TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Nimepoteza mama kwa sababu ya huu ugonjwa, ogopa unakaa ndani na mgonjwa mnasubiri afe.

[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
Pole[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Yaani inafika stage hadi mgonjwa mwenyewe anajiona tu Kama haponi
Tulijaribu mbinu zote lakini wapi
Wale Wana maombi tukaomba na kufunga lakini wapi

Hiyo dialysis amefanyiwa lakini wapi Hali ilizidi kuwa mbaya tu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

E mwenyez Mungu turehemu sisi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo tu mashuhuri bali kipenzi cha wananchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole ya kwetu aiseee ..umenikumbusha hata mimi mzee alifariki ndani ya siku kadhaa tu figo zote mbili zilifeli..
Kifo kinatisha bhana yani unaona dalili nyingi za huyu mtu anaitwa lkn unajitahidi kukiri kwa imani..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Yaani inafika stage hadi mgonjwa mwenyewe anajiona tu Kama haponi
Tulijaribu mbinu zote lakini wapi
Wale Wana maombi tukaomba na kufunga lakini wapi

Hiyo dialysis amefanyiwa lakini wapi Hali ilizidi kuwa mbaya tu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

E mwenyez Mungu turehemu sisi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana mimi naomba Mungu nije kufa kwa mlipuko wa ajabu hata nilipukiwe na kombora nisambaratike kama udongo.

Aliteseka sana yule mama, siku ya mwisho natoka kumuona nilirudi kwenye makazi yangu na kuomba Mungu naomba mpumzishe yule mama anateseka sana.
 
Hakika ni Masikitiko na majonzi makubwa, Ruge Mutahaba nami nakuafuata kwa kamba ya maombi kukuombea upumzike kwa raha na amani , udongo mzuri ukulalie! Pole Clouds, Poleni ya Kupoteza!
 
R.I.P [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
P.I.P Director of Strategy and Programs Development at Clouds Media Group
 
(كُلُّ نَفْسٍ ذَائِقَةُ الْمَوْتِ ۗ وَإِنَّمَا تُوَفَّوْنَ أُجُورَكُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ ۖ فَمَنْ زُحْزِحَ عَنِ النَّارِ وَأُدْخِلَ الْجَنَّةَ فَقَدْ فَازَ ۗ وَمَا الْحَيَاةُ الدُّنْيَا إِلَّا مَتَاعُ الْغُرُورِ)
[Surat Aal-E-Imran 185]

185. Kila nafsi itaonja mauti, na bila
shaka mtapewa ujira wenu sawasawa
siku ya Kiyama. Na aliyewekwa mbali
na Moto na kuingizwa Peponi, basi
amefaulu; na maisha ya dunia hii si kitu
ila ni starehe idanganyayo.
_________________________

Mchamungu mmoja katika pita zake alikutana na mzee mmoja, akamsalimia yule mzee, akamkumbatia na akambusu. Kisha akamuuliza una miaka mingapi mzee wangu(?). Bila hiyana mzee akajibu miaka aliyonayo. Akamwambia nina miaka 63.

Yule mchamungu akamwambia unafahamu kwamba umetembea safari iliyokuchukua miaka 63 kuelekea kwa mmiliki wako(Mungu)? Na unafahamu kwamba ukifika kwa mmiliki wako ni lazima atahitaji habari ya hiyo safari yako ilikwendaje? Ni majibu yepi uliyomuandalia?

Mzee wa watu hakuwa na jibu, akabaki analia.

Guys! Umri wetu ni mfupi sana. Huu uhai, afya, mali tunazomiliki, uzuri( ma HB na Masista du) haya yasitusahaulishe sana. Tule bata sawa ila tukumbuke Mungu yupo. Kama Duniani tunawekeana taratibu za kuishi sisi kwa sisi vipi yeye Mungu mwenyewe? Unafikiri katuacha tuishi tunavyotaka wenyewe? Tujipange.

Pole kwa wanafamila, ndugu, jamaa na marafiki na Tanzania kwa ujumla.

Yafaa mauti kuwa mawaidha tosha.
 
Mkuu kwa maelezo inaonekana una utaalamu kidogo. Hivi hii kidney failure ikitokea ni zote zinafaa kufanya kidney replant au ziko ambazo hazifai?
Itakuwa alikishwa sumu sio Tatizo la Figo, Figo unaugua wiki mbili hadi unageuka na Sura? Hapana! Hapana!
 
Back
Top Bottom