TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Mtume Pasco,

Mimi ni mumini wa kanisa katoliki, kanisa kuna Sanam za bikria Maria naYesu kadhalika sala ya mama Maria utuombee sisi wanao! na kuna swala la kumuungamia Padri hili limekaaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu aliwapa watu (mapadri) amri/uwezo ya kusamehe dhambi kwa njia ya nani? Ni halali kuungama kwa padre?
Mungu aliwapa watu amri ya kusamehe dhambi kwa njia ya Mwanae. Yesu mfufuka aliwaonyesha Mitume alama ya mateso mwilini mwake, “akawavuvia, akawaambia, ‘Pokeeni Roho Mtakatifu. Wowote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wowote mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa” (Yoh 20:22-23). Katika Kanisa tunafurahi kupewa msamaha wa dhambi kila tunapohitaji, mradi tutubu. Kwa njia ya mwandamizi wa Mitume, Yesu anatuambia, “Umesamehewa dhambi zako… Imani yako imekuokoa, enenda zako kwa amani” (Lk 7:48,50). Si dhana wala hisia tu, bali ni neno la hakika tunalolipokea kwa masikio yetu.
 
believers /religious fanatics are lazy and mental retarded...
Mijitu mizima humu jukwaani mnajadili pepo na jehanam vitu vya kufukirika fantasy..
Hakuna mungu kanisani/msikitini acheni uvivu wakufikiria na kupembua mambo mliyo karirishwa..

Tunasali ili,
1. Kumwabudu Mungu
2. Kumshukuru Mungu
3. Kuomba neema na baraka kwa ajili yetu na wenzetu
4. Kuomba Msamaha
 
Yani ww inaonekana Afisa wa Serikali akikuomba Boga lazima utampa maana inaonekana serikali ikisema kitu ni sahihi....

Goodlucky

Huo n muono wako
Siko serikalin na wala sijawah ipenda hii serikal lakn pa kusemwa lazma pasemwe

Nimejifunza kitu kutoa n moyo na wala sio utajiri na unapomsaidia mtu usimtangaze
Fanya kimya kimya...
RIP RUGE


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haijalishi imeongozwana nani issue ni mahusiano yake na Mungu, hilo li mwili halins issue

sent using...tecno wereva[emoji23]
 
Huu jamaa kabla ya umauti hata robo ya watanzania walikuwa hawamjui baada ya umauti wanatumia NGUVU nyingi kulazimisha watu wa mjue!
Clouds naomba ife tu na mkitoka msibani kuanza kudeal na wasanii ambao jawajapost huo msiba.
Hawafosi watu wamjue on top of that huenda ww ndo humjui na ndugu zako wengine mnaoish mangwangwa huko.
 
Hata Mimi nashangaa, mama mzima anaitwa baby as if walikosa majina.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wengine nawafahamu mmoja anaitwa 'Candy' kuna 'wolfgang' na 'Eugene' ni majina yao mpaka kwenye vyeti!!..
Halafu huyo sidhani ni baby itakuwa 'Babie' ila matamshi mnasikia baby. Kuna wazazi wajanja toka 70s boss.
 
Mimi ni mdau wa kipindi cha Clouds 360.

Leo nilipofuatilia kipindi nikamkuta Hassan Ngoma akiripoti kutokea msibani huko Bukoba ambapo tanga ndugu linaendelea na wafiwa waliolala msibani akiwemo Ngoma walikuwa wamemaliza kupata kifungua kinywa.

Ingependeza kama mtatujulisha wadau wenu ni lini mtarejea rasmi hewani baada ya kumaliza maombolezo.

Poleni sana
Maendeleo hayana vyama!
 
Kwani kanisa katoliki limemuhukumu wapi na kivipi mbna mnatulisha maneno wakatoliki??
Hili la kutubu ni moja ya maeneo makubwa sana yatakayo wapeleka Wakatoliki motoni.

Bwana wetu Yesu Kristo alitusisitizia "usihukumu, usije ukahukumiwa"
Who are you kuhukumu?.

Ukifanya dhambi unamkosea Mungu, hivyo kama ni kutubu, ni kutubu kwa Mungu na sio kwa mwanadamu.

Toba ya kweli ni baina ya mkosaji na Mungu wake, ili kufanya toba ya kweli huhitaji kwenda kuungama kwa Padri, hata ukitubu wewe mwenyewe tuu, tena kimoyomoyo, toba yako inafika, ndio maana Bwana wetu Yesu Kristo alitusisitizia, "tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo" . Nani alikuwako moyoni mwa Ruge zile siku zake za mwisho za uhai wake?.

Kanisa Katoliki linataka matendo, Yesu amefundisha mambo ya moyoni, who are they to judge?.

Ingekuwa Mungu Baba anatoa daily list ya wanaiongia mbinguni na motoni, kuna wengi mngekuwa surprised na kupigwa na butwaa pale mnapoona wale wakamilifu wetu, maaskofu, mapadri na viongozi wetu wa dini wakitupwa motoni, huku wadhambi wakiingia mbinguni. Yesu alikuja kwa ajili ya wakosefu na sio wakamilifu. Alisema" wote wenye mizigo, nitawapumzisha". Ruge aliishakabidhi mizigo yote kwa Yesu mwenyewe na sasa amepumzishwa. Nyie endeleeni na kuwategemea binaadamu, mtafanywa kuni...
P

Sent from my SM-J120F using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mdau wa kipindi cha Clouds 360.

Leo nilipofuatilia kipindi nikamkuta Hassan Ngoma akiripoti kutokea msibani huko Bukoba ambapo tanga ndugu linaendelea na wafiwa waliolala msibani akiwemo Ngoma walikuwa wamemaliza kupata kifungua kinywa.

Ingependeza kama mtatujulisha wadau wenu ni lini mtarejea rasmi hewani baada ya kumaliza maombolezo.

Poleni sana
Maendeleo hayana vyama!
Radio na TV ni zao wakiamua waomboleze hata mwaka mzima hayakuhusu, kama vipi sikiliza Radio Uhuru au Channel Ten.
 
Kanisa katoliki halimlazimisha marehemu kutubu au kumsalia wakati yy alivokuwa hai hakufanya hivo
Tena kuna wafia dini wa ajabu sana, Biblia zipo, maandiko yapo, mafundisho yapo, mfano mzuri ni kuhusu ibada za masanamu, watu wanawaaminia sana binaadamu, wanamtumikia shetani wakiaminishwa ni Mungu, bila wenyewe kujijua, sisi Wakatoliki tuliojitambua, tunamwelewa sana mtu kama Ruge kukataa ujinga ujinga fulani in the name of Catholic Church, zimewekwa sheria kibao ati usipofanya hivi, siku ukifa hatukuziki!.
Tena kitu cha ajabu ni wanafanya Cherry picking, kwa kuangalia status.
Angalieni msiba huu wa kigogo huyu walifanya nini na sikilizeni rais Magufuli alisema nini juu ya mtu huyu na bado alizikwa kwa heshima zote za kanisa, tena kwenye Hilo mimi meshauri
"Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?" - JamiiForums
P

Sent from my SM-J120F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom