivu kwa lipiNyie wanawake hapo mnamuonea wivu tu mwenzenu zamaradi hamna lolote majungu tuu
Hatuna uhakika na hilo!
zipo na za serikali pia zipo...
Ila mzee baba wanasema alikuwa tayari kuchilimu ilimradi warudiane na zama....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawakuachana kisa cha dini..Natamani ungeangalia upande tunaoangalia sie ungeelewa. Hao wawili dini zilikua tofauti na sababu kadhaa hivyo kwa miaka karibia 9 na kitu ndoa hakuna dalili na bibie shida yake ilikua ndoa ndo maana bwana mpya alipojitokeza fasta ndoa ikafungwa