RUGE tuamuangalie upande wa pili

RUGE tuamuangalie upande wa pili

Tangu kutokea msiba wake sifa lukuki zimekuwa zikitolewa kuhusu maisha na kazi zake ambazo nyingi ni za kweli. Lakini kama tujuavyo hakuna binadamu aliye mkamilifu hivyo ukitaka kumuelezea mtu halisi lazima na upande wa mapungufu yake uyagusie.

Kwangu mimi Ruge licha sifa zote , hakuwa mfano wa kuigwa kwa maisha ya kijana na nitaeleza sababu zaangu.

Ruge amefariki akiwa na umri wa miaka 49 lakini hakuwa na maisha ya familia, kwa maana ya mke na watoto.

Ameishi maisha ya kihuni yasiyofaa kuigwa kwa vijana wanaotafuta kuishi vizuri. Ruge angekuwa ni mtu aliyefanikiwa kimaisha, msiba wake ungekuwa nyumbani kwake na sio kwa wazazi wake.

Vijana wengi alioibua vipaji vyao japo wengi wamefanikiwa kupata pesa lakini wengi wao wanaishi maisha ya kihuni.

Ndoa zao zimeshindikana na wamekuwa watu wa kuonyesha vitendo vya aibu katika jamii. Hili nalo naweza kulihusisha na Ruge kwani mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake.

Zipo pia tetesi kuwa hata pale Clouds wafanyakazi wengi wanajihusisha na vitendo vya kishoga na kwa msemo wa kiswahili kuwa lisemwalo lipo, huenda likawa na ukweli ndani yake na Ruge akawa ni sehemu ya jamii hiyo.

Nimalize tu kwa kusema Ruge amejitahidi katika sehemu moja ya maisha na kufanikiwa, kiuchumi, ila upande wa pili wa maisha , kimaadili, hakufanikiwa hata kidogo.

Kama binadamu mwenye imani kiasi, namwombea kwa muumba wake aipumzishe roho yake mahali zinakopumzishwa roho zote , Amen

Huu ni mtazamo duni sana. Yaani mtu ambaye anaishi bila kuoa au kuolewa anakua mhuni!!!!
Yesu hakuoa na Mtume Paulo wote hawa hawakuoa kwa sababu hiyo tuwaite wahuni? Si sawa.
Jiulize kwa nini wewe umeoa? Hayo mambo unayoyapata baada ya kuoa uwezi kuyapata ukiwa haujaoa...kama ni watoto Ruge Kawabata na kama ni burudani amekua akipata kama kawa.
Tofauti ni kwamba yeye aliamua kutofungamana na upande mmoja ambao ungemfanya awe mtumwa...[emoji2][emoji2]
 
- Nasikia
- Inasemekana
- Sina ushahidi ila....


Mpaka sasa sijaona mwenye ushahidi wa mabaya ya Ruge zaidi ya hizo kauli za wambea!

Ruge alikua na mapungufu yake kama wanadam wengine, ila mazuri yake ni mengi na makubwa mno!

Ameacha alama, na jina lake litaishi.

"Wanaokupenda hawakuambii, wanaokuchukia hawakujui"

Rest easy Ruge!

- KANA -
Hizo ni miongoni mwa alama alizo tuachia marehemu Ruge.. "maneno yake"
Screenshot_20190228-203805.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mazuri yake yawe mfano wa kuigwa kwetu, na mabaya yake yaachwe.. [emoji1311]hakuna binadamu mkamilifu
 
Hizo ni standards ambazo zimewekwa na binadamu tu sijui ukifika umri fulani lazima uoe, Ruge kasoma Marekani na kama ujuavyo tatizo la divorcee lilivyo kubwa US esp ukiwa kwenye entertainment industry nadhani hiyo pia ilimuathiri.
Ukitaja rapper mmoja aliyeoa mimi nataja marapa watano ambao wako single
Ni wanaJF wachache wenye upeo wa kuzielewa hizi standards tulizojiwekea, ni kirusi kinachotutafuna.
 
Huu ni mtazamo duni sana. Yaani mtu ambaye anaishi bila kuoa au kuolewa anakua mhuni!!!!
Yesu hakuoa na Mtume Paulo wote hawa hawakuoa kwa sababu hiyo tuwaite wahuni? Si sawa.
Jiulize kwa nini wewe umeoa? Hayo mambo unayoyapata baada ya kuoa uwezi kuyapata ukiwa haujaoa...kama ni watoto Ruge Kawabata na kama ni burudani amekua akipata kama kawa.
Tofauti ni kwamba yeye aliamua kutofungamana na upande mmoja ambao ungemfanya awe mtumwa...[emoji2][emoji2]
Ulisoma kokote kuwa hao kwakutokuoa kwao walikua na wanawake kila kona na kuzalisha ovyo kama Labour ya muhimbili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeff bezzos CEO wa Amazon ndio tajiri namba moja duniani ana miaka 54 na yupo single na huyo ndio mfano wa kuigwa sasa kwenye jamii
Duuuu we jamaa wacha kuongea usilolijua,Jeff alikuwa na mke na watoto,sema juzijuzi ndio ndoa ilivunjika na wapo ktk harakati zakugawana Mali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom