Ifururu
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 562
- 658
Kama wewMijitu mingine bwana! inaacha kufanya yao inajishughulisha na ya wenzao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wewMijitu mingine bwana! inaacha kufanya yao inajishughulisha na ya wenzao.
Alikuwa na maadui pia ila wote wanamsifia! Unafki mtupuChief unaona wivu gani au unataka kuonekana tofauti? Achana na mambo hayo, hata akisifiwa hazioni wala hanufaiki na hizo sifa. Alikuwa na marafiki na ndiyo wanafanya hayo mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jeff alikuwa na ndoa kwa takribani miaka 25 iliyopita. Ametengana na mkewe mwaka huu. Ila alikuwa ameowa kabla hata hajaanzisha Amazon.Jeff bezzos CEO wa Amazon ndio tajiri namba moja duniani ana miaka 54 na yupo single na huyo ndio mfano wa kuigwa sasa kwenye jamii
Steven Job alikuwa na familia. At least yeye ali-spend muda wake kwenye kufanya invention. Ingawa alipitia up and down nyingi, but hastahili kulinganishwa with crook like Edward Heath na wengineo wengi....Steven foundries Apples 🍏
Edward Heath waziri mkuu wa Uingereza miaka ya 70
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mwenye familia umeisaidia nini nchi zaidi ya KUNYA na KUJAMBA hovyo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2]admin atamshughulikia,Basata wahangaike na kina duduBASATA njoo mumfungie Gulwa.
Mtu kuwa Role mode na mfano wa Kuigwa sio lazima aoe aisee... Kuna watu wapo busy na maisha kiasi kwamba anaona famili kuishi nayo ni nomaa lakini pia Hatujui nini kilifanya yeye Binafsi asioee na kama wanawake zake pengine walifata Pesa zake na jina bhasi so Akaona isiwe shidaa nitalitumikia Taifa tu inatoshaa.. Mwanaume hata akifika miaak 70 kama Kapuya ili mradi pesa unayo unaoaa tuuTheChoji Mimi nimekuelewa, lakini sidhani kama watu wengine watakuelewa.
Mtu kuwa kijana sio Umrii ni Pesa mkuu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Watu wanazeeka hata wakiwa na miaka 30 tayari wazee kabisa... Ila Wenye pesa miaka 55 kijana sana tuu yani sanaa..Eti jamaa wanamwita modal wao wakati hata familia tu hakuwa nayo, ukweli ni kuwa alikuwa anaishi kihuni full stop
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni kweli acha waseme, hili la kuwaomba watoto wa kiume nyuma sio kabisa.Nyie wadamu kazi yenu imekwisha, mlikuwa na Ruge for 49 years, sasa muacheni maana yupo ndani ya mipaka ya Mungu, ambapo hamuhusiki na lolote huko alipo now.
Kwanini FIRAUNI anasemwa?Marehemu hasemwi, kama una mabaya yake kaa kimya na kama una mazuri yake sema.. hatufanyi vyema kwa kutangaza mabaya ya watu
Kwa upande mmoja na Ukigeuza upandea wa pili aliwekeza kwenye anasa pia.Pumzika ulipojiandalia ukiwa hai bro Ruge sie tuliobaki hating maamuzi ya kuamua uende wapi.Ruge aliwekeza mda wake mwingi katika kutafta pesa na sio familiya
Sema mimi nashangaa jambo moja eti wanauita kijana? Kijana gani ana miaka 49?
Kwa hiyo ulitaka Mungu aoe "Yesu"Huu ni mtazamo duni sana. Yaani mtu ambaye anaishi bila kuoa au kuolewa anakua mhuni!!!!
Yesu hakuoa na Mtume Paulo wote hawa hawakuoa kwa sababu hiyo tuwaite wahuni? Si sawa.
Jiulize kwa nini wewe umeoa? Hayo mambo unayoyapata baada ya kuoa uwezi kuyapata ukiwa haujaoa...kama ni watoto Ruge Kawabata na kama ni burudani amekua akipata kama kawa.
Tofauti ni kwamba yeye aliamua kutofungamana na upande mmoja ambao ungemfanya awe mtumwa...[emoji2][emoji2]