Value
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 252
- 403
Hii apple yako ni feki mbona haijang'atwa? ๐๐๐๐Stephen founder wa Apple ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii apple yako ni feki mbona haijang'atwa? ๐๐๐๐Stephen founder wa Apple ๐
Wanamuita kijana sababu hana familiaSema mimi nashangaa jambo moja eti wanauita kijana? Kijana gani ana miaka 49?
Truee..Watu wengi wenye mafanikio makubwa huwa hawaishi maisha yaliyozoeleka na jamii.
Tangu kutokea msiba wake sifa lukuki zimekuwa zikitolewa kuhusu maisha na kazi zake ambazo nyingi ni za kweli. Lakini kama tujuavyo hakuna binadamu aliye mkamilifu hivyo ukitaka kumuelezea mtu halisi lazima na upande wa mapungufu yake uyagusie.
Kwangu mimi Ruge licha sifa zote , hakuwa mfano wa kuigwa kwa maisha ya kijana na nitaeleza sababu zaangu.
Ruge amefariki akiwa na umri wa miaka 49 lakini hakuwa na maisha ya familia, kwa maana ya mke na watoto.
Ameishi maisha ya kihuni yasiyofaa kuigwa kwa vijana wanaotafuta kuishi vizuri. Ruge angekuwa ni mtu aliyefanikiwa kimaisha, msiba wake ungekuwa nyumbani kwake na sio kwa wazazi wake.
Vijana wengi alioibua vipaji vyao japo wengi wamefanikiwa kupata pesa lakini wengi wao wanaishi maisha ya kihuni.
Ndoa zao zimeshindikana na wamekuwa watu wa kuonyesha vitendo vya aibu katika jamii. Hili nalo naweza kulihusisha na Ruge kwani mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake.
Zipo pia tetesi kuwa hata pale Clouds wafanyakazi wengi wanajihusisha na vitendo vya kishoga na kwa msemo wa kiswahili kuwa lisemwalo lipo, huenda likawa na ukweli ndani yake na Ruge akawa ni sehemu ya jamii hiyo.
Nimalize tu kwa kusema Ruge amejitahidi katika sehemu moja ya maisha na kufanikiwa, kiuchumi, ila upande wa pili wa maisha , kimaadili, hakufanikiwa hata kidogo.
Kama binadamu mwenye imani kiasi, namwombea kwa muumba wake aipumzishe roho yake mahali zinakopumzishwa roho zote , Amen
Hizo ni miongoni mwa alama alizo tuachia marehemu Ruge.. "maneno yake"- Nasikia
- Inasemekana
- Sina ushahidi ila....
Mpaka sasa sijaona mwenye ushahidi wa mabaya ya Ruge zaidi ya hizo kauli za wambea!
Ruge alikua na mapungufu yake kama wanadam wengine, ila mazuri yake ni mengi na makubwa mno!
Ameacha alama, na jina lake litaishi.
"Wanaokupenda hawakuambii, wanaokuchukia hawakujui"
Rest easy Ruge!
- KANA -
Ni mzee wa miaka 49
Ni wanaJF wachache wenye upeo wa kuzielewa hizi standards tulizojiwekea, ni kirusi kinachotutafuna.Hizo ni standards ambazo zimewekwa na binadamu tu sijui ukifika umri fulani lazima uoe, Ruge kasoma Marekani na kama ujuavyo tatizo la divorcee lilivyo kubwa US esp ukiwa kwenye entertainment industry nadhani hiyo pia ilimuathiri.
Ukitaja rapper mmoja aliyeoa mimi nataja marapa watano ambao wako single
hili la Ngwair lilisemwa sn, mzee baba alichagiza dogo kutanguliaUkimuamsha NGWEA Sasa hivi halafu ukamuambia ruge ni anasifiwa huko. Naye atakufa tena kwa.mshtuko[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo yeye ndo alimlisha zile kete za madawa?hili la Ngwair lilisemwa sn, mzee baba alichagiza dogo kutangulia
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe mwenye familia umeisaidia nini nchi zaidi ya KUNYA na KUJAMBA hovyo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulisoma kokote kuwa hao kwakutokuoa kwao walikua na wanawake kila kona na kuzalisha ovyo kama Labour ya muhimbili?Huu ni mtazamo duni sana. Yaani mtu ambaye anaishi bila kuoa au kuolewa anakua mhuni!!!!
Yesu hakuoa na Mtume Paulo wote hawa hawakuoa kwa sababu hiyo tuwaite wahuni? Si sawa.
Jiulize kwa nini wewe umeoa? Hayo mambo unayoyapata baada ya kuoa uwezi kuyapata ukiwa haujaoa...kama ni watoto Ruge Kawabata na kama ni burudani amekua akipata kama kawa.
Tofauti ni kwamba yeye aliamua kutofungamana na upande mmoja ambao ungemfanya awe mtumwa...[emoji2][emoji2]
mambo hayaendi moja kwa moja hivyo km ulivyofikiri,, kuna vitu vingiii kabla hujafika kwenye hizo kete zakoooKwahiyo yeye ndo alimlisha zile kete za madawa?
Utawaweza ccm?huyo mzee Jk mwaka 2005 alikuwa 55yrs na walimuita kijana sembuse Ruge 49.Sema mimi nashangaa jambo moja eti wanauita kijana? Kijana gani ana miaka 49?
Duuuu we jamaa wacha kuongea usilolijua,Jeff alikuwa na mke na watoto,sema juzijuzi ndio ndoa ilivunjika na wapo ktk harakati zakugawana Mali.Jeff bezzos CEO wa Amazon ndio tajiri namba moja duniani ana miaka 54 na yupo single na huyo ndio mfano wa kuigwa sasa kwenye jamii
Chief unaona wivu gani au unataka kuonekana tofauti? Achana na mambo hayo, hata akisifiwa hazioni wala hanufaiki na hizo sifa. Alikuwa na marafiki na ndiyo wanafanya hayo mambo.Basi hata sifa mnazompa ziacheni mwachie Mungu amsifie
Hata maandiko haualazimushi hilo. Mtu kuzikwa kwao na msiba kuwekwa kwao ni shida?Kwani kila mtu lazima aoe au kuishi na mke au kuwa na familia? Nani aliweka hilo kuwa ni jambo la lazima?
Sent using Jamii Forums mobile app