pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,296
- 6,692
Ndio mkuu hahahahahahaNdo signature yako mkuu?
mpuuzi mpuuzi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu hahahahahahaNdo signature yako mkuu?
OkJamaa hata kama hujui lakini anakupa moyo ya kuwa huna kipaji ila juhudi na nia zitakufanya uwena kipaji hicho unachohitaji
mpuuzi mpuuzi tu
Kabla hujafa hujaumbika,ukishakufa ndio utaelezewa Maisha yako uzuri na ubaya.Wewe bado una survive, ktk uzito ule ule wa yale mabaya uliyomwaga hapa, nawe mwaga mabaya yako hapa ili tuamini kuwa wewe si farisayo wala mnafiki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba unieleweshe. Ni lazima mtu awe role model kwenye kila jambo?Gulwa hoja yako ni ya msingi sana. Ni ukweli usiopingika yapo mambo mazito ambayo hatupendi kuwa wakweli kuhusu upande wa pili wa huyu ndugu... Ukiangalia kwa undani upande wa pili 'leaves a lot to be desired' Mtu ambaye ana umri huo hana hata familia unajiuliza anawezaje kuwa role model? Watu wengi wanashabikia mambo bila kutafakari kwa undani. Hatuwezi kumhukumu maana hiyo ni kazi ya Mungu lakini ukiangalia hao vijana aliowasaidia wengi hawana msingi imara kama kiongozi wao alivyokua
- Nasikia
- Inasemekana
- Sina ushahidi ila....
Mpaka sasa sijaona mwenye ushahidi wa mabaya ya Ruge zaidi ya hizo kauli za wambea!
Ruge alikua na mapungufu yake kama wanadam wengine, ila mazuri yake ni mengi na makubwa mno!
Ameacha alama, na jina lake litaishi.
"Wanaokupenda hawakuambii, wanaokuchukia hawakujui"
Rest easy Ruge!
- KANA -
Ukimuamsha NGWEA Sasa hivi halafu ukamuambia ruge ni anasifiwa huko. Naye atakufa tena kwa.mshtuko[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaaaMimi ni shuhuda kidogo wa hayo yasemwayo na ruge mutahaba japo sina ushahidi wa moja kwa moja, nina mdogo wangu yeye ni mwanamuziki amefanya juhudi sana kuzurula kuifuata Fiesta na kusahau shule sasa basi grand finale ya 2016 ndipo akaniambia Bro aisee hawa majamaa sio wameniomba "Nyuma" ndio nitoboe kimziki naombeni tu nirudi shule nilicheka sana na kuona dogo anatafuta gia ya kuhurumiwa arudi shule.
.
Sasa baada ya Dudu kuanza kueleza hayo hadharani nikaanza kuona kidogo hili jambo yawezekana lina uhalisia fulani kuna msanii yupo THT jina namuhifadhi bado ni mchanga sana anasema Wadada warembo wote wa pale kapitiaaa mzee marehemu. "Sina ushahidi wa moja kwa moja ila ndivyo yanavyosemekana"
PointlessHizo ni standards ambazo zimewekwa na binadamu tu sijui ukifika umri fulani lazima uoe, Ruge kasoma Marekani na kama ujuavyo tatizo la divorcee lilivyo kubwa US esp ukiwa kwenye entertainment industry nadhani hiyo pia ilimuathiri.
Ukitaja rapper mmoja aliyeoa mimi nataja marapa watano ambao wako single
Nina mazuri na mabaya yangu, ukinisifia kwa mazuri tu au kwa mabaya tu utakuwa ni mnafiki kama weweWewe bado una survive, ktk uzito ule ule wa yale mabaya uliyomwaga hapa, nawe mwaga mabaya yako hapa ili tuamini kuwa wewe si farisayo wala mnafiki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Ruge kwako ni mtume na nabii wako, pole sanaKwa aneelewa maisha ya binadamu na ubinadamu post yako ni uchafu mtupu. Mitume na manabii wengi hawakuwa na familia ila waligusa kihalali maisha ya watu. Wewe na familia yako unaongeza nini kwenye jamii au mzigo tu tunakuombea utangulie tule hata ubwabwa hutaki?!
We kilaza kweli yani unasubiri mtu aje akupe mawazo ya kuondokana na umaskini?? Nigga? U on drugs o somethin?Impact gani pana kwa jamii. Umesaidia watu wangapi kimawazo wakaondokana na umaskini.
Sent using Jamii Forums mobile app